Bwashee mimi kwangu pisi ni pisi tu kikubwa itimize vigezo navyovitaka kunako 6x6. Nikiona namna gani vipi naipiga chini haraka sanaBwashee uliokota ya kiwango cha chini mno labda
Nitumie location mkuu nije kupiga kambiBwashee kuna bar siku hizi najikita hapo ,panakuja vyuma vitupu , unaweza changanyikiwa
Utoto uzuri siyo matwakoTafuta pesa ukutane na watoto wazuri
Vyovyote iwavyo hata kama chenyewe kitanioa nipo tayariHuna hata haja ya kumiliki vichomi ,we vipitie tu halaf vitupie kuleee.
Utamiliki vingapi.
Unaanzaje kutamani kumiliki Liability? Hizo ni high maintenance expense figures. You dont need, just use them
Ni maamuzi ya mtu akiamuaNani kasema anataka kwenda huko bwashee