Today's relationships

Inbox ya simu kitu gani?
Mtu anaingia inbox ya mwili wako?
Hebu tuweni siriaz na wenza wetu
Ila mie ni wa mwaka 1947
Sielewi kabisa kwenye kumnyima mwenzi wangu simu, na hainiingii
Hata kama mme wako ni jambazi, ndo jambazi lako
lazima ujue ili ijue unajipangaje naye
Hata kama ni mchwi ndo wako tena huyo

Hii ni pasua kichwa

Nini inbox ya mwili ..engine kabisa!!!
Mimi najiamin..akitaka kuchukua simu achukue na aingie kote huko lakin sitaki iwe daily routine. Hata mimi najisikia vibaya,eti kila tukionana kitu cha kwanza jamaa anachokiona ni simu fastaaa anaaanza kuperuz..labda kama kanioa!

Ni kweli usemayo..haya mambo ni pasua kichwa tena sana tu! Mambo ya kuwekana wazi si mtawekana wazi kwa njia ya conversation sio kwa kupekuana kwenye simu..huyu nani? mbona huyu alikupigia asubuhi sana mlikuwa na nini? heeeeeh!??... Hii numba ya nani mbona ni ngeni kwenye phone book??....dah!
 
mimi nachukulia simu ni kitu binafsi kama mswaki ndio maana hatuchangii miswaki hata kama tuko kwenye ndoa, kila mtu anatumia mswaki wake kwa hiyo na simu ni hivyo hivyo
 
Kama alivyosema Mwanakijiji
Wanamme huwa ni padogo sana kwenda nao upendavyo
Ila lazima utumie akili kidogo
kama unataka kuwa na raha na mahusiano yake
mfanye mwanamme ajione ana madaraka na mamlaka
huna haja ya limbwata
Tena kitu kidogo kama simu, hata ukimuona anapekua wala huulizi
kama ulikuwa chumbani mwache nayo nenda kaoshe vyombo jikoni
Zikiingia meseji mwambie "dear naomba unisomee mikono yangu inapovu"
Kama unaoga mwambie "swir nipokelee"

Haijalishi wewe ni cheater au mwaminifu mmeo lazima awe na full access ya simu yako, tumia akili ya kuzaliwa kuficha mahusiano ya nje. Bora ukawa na simu mbili moja ukaiacha kazini, mechi za machangani piga siku za kazi na masaa ya kazi tu.
ukiona unaanza kumbeba na wikiendi piga chini fasta maana utaingia mkenge usio na maana.
They are for fun nothing more.Period!

Huolewi/huoi ili umpatie mtu presha ya hiari jamani, am I an I.d.i.o.t here?
:shock:
Ila inategemea labda kama umeolewa na kavulana ila kama ni mwanamme hata account atajua na sh ngapi na bado natumia zake

Nini inbox ya mwili ..engine kabisa!!!
Mimi najiamin..akitaka kuchukua simu achukue na aingie kote huko lakin sitaki iwe daily routine. Hata mimi najisikia vibaya,eti kila tukionana kitu cha kwanza jamaa anachokiona ni simu fastaaa anaaanza kuperuz..labda kama kanioa!

Ni kweli usemayo..haya mambo ni pasua kichwa tena sana tu! Mambo ya kuwekana wazi si mtawekana wazi kwa njia ya conversation sio kwa kupekuana kwenye simu..huyu nani? mbona huyu alikupigia asubuhi sana mlikuwa na nini? heeeeeh!??... Hii numba ya nani mbona ni ngeni kwenye phone book??....dah!
 
Kuna kitu kinaitwa Privacy.... Ni muhimu saana kui-observe.

Kukataa kwa mpenzi wako kushika simu sio neccessarily kusema ana ku-cheat, yaweza kua mambo yaliyomo mengine confidential. Na tuache longo longo za kusema kila kitu ni kuambizana na kushare... Sio Kweli; everybody has some secrets za ku-guid.... Kuna mambo ya kazi, kuna mambo ya rafiki wa karibu, na mipango mingi, Mradi iyo simu isiwe ka yai kua hurusiwi hata kugusa kupiga simu incase yakwako ina kikwazo chochote.
 
Kuna kitu kinaitwa Privacy.... Ni muhimu saana kui-observe.

Kukataa kwa mpenzi wako kushika simu sio neccessarily kusema ana ku-cheat, yaweza kua mambo yaliyomo mengine confidential. Na tuache longo longo za kusema kila kitu ni kuambizana na kushare... Sio Kweli; everybody has some secrets za ku-guid.... Kuna mambo ya kazi, kuna mambo ya rafiki wa karibu, na mipango mingi, Mradi iyo simu isiwe ka yai kua hurusiwi hata kugusa kupiga simu incase yakwako ina kikwazo chochote.

Hmmm....really?
 
Naaah! I don't bliv you are that out of touch bana... Tell me labda nakosea somewhere...

Hapana dada'angu hujakosea maana huo ndo mtazamo wako. Ila nashangaa tu maana inaelekea ni watu wengi sana katika jamii wanaoikubali hiyo dhana.
 
Hapana dada'angu hujakosea maana huo ndo mtazamo wako. Ila nashangaa tu maana inaelekea ni watu wengi sana katika jamii wanaoikubali hiyo dhana.

Yaani dhana ya kusema watu wasipekue pekue simu?

What the hell is privacy in a marriage? Mweh!

IMO, Logically speaking katika ndoa hapatakiwi pawe na Privacy! Maana you are one....
Realistically speaking hakuna kitu muhimu kama privacy katika ndoa. Kufuatiliana
kwa kuvuka mpaka, hupelekea suffocation, which may result to anger and inevitably hate.
At least that is my belief.... Privacy haihusishi tu simu, hata kumpa mtu breathing space
hasa hasa kama ndoa yenu ipo katika a "rut stage"
 
Yaani dhana ya kusema watu wasipekue pekue simu?



IMO, Logically speaking katika ndoa hapatakiwi pawe na Privacy! Maana you are one....
Realistically speaking hakuna kitu muhimu kama privacy katika ndoa. Kufuatiliana
kwa kuvuka mpaka, hupelekea suffocation, which may result to anger and inevitably hate.
At least that is my belief.... Privacy haihusishi tu simu, hata kumpa mtu breathing space
hasa hasa kama ndoa yenu ipo katika a "rut stage"

AshaDii umeolewa?
 
Ashadii nisaidie ni mambo gani ambayo mwenza wangu tena wa ndoa hapaswi kuyajua?


hahaha.... Dear naona yategemea na one's/couple's stand.... But IMHO...


  1. Mambo ya kazini ambayo Kampuni hairuhusu yajulikane.
  2. Mambo mengine ya kifamilia ni ya aibu e.g mjomba kabaka mdogo wako (God forbid)
  3. Kwamba kuna mwanaume/mwanamke mwingine wamkubali kuliko yeye spouse wako.
  4. Yaweza yakawepo mengine.... (but haya si yatosha B'?)
 
hahahaha.... Ngabu... What do you think?

Okay, if memory serves me right, you are married.

Now, does your husband know if you are a member here? Is he a member too? If he is, do you know his user handle? Does he know yours?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom