Yudatade Edesi Shayo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 2,903
- 4,354
Kwangu hata chuo. Nimeifumua fumua sana ila,sitokaa nisahau hizi topic projectile,organic na chuo structural designSure, ila Differential nayo ina balaa lake mkuu, unajua nmekuja kugundua kila mtu ana topic yake ya kujidai na ndio maana pure math paper 2 kila mtu anaingia na topic zake tano za kujibia mtihani kati ya 8
Kiswahili,simu ya maandishi shule ya msingi ilinisumbua sana naambiwa maneno kumi kwangu yanaload kama.mia hivi mwisho wa siku nilikuwa naandika barua ya kirafiki tu.SIMU YA MAANDISHI DAH!!!
Sent using Jamii Forums mobile app


chujio la necta huwa linaanzia hapoAkuna topic niliokua nachukua maks bila shida A level kama Organic chemistry.Organic Chemistry nilisema wazi wakileta swali wachukue tu Max zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
shida ilikuwa na Mwalimu Mwenyewe alikuwa Mzumbe flani Halafu Akaja akatundikwa mimba ikaharibu Kila Kitunda. Akachukia wanaume ile mbaya + sasa wengine tulikuwa tunakomaa na Abot wakati huo akija na + Vya Kiswahili akawa anatuchanganya kweliBora wewe karati.. niliga D nahizi ya 21 ilee.... Mofimu sijui manini...!!!
Kwa bios hiyo topic ni konyo acha kabisa .
Respect kwa Organic chemistry 🙋
Huu nao ni utata saluteAkuna topic niliokua nachukua maks bila shida A level kama Organic chemistry.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaochaguliwa kusoma Bios ni wengi ila wateule ni wachache wengi wanaishia kupiga C na D zao.Reproduction, Bios
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mechanics shida ni Rotation kama concept za kuchomoa swali ni ndogo otherwise unaweza ukachomoka na marks nzuri sanaPhysics A level ni habar ingine topic za mechanics
Sent from my iPhone using JamiiForums
Electronics ya level gani mkuu A-level au O-level ?electronics and Kiswahili