Watanzania wengi wasofahamu haya masuala hawatachukulia maanani.Inawezekana Serikali ilichukua credit facility (Bank overdraft)kulipa madeni au wadai wake wa SGR au Nyerere dam Rufiji.Mara nyingi credit facility Kama hizi zinaenda na makubaliano ya kuwa unaweka(deposit) fedha kwenye benki hiyo kupungaza riba.
Nadhani Serikali itakuja na ufafanuzi,juu ya suala hili la kuweka fedha kwenye benki ya nje wakati tunazo benki za ndani,labda Kama TRA wanazo account kwenye benki zingine local.
Mkuu, bado hujaelewa tu?TRA na BOT watajitetea kwa sababu zozote zile lakini sisi tunaolipa kodi ktk nchi hii, kwa kujua nani anamiliki KCB (Kenya Commercial Bank) hii ni chini ya kiwango cha uzalendo uliohubiliwa miaka mitano iliyopita. Nalinganisha malipo niliyofanya 2020 na mwaka huu, yakielekezwa benki tofauti kabisa!!
Tunafahamu ni Benki iliyosajiliwa hapa nchini lakini pesa ya kodi za serikali kupitia benki ya muwekezaji wa nje badala ya NMB ambako serikali ina hisa, ni ufisadi. TRA wanafidika nini kuitumia KCB? Imetokea nini baada ya kifo cha Magufuli? Je, KRA ya Kenya, kwa ubaguzi wao kibiashara, inaweza kupitishia pesa za kodi za serikali yao benki ya TZ, hata kama imesajiliwa nchini Kenya?
View attachment 1926663
View attachment 1926664
Magufuli alikuwa na mapungufu makubwa sana, lakini kwa upande huu wa maslahi ya nchi alikoga nyoyo za wengi.Hayati Magufuli pamoja na mapungufu yake lakini aliwaambia tayari watanzania madhara ya serikali kufanya biashara na benki.
Hio sio kweli. Ukiangalia vizuri hizo form utaona kwamba KCB na NMB ni benki ya anaefanya malipo (account holder). Na hela inalipwa kwenda kwa Commissioner for Customs and Excise (TRA) - Bank of Tanzania.TRA na BOT watajitetea kwa sababu zozote zile lakini sisi tunaolipa kodi ktk nchi hii, kwa kujua nani anamiliki KCB (Kenya Commercial Bank) hii ni chini ya kiwango cha uzalendo uliohubiliwa miaka mitano iliyopita. Nalinganisha malipo niliyofanya 2020 na mwaka huu, yakielekezwa benki tofauti kabisa!!
Tunafahamu ni Benki iliyosajiliwa hapa nchini lakini pesa ya kodi za serikali kupitia benki ya muwekezaji wa nje badala ya NMB ambako serikali ina hisa, ni ufisadi. TRA wanafidika nini kuitumia KCB? Imetokea nini baada ya kifo cha Magufuli? Je, KRA ya Kenya, kwa ubaguzi wao kibiashara, inaweza kupitishia pesa za kodi za serikali yao benki ya TZ, hata kama imesajiliwa nchini Kenya?
View attachment 1926663
View attachment 1926664
Kwa kujenga uwanja wa ndege Chato sio ? Na kukwapua Tri 1.5?Magufuli alikuwa na mapungufu makubwa sana, lakini kwa upande huu wa maslahi ya nchi alikoga nyoyo za wengi.
Pole sana ndugu, naomba nikueleweshe hiyo unayoiona hapo ni bank ya mlipa kodi (payer) na si bank ya mpokeaji (receiver) wakati wa kujaza return forms ili upate kiwango ambacho unatakiwa kulipa kama kodi, huwaga unaingiza na jina la bank yako na details za akaunti yako, hii inawezesha bank yako ku transfer hela kutoka kwenye akaunti yako na kwenda BOT moja kwa moja ambapo walipa kodi wote ndio tunapeleka huko. So worry out hakuna makusanyo ya kodi yanayokaa kwenye commercial bank. Kila unapolipa kodi iwe ni bank A, au bank B, mzigo wote unaenda BOT hapohapo!!!TRA na BOT watajitetea kwa sababu zozote zile lakini sisi tunaolipa kodi ktk nchi hii, kwa kujua nani anamiliki KCB (Kenya Commercial Bank) hii ni chini ya kiwango cha uzalendo uliohubiliwa miaka mitano iliyopita. Nalinganisha malipo niliyofanya 2020 na mwaka huu, yakielekezwa benki tofauti kabisa!!
Tunafahamu ni Benki iliyosajiliwa hapa nchini lakini pesa ya kodi za serikali kupitia benki ya muwekezaji wa nje badala ya NMB ambako serikali ina hisa, ni ufisadi. TRA wanafidika nini kuitumia KCB? Imetokea nini baada ya kifo cha Magufuli? Je, KRA ya Kenya, kwa ubaguzi wao kibiashara, inaweza kupitishia pesa za kodi za serikali yao benki ya TZ, hata kama imesajiliwa nchini Kenya?
View attachment 1926663
View attachment 1926664
Tuna safari ndefu sana. Mabenki ni wakusanyaji tu wa mapato ya TRA yanayopelekwa BoT. Huko kwenye taasis za kifedha zinapita
Ukiwa unatengeneza control namba system inakupa option ya kuchagua bank unayotaka kulipia, system inatoa list ya bank zote na mteja alichagua KCB ndo maana inaonekana apoTRA na BOT watajitetea kwa sababu zozote zile lakini sisi tunaolipa kodi ktk nchi hii, kwa kujua nani anamiliki KCB (Kenya Commercial Bank) hii ni chini ya kiwango cha uzalendo uliohubiliwa miaka mitano iliyopita. Nalinganisha malipo niliyofanya 2020 na mwaka huu, yakielekezwa benki tofauti kabisa!!
Tunafahamu ni Benki iliyosajiliwa hapa nchini lakini pesa ya kodi za serikali kupitia benki ya muwekezaji wa nje badala ya NMB ambako serikali ina hisa, ni ufisadi. TRA wanafidika nini kuitumia KCB? Imetokea nini baada ya kifo cha Magufuli? Je, KRA ya Kenya, kwa ubaguzi wao kibiashara, inaweza kupitishia pesa za kodi za serikali yao benki ya TZ, hata kama imesajiliwa nchini Kenya?
View attachment 1926663
View attachment 1926664
Mkuu 'Lord', sisahau mtu ninapojibishana naye humu ndani ya JF, na ninakumbuka sana nilishajibishana nawe na nakuelewa vyema ulivyo kutokana na michango yako ya ushabiki tu!Kwa kujenga uwanja wa ndege Chato sio ? Na kukwapua Tri 1.5?
TRA wanatakiwa kujibu hii hojaTRA na BOT watajitetea kwa sababu zozote zile lakini sisi tunaolipa kodi ktk nchi hii, kwa kujua nani anamiliki KCB (Kenya Commercial Bank) hii ni chini ya kiwango cha uzalendo uliohubiliwa miaka mitano iliyopita. Nalinganisha malipo niliyofanya 2020 na mwaka huu, yakielekezwa benki tofauti kabisa!!
Tunafahamu ni Benki iliyosajiliwa hapa nchini lakini pesa ya kodi za serikali kupitia benki ya muwekezaji wa nje badala ya NMB ambako serikali ina hisa, ni ufisadi. TRA wanafidika nini kuitumia KCB? Imetokea nini baada ya kifo cha Magufuli? Je, KRA ya Kenya, kwa ubaguzi wao kibiashara, inaweza kupitishia pesa za kodi za serikali yao benki ya TZ, hata kama imesajiliwa nchini Kenya?
View attachment 1926663
View attachment 1926664
Swali zuri sanaSikia ndugu, serikali ina hisa 100% kwenye benki ya serikali iliyoitwa TPB bank (Tanzania Postal Bank) au Bank ya Posta ambapo kwa sasa inajulikana kama TCB (Tanzania Commercial Bank), sasa swali la kizushi ni kwamba kwanini huduma nyingi za kiserikali hazipitii bank hii ya serikali mfano mishahara ya watumishi wa umma na malipo mengine kadha wa kadha?
Sio kwamba zinapita tu!
Hiyo ni tenda au biashara kapewa Mkenya. Faida inayopatikana inaenda kwa mmiliki wa Kenya Commercial Bank huko Kenya!
Kwenye dunia ya ushindani au bita ya kiuchumi kwa nini usaidie kujenga taasisi za kibenki za nchi nyingine badala ya za kwako mwenyewe ????
Kwa nini hiyo tenda asipewe Tanzania Postal Bank, au CRDB au Benki ya Wanawake Tanzania??????!
Alietoa mada ni mpotoshaji tuu hajui anachoongea au ana Nia ovu.Hio sio kweli. Ukiangalia vizuri hizo form utaona kwamba KCB na NMB ni benki ya anaefanya malipo (account holder). Na hela inalipwa kwenda kwa Commissioner for Customs and Excise (TRA) - Bank of Tanzania.
Unajua hisabati?soma hapo chini nionyeshe hiyo 30% inatoka wapi
49%-21% unapata 30? hiyo wikipedia taarifa ni za uongo. soma kwenye website ya NMB ndo kuna majibu sahihiUnajua hisabati?
Huoni kabisa "hiyo 30% inatoka wapi" hadi aende kufungua tena huko kwingine?
Unauhakika na ulichokiandika?
Kwamba KCB peke yake ndio wanakusanya mapato ya TRA kwa control number?
Na hata kama ni kweli tenda ilitangazwa benki zingine wakashindwa kwa vigezo, ingekua nongwa?