sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 21,039
- 48,152
Wataje....acha wogaKwenye hii list kuna madume watatu.
Wataje....acha wogaKwenye hii list kuna madume watatu.
Jiwe gizani. Subiri usikie yalaaah!Wataje....acha woga
AminaSema InshaAllah. There's a thin line between Life and Death
na hiyo pia ngoja tui include lol...Yep! apo itakuwa sawa, sema alikuwa ana mean end of yr 25th
Ha haa eti ubaguzi lolkwahiyo sisi wengine ni madada hewa au ?? bora usingewataja ....ungesema madada wote wa humu jf ..ubaguzi huo..au kwa vile ni wakongwe wa humu may be
ukaanzishe thread kule chit chat yenye maudhui ya hiyo flashback31st Dec kuwe na live chat humu JF ili tuu flash mwaka pamoja
poa, one Luvna hiyo pia ngoja tui include lol...
Hapana,wala hakuna tatizo,nilitaka tu ajue kuwa nimeona. Nilipewa kibarua cha kumlinda na ofisa flani hivi.Jitetee!!!!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mwenye elf 10 naomba aniazime.....
Nilitaka kum quote yule jamaa nimesahau id yake..[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Nigee buku ten hapo[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kulalaleki Roho yangu imeniuma sana kutokuwepo kwa Shunie
Huo ni mtazamo wake,hakuna sababu ya kujenga hoja.Mbona mimi na Lara 1 hatupo?
Yani ulipo taja hilo jukwaa Roho yangu imekuwa mulua muluaBila ya Shunie hiyo list kidogo inawalakini..... Unless kama hutembeLei lile jukwaa pendwa.