Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 28,794
- 58,425
Piga ela kwanza achana na kusoma sasa khaaaa.....Napamabana mkuu, nataka nirudi shule niwinde PhD yangu mzee ๐ ๐ ๐ ๐ .. my time is now..
๐๐๐ Hapo mi sikuungi mkono
Piga ela kwanza achana na kusoma sasa khaaaa.....Napamabana mkuu, nataka nirudi shule niwinde PhD yangu mzee ๐ ๐ ๐ ๐ .. my time is now..
Unateleza tuu.... Na mama kawapa full fullKwangu mimi nimechukua cozy sexy hivyo naona slope tu nikilinganisha na waliosoma kombi za arts au biashara A level wanasota sana tu ๐น๐น
Inategemea na umri wake pia kama ni yanki arudi tu chuoPiga ela kwanza achana na kusoma sasa khaaaa.....
๐๐๐ Hapo mi sikuungi mkono
Kipindi cha chuo nilifanya fujo.. Boom nilikuwa nalamba 100%, alafu home nikawaambia sina mkopo.. wakawa wananipa mshiko zaidi ya boom.. alafu mie boom nilikuwa silichukui linapotoka nasubiri semester two katikati au mwisho nakusanya mzigo woote ๐ ๐ ๐ mbona kilikuwa kina wakaaa ๐ ๐ ๐Chuo bata eeeh
Kama una connection ya kazi unaweza kurudi kusoma...?Inategemea na umri wake pia kama ni yanki arudi tu chuo
Woiiiih mi sitegemei mkopo mkuu kwetu sio njaa njaa ni full parent sponsored ๐คฃ๐ตUnateleza tuu.... Na mama kawapa full full
Nope hapo ni uongoKama una connection ya kazi unaweza kurudi kusoma...?
๐ ๐ aah wapi narudi chuo.. sasa nakuwa mwanafunzi kabisa nikacheze na wafanzi wenzanguPiga ela kwanza achana na kusoma sasa khaaaa.....
๐๐๐ Hapo mi sikuungi mkono
National Anthem ni miongoni mwa vijana waliokua hovyo ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐Kipindi cha chuo nilifanya fujo.. Boom nilikuwa nalamba 100%, alafu home nikawaambia sina mkopo.. wakawa wananipa mshiko zaidi ya boom.. alafu mie boom nilikuwa silichukui linapotoka nasubiri semester two katikati au mwisho nakusanya mzigo woote ๐ ๐ ๐ mbona kilikuwa kina wakaaa ๐ ๐ ๐
National Anthem ni miongoni mwa vijana waliokua hovyo ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐Kipindi cha chuo nilifanya fujo.. Boom nilikuwa nalamba 100%, alafu home nikawaambia sina mkopo.. wakawa wananipa mshiko zaidi ya boom.. alafu mie boom nilikuwa silichukui linapotoka nasubiri semester two katikati au mwisho nakusanya mzigo woote ๐ ๐ ๐ mbona kilikuwa kina wakaaa ๐ ๐ ๐
๐ ๐ ๐ aah.. nilikuwa napiga hela za home za mwisho mwisho..nilijua nikimaliza kibao kitanigeukia mie home kunikamuaNational Anthem ni miongoni mwa vijana waliokua hovyo ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Hicho ndo mi nilichokiona ... Wewe kutaka kwenda chuo ni mambo yako ya ajabu๐๐๐๐๐ ili ukatusumbue kule kwa rikk boy๐ ๐ aah wapi narudi chuo.. sasa nakuwa mwanafunzi kabisa nikacheze na wafanzi wenzangu
๐๐๐๐๐๐๐ Daah ila ulicheza kama pele hivi . Yani kama uliwaotea hivi๐ ๐ ๐ aah.. nilikuwa napiga hela za home za mwisho mwisho..nilijua nikimaliza kibao kitanigeukia mie home kunikamua
๐ ๐ ๐ naingia chuo ka benz kangu mbona ni ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ kula ni mle mle wanapokula wao pa buku kwa buku jiiiHicho ndo mi nilichokiona ... Wewe kutaka kwenda chuo ni mambo yako ya ajabu๐๐๐๐๐ ili ukatusumbue kule kwa rikk boy
๐๐๐๐ Rudi rudi rudi ili mubanie watoto riziki zao alaaaah๐ ๐ ๐ naingia chuo ka benz kangu mbona ni ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ kula ni mle mle wanapokula wao pa buku kwa buku jiii
Exactly hata mimi nawakwida kwelikweli ๐๐ ๐ ๐ aah.. nilikuwa napiga hela za home za mwisho mwisho..nilijua nikimaliza kibao kitanigeukia mie home kunikamua
Nilikuwa na mtoto wa kinyarwanda unafikiri hata nilikuwa naangaika basi, na nilikuwa naishi nae maskani.... yeye ndio alikuwa anazifaidi๐๐๐๐๐๐๐ Daah ila ulicheza kama pele hivi . Yani kama uliwaotea hivi
Na hizo pesa matumizi yake yaliishia kwa ma youtong tuu
San of landtillerExactly hata mimi nawakwida kwelikweli ๐
Za mwisho mwisho hizi i have no mercy kabisa ๐ ๐ ๐ ๐คฃ๐คฃ๐คฃSan of landtiller
Ahahahahahah daah kijana.. ukawa unachota za hom + boom unatumia na mnyarwanda khaaNilikuwa na mtoto wa kinyarwanda unafikiri hata nilikuwa naangaika basi, na nilikuwa naishi nae maskani.... yeye ndio alikuwa anazifaidi