The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 19,254
- 42,873
Tenda ilitangazwa wapi KCB wakashinda ???
Na hata kama kulikuwa na tenda, kwa nini mgeni aalikwe kwenye strategic tender such as this?
Benki ya kibongo inaweza kuachwa ishinde tenda ya kutunza hela ya kodi ya Kenya ???
Tusiwe vidampa mbele ya Wakenya jamani!
Hii dunia ni ya ushindani, Kenya is a regional competitor, mnampaje ashike hela ya kodi ya Mtanzania nyinyi TRA dunderheads ?
Fukuza kazi CEO wa TRA. Juzi kafanyisha written interview, vijana wamekwenda Dodoma from across the country halafu matokeo yamefutwa, kisa, TRA walivujisha majibu kabla ya interview.
Fire the dusche bag executives.
Sio kwamba zinapita tu!
Hiyo ni tenda au biashara kapewa Mkenya. Faida inayopatikana inaenda kwa mmiliki wa Kenya Commercial Bank huko Kenya!
Kwenye dunia ya ushindani au bita ya kiuchumi kwa nini usaidie kujenga taasisi za kibenki za nchi nyingine badala ya za kwako mwenyewe ????
Kwa nini hiyo tenda asipewe Tanzania Postal Bank, au CRDB au Benki ya Wanawake Tanzania??????!
Wewe si ndio ulisema tenda?