Tofauti ya maisha kati ya Tanzania na Somalia ni vita, ila ugumu wa maisha huwenda ikawa bora zaidi kule Somalia

Kinachokera zaidi ni serikali kusema mfumuko wa bei ni kwa asilimia 4 tu.

Mafuta ya kupikia niliyokuwa nanunua kwa sh 22,000 sasa ni sh 40,000, hapa naliona ongezeko la asilimia 82, sasa wenzetu wanafanyaje fanyaje kupata hiyo 4%?

Pengine kwa hesabu hizo ndo maana hawaoni kama tatizo ni zaidi ya ukubwa
Nchi hii viongozi wote ni waongo, na siku zote mwizi lazima awe muongo
 
Sisi hatujafikia hata robo ya maisha magumu ya somalia, fikiria watu Wana karibu mwaka wa 3 sasa mvua hainyeshi, bado vita ni Kila kukicha hawana muda wa kuzalisha, sisi tuna afadhali japo sio salama sana
 
Sisi hatujafikia hata robo ya maisha magumu ya somalia, fikiria watu Wana karibu mwaka wa 3 sasa mvua hainyeshi, bado vita ni Kila kukicha hawana muda wa kuzalisha, sisi tuna afadhali japo sio salama sana
Nyie si ndo mnakuta chakula kipo tayari tu na hujui kilikotoka, embu achana na maisha ya kiyoyozi uingie madukani ujue bei zilizoko sokoni
 
Sijaona ulinganifu wa hiyo elfu 20 au 10 na bidhaa unazoweka kununua Somalia ili sasa tuone ni bota kuishi Somalia.

Ni mpumbavu na mjinga pekee ndio anayaweza kulinganisha thamani ya mchele na vita!! Wakati unawaza kula leo, wenzio Somalia wanakula lakini wanawaza hata wakila leo - nini maana ya wao kuishi!

Huifahamu Somalia, unaisikia tu. Acha kufanya ulinganifu wa vitu usivojua vizuri. Kuna wengine zamani walilinganisha pesa na elimu, hasa wakati ule wa debates za shule za sekondari miaka ya 1980-90. Leo wanajaribu kuiomba samahani pesa kwa kuwa walisema elimu ni bora!!
 
Sijaona ulinganifu wa hiyo elfu 20 au 10 na bidhaa unazoweka kununua Somalia ili sasa tuone ni bota kuishi Somalia.

Ni mpumbavu na mjinga pekee ndio anayaweza kulinganisha thamani ya mchele na vita!! Wakati unawaza kula leo, wenzio Somalia wanakula lakini wanawaza hata wakila leo - nini maana ya wao kuishi!

Huifahamu Somalia, unaisikia tu. Acha kufanya ulinganifu wa vitu usivojua vizuri. Kuna wengine zamani walilinganisha pesa na elimu, hasa wakati ule wa debates za shule za sekondari miaka ya 1980-90. Leo wanajaribu kuiomba samahani pesa kwa kuwa walisema elimu ni bora!!
Unajua kusoma ukaelewa?

Ulielewa nini uliposoma, Tofauti ya maisha kati ya Tanzania na Somolia ni vita ila ugumu wa maisha huwenda Somalia ni marahisi kuliko Tanzania.

Unaelewa nini hiyo sentesi!?

Unaandika ujinga ujinga unadhani hapa ni Meta?
 
Nitaipigia kura CCM 2025 kuanzia kwa diwani,mbunge na rais kwa sasa upinzani hauna la maana Hizi saccoss za akina mbowe,zitto na mbatia hata zifanye nini zitaangukia pua tu
 
Back
Top Bottom