Toa mchanganuo huo mshahara ni wa Mwezi, Robo mwaka au Mwaka mzima? Ukizingatia huo ulikuwa ni mwaka 2014 kwa mujibu wa hiyo document ya kuokoteza mtandaoni.
TRA ukipata Mrija in a year unasimaisha ghorofa! TPDC hakuna Rushwa hata mia, rushwa kubwa wanakutana nazo watoa maamuzi! TRA officer wa kawaida unakutana na rushwa ndogo ndogo kwa kipindi kirefu!!
Toa mchanganuo huo mshahara ni wa Mwezi, Robo mwaka au Mwaka mzima? Ukizingatia huo ulikuwa ni mwaka 2014 kwa mujibu wa hiyo document ya kuokoteza mtandaoni.
Usichokijua nini mkuu. Kwenye mfumo wa serikali kila mfanyakazi wa umma ametengewa bajeti ya mshahara wake wa mwaka. Utakuta mfanyakazi ametengewa milioni 24 kwa maana kila mwezi analipwa milioni 2.