Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
Mhhhhhh!hebu ninong'oneze mpendwa!Kwenye hii list kuna madume watatu.
Mhhhhhh!hebu ninong'oneze mpendwa!Kwenye hii list kuna madume watatu.
Bila shunie..... Ha ha haha. Mtoa mada labda Ni mlokole hapitagi kuleHii list ni feki au imechakachuliwa na Lubavu, my bebi Shunie yuko wapi?
Yani ulipo taja hilo jukwaa Roho yangu imekuwa mulua mulua
Waiter zungusha tena[emoji482] [emoji482] [emoji482]
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120] asanteeeeeList yangu mimi supermarket.
1. Shunie
2. Mamaafacebook II
3. Sakayo
4. Miss chagga
5. Geniverous
6. _aysher
7. Aishah2016
8. Ukhuty
9. Atug
10. jje's
You are welcom[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120] asanteeeee
Mkuu, hawajui heshima iliyotukuka aliyonayo huyu bibie, hasa lile Jukwaa letu pendwa.Bila shunie..... Ha ha haha. Mtoa mada labda Ni mlokole hapitagi kule
yule jamaa yako yupo wapi mkuu?jf usipopost kama mwezi hivi unasahaulika faster
Am humbled naanzaje kuacha kukushuru DJ ulieniokoa siku zile[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]binafsi Mimi list yangu n hiiYou are welcom
Kusahau kutaja jina lako mwaka huu 2016 ni kosa la jinai. Tunaufunga mwaka fresha sana mkuu
-peace and lov[emoji111]
asante ila najiona wa kawaida sana sistahili compliment zenu jamani ila asanteni kama mnaniappreciate maana najua huku nachukiwa sanaAm humbled naanzaje kuacha kukushuru DJ ulieniokoa siku zile[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]binafsi Mimi list yangu n hii
1. Heaven Sent
2. niffah
3.@evelyn salt
4. Miss Natafuta
5. @genivorous
6. Madame B
7. scorpio me
Ha? mbona hujamtaja bae wako[emoji15]Am humbled naanzaje kuacha kukushuru DJ ulieniokoa siku zile[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]binafsi Mimi list yangu n hii
1. Heaven Sent
2. niffah
3.@evelyn salt
4. Miss Natafuta
5. @genivorous
6. Madame B
7. scorpio me
Kwa hiyo mkuu hata yule nanilihu wako ambae ulimkwapua hapa hapa JF haruhusiwi kuingia kwenye hii list?[emoji30]Sio list ya 'uwapendao' hii
Mamy huwezi kujijua una machango gan Kwa jamii inayokuzunguka ila wale wanaokuzunguka ndio wajuaoasante ila najiona wa kawaida sana sistahili compliment zenu jamani ila asanteni kama mnaniappreciate maana najua huku nachukiwa sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]utakua umevurugwa wallahHa? mbona hujamtaja bae wako[emoji15]
Nimesahau kumbe ni ME[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Uliniambia kuwa umemtuliza na katulia eenh1 na mimi nilikuambia kama anakauzembe niambie nije kukuchukua achana na huyo anamokosi ya wanawake hawezi kaa nao muda mrefu au na wewe ndio unapenda wa hivyo?yule jamaa yako yupo wapi mkuu?
thanks ila sipendi kusifiwa .kwanza najichukia yaaniMamy huwezi kujijua una machango gan Kwa jamii inayokuzunguka ila wale wanaokuzunguka ndio wajuao
Ohoooooo nn mbayathanks ila sipendi kusifiwa .kwanza najichukia yaani
jamaa bna nikimuambia tukutane ndo tutoe maamuzi anadai yeye ni msabato jmosi yupo kanisani basi nikamuambia na jpili na mimi nipo kanisani kwa hyo tukaachana hivo .mission immposible.sipendi mtu mbinafsi mimi .anataka tufate ratiba yake tu haangalii wengine kila mtu abaki tu na mishe zakeUliniambia kuwa umemtuliza na katulia eenh1 na mimi nilikuambia kama anakauzembe niambie nije kukuchukua achana na huyo anamokosi ya wanawake hawezi kaa nao muda mrefu au na wewe ndio unapenda wa hivyo?
sijui hata napenda tu kuwa kawaidaOhoooooo nn mbaya