Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,175
[emoji28][emoji28]NI MWANAUME
[emoji28][emoji28]NI MWANAUME
yaani angejua ratiba yangu mm...!!halaf haoni aibu kuongea ila kiboko yake milly tzshaderoom anajua mnyoosha mange kiboko [emoji28] anajisifia kabisa na viporo vyake vya week
NIMECHEKA KWELI YAANI ANGEKUWA YUPO SINGLE SAWA ILA WATOTO UNAWAPASHIA TU VITU VYA JUZI JAMANI
Na mimi ni Dinazarde [emoji23] [emoji23] [emoji23]NI MWANAUME
nae anakera kublock ovyo ata ukimtetea mange unakula tu blockMILLY ALINIBLOCK NILIMTETEA SCORPION
geni yule dada sijampatia mwenzie hana kitu cha kumkeep busy lkn ndio maviporo ya week angeona ata aibu asitupostie lkn yy wala hajariyaani angejua ratiba yangu mm...!!
na napika kila siku
binti anaosha vyombo tu n kujaza maji na msichana wangu anaamka saa mbili asubuhi..
Aisee binamu unamdekeza sana msichana wako yani anaamka saa mbili?yaani angejua ratiba yangu mm...!!
na napika kila siku
binti anaosha vyombo tu n kujaza maji na msichana wangu anaamka saa mbili asubuhi..
MIMI CHAKULA KILILALA SIWEZI KULA KABISA AU KITU KIKIKAA MUDA MREFU SIKITAKI HATA KUKU NIKITAKA KUMLA NAMCHINJA MWENYEWE SIPENDI WA BUCHANI AU SUPERMAKETyaani angejua ratiba yangu mm...!!
na napika kila siku
binti anaosha vyombo tu n kujaza maji na msichana wangu anaamka saa mbili asubuhi..
Hahaaaaaa. Upo mummy?Mwenye elf 10 naomba aniazime.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachokiona Kwa mange maisha yameanza kumkaba Koo et leftovers zina virutubisho hahahhahhahahahhaha hana haya pole yakeYULE SHOST ANA KICHAA YAANI HATA FRIJI LIWE OG VIPI HUJANILISHA CHAKULA CHA WEEK MIE NAPENDA VITU FRESH SANA YAANI
uvivu anajifanya yuko ulaya na timetable yake fake
mvivu mnoo..geni yule dada sijampatia mwenzie hana kitu cha kumkeep busy lkn ndio maviporo ya week angeona ata aibu asitupostie lkn yy wala hajari
Maisha yanampiga chezea zile n stress tu za Kua single mother Bila kujiandaaHivi yule dada mzima kweli kiporo week acha watto wawe vile
KUNA MAMA NILIKUWA NAKAA KWAKE SAA MOJA BEKI TATU KESHAMALIZA KAZI ZOTE SIJUI ALIKUWA ANAAMKA SAA NGAPI MAANA NYUMBA NI KUBWA KWELI.ACHA TU AAMKE SAA MBILI WANAPITIA MENGI.ILA HUJAULIZA ANALALA SAA NGAPI LABDA ANAKUWA NA ZAMU YA ULINZI USIKUAisee binamu unamdekeza sana msichana wako yani anaamka saa mbili?
hawa madogo hata siwaelewagi mkuu wanakera kweli yaaniNa mimi ni Dinazarde [emoji23] [emoji23] [emoji23]
kweli kabisa maisha yamemkaba hataki kukubali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachokiona Kwa mange maisha yameanza kumkaba Koo et leftovers zina virutubisho hahahhahhahahahhaha hana haya pole yake
Weeee kiporo kitamu bana.MIMI CHAKULA KILILALA SIWEZI KULA KABISA AU KITU KIKIKAA MUDA MREFU SIKITAKI HATA KUKU NIKITAKA KUMLA NAMCHINJA MWENYEWE SIPENDI WA BUCHANI AU SUPERMAKET
Umetumia vigezo gan!?
Mi sikubali hiyo list, ntapanga yangu
Siku ingine mpk saa tatu km usipomuamsha ndo anaamka na hapo anaanza usafi nikiwa kazini lunch saa kumi kila siku!Aisee binamu unamdekeza sana msichana wako yani anaamka saa mbili?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] viporo vya ulaya ni health kwa watoto jamani vya bongo vyetu ndo vibovu!MIMI CHAKULA KILILALA SIWEZI KULA KABISA AU KITU KIKIKAA MUDA MREFU SIKITAKI HATA KUKU NIKITAKA KUMLA NAMCHINJA MWENYEWE SIPENDI WA BUCHANI AU SUPERMAKET
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachokiona Kwa mange maisha yameanza kumkaba Koo et leftovers zina virutubisho hahahhahhahahahhaha hana haya pole yake
alidhani kakutana na bill gate.nasikia harusi yake alliagiza viti vya kukalia kwenye party yake dubai na harusi ilivoisha akavigawa bure .lance alikuwa na hela kipindi hicho mamaa mashauzi akazichezea .nakumbuka ile lv bag yake alisema kanunua m 21 sinaga hamu naeMaisha yanampiga chezea zile n stress tu za Kua single mother Bila kujiandaa
mvivu sana unakumbuka picha yake moja iliwekwa yupo na laptop chini kuna diaper ya keanu na ndala za papa na nguru [emoji28]mvivu mnoo..
anawish maisha asiyofanana nayo...
mwanamke mnafiki,mbea,mfitini looh!
lance alibugo mno