Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
Aaah manake nshaona jini mapembe karibu anataka kuharibu...sasa kheri tuanze kupata raha
Hahahaha "Ngabu Ulaya, wasafirishe wasafirisheeee"
*lete vinanda basi
Aaah manake nshaona jini mapembe karibu anataka kuharibu...sasa kheri tuanze kupata raha
Kama ulivyosema "ndivyo nilivyo"
Btw sina lazima ya kujibiwa, unaweza kaa nalo jibu lako
Hahahaha "Ngabu Ulaya, wasafirishe wasafirisheeee"
*lete vinanda basi
Ulini-qoute, I am not in nature ku-ignore mtu anataka jibu kwangu.... Hivo basi kama ungeipotezea (kama inavotakiwa ufanye kwa hii post) Then it would have been OK. But sio kuja with a conclusion juu yangu "Ukiona mtu anazunguka mbuyu kwa sana jua hana jibu" ukategemea nikae kimya hali the comment is the other way round.
I had an opinion, kwa nini niipotezee?!
Wapi nilisema nategemea ukae kimya?
*btw hanipangii mtu cha kufanya JF hii kama Mimi nisivyompangia yoyote
True Love has no boundaries.
Hawakuweza mchana kwa mwanga wa mungu wataweza usiku kwa mwanga wa mzungu?
Naanza kupapasa kinanda sasa.....mapenzi dot com
Duh yaani kimkono kimeenda kwenye hiyo URL naambiwa "this domain is for sale" wakati nilijua ndo ile web page ya kuwasaidia wabeba mabox
Heri ww for sale....mimi imesomeka...'never existed'Duh yaani kimkono kimeenda kwenye hiyo URL naambiwa "this domain is for sale" wakati nilijua ndo ile web page ya kuwasaidia wabeba mabox
hahahaha.... Gaijin.....
Then why do you always have to manipulate meanings...
Kwanini kuzunguka? Kulikua na ugumu gani kujibu swali?
Alafu of all people.... Nani ampangie Gaijini la kufanya? Hajipendi?
Heri ww for sale....mimi imesomeka...'never existed'
Picking the discussion from where I find it: Mariage is a SOCIAL institution. Ila ukweli ni kwamba you are still two separate INDIVIDUALS na kila mtu anahitaji some personal space inside and outside. Tuache mbali swala la sim, unaweza kua na kiti fulani that you consider "yours" na hata spouse wako akikalia you can ask him/her to seat on another one sababu unataka kiti 'chako'.What the hell is privacy in a marriage? Mweh!