Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 473
- 1,682
Mtu yeyote akikuuliza tofauti ya Mbowe na Lissu mjibu hivi ili uchukue maksi zote 100.
1. Mbowe is a stateman, Lissu hata robo hajafika huko
2. Mbowe ni kiongozi mwenye strategies nyingi sana, Lissu ana no reforms no election
3 Mbowe ni mvumilivu wa kisiasa, Lissu hajui neno kuvumilia
4 Mbowe anajua kutafuta hela ya kujenga chama, Lissu anategemea tone tone kupata hela
5 Mbowe ana busara mno, Lissu hana hata chembe ya busara
6 Mbowe akiwa jukwaani anaongelea social issues wakati Lissu kazi yake ni no reforms no election
7 Mbowe anaamini zaidi majadiliano katika kuleta amani, Lissu anaamini kwenye kukinukisha
8 Mbowe hajawahi kukimbia nchi, Lissu amekimbia nchi
9 Mbowe ni mpole na hana hasira za kijinga, Lissu Ana hasira za kijinga
10 Mbowe hana jazba, Lissu Ana jazba
12. Mbowe hana kinyongo, Lissu Ana kinyongo
13 Mbowe haamini kama vurugu zinasaidia kwenda Ikulu, Lissu anaamini vurugu ndio njia ya kwenda Ikulu
14 Mbowe hajawahi kuitwa dikteta, Lissu ameshaanza kuitwa dikteta uchwara
15 Mbowe hana njaa, Lissu Ana njaa sana
16. Mbowe ni mtulivu katika kuendea jambo, Lissu anakurupuka sana
17. Mbowe hapendi malumbano na visasi, Lissu kwa visasi ni kiboko
18 Mbowe Ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja kuliko Lissu
19 Mbowe akiongea hata serikali ilikuwa inajipanga, Lissu makelele t na no reforms no election
20 Mbowe sio mpenda sifa, Lissu kwa kupenda sifa hajambo
1. Mbowe is a stateman, Lissu hata robo hajafika huko
2. Mbowe ni kiongozi mwenye strategies nyingi sana, Lissu ana no reforms no election
3 Mbowe ni mvumilivu wa kisiasa, Lissu hajui neno kuvumilia
4 Mbowe anajua kutafuta hela ya kujenga chama, Lissu anategemea tone tone kupata hela
5 Mbowe ana busara mno, Lissu hana hata chembe ya busara
6 Mbowe akiwa jukwaani anaongelea social issues wakati Lissu kazi yake ni no reforms no election
7 Mbowe anaamini zaidi majadiliano katika kuleta amani, Lissu anaamini kwenye kukinukisha
8 Mbowe hajawahi kukimbia nchi, Lissu amekimbia nchi
9 Mbowe ni mpole na hana hasira za kijinga, Lissu Ana hasira za kijinga
10 Mbowe hana jazba, Lissu Ana jazba
12. Mbowe hana kinyongo, Lissu Ana kinyongo
13 Mbowe haamini kama vurugu zinasaidia kwenda Ikulu, Lissu anaamini vurugu ndio njia ya kwenda Ikulu
14 Mbowe hajawahi kuitwa dikteta, Lissu ameshaanza kuitwa dikteta uchwara
15 Mbowe hana njaa, Lissu Ana njaa sana
16. Mbowe ni mtulivu katika kuendea jambo, Lissu anakurupuka sana
17. Mbowe hapendi malumbano na visasi, Lissu kwa visasi ni kiboko
18 Mbowe Ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja kuliko Lissu
19 Mbowe akiongea hata serikali ilikuwa inajipanga, Lissu makelele t na no reforms no election
20 Mbowe sio mpenda sifa, Lissu kwa kupenda sifa hajambo