bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
Na hito simu ninayokatalia asiishike ndo inakuwa na hayo mambo ya kazini eeh?hahaha.... Dear naona yategemea na one's/couple's stand.... But IMHO...
- Mambo ya kazini ambayo Kampuni hairuhusu yajulikane.
- Mambo mengine ya kifamilia ni ya aibu e.g mjomba kabaka mdogo wako (God forbid)
- Kwamba kuna mwanaume/mwanamke mwingine wamkubali kuliko yeye spouse wako.
- Yaweza yakawepo mengine.... (but haya si yatosha B'?)
Halafu namku alije mwanaume mwingine kuliko mume wangu?/kivipi?