Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
hii imenifurahisha sana, sasa kwenye ndo utasemaje kama wife aamekunyima hela ya bia, itabidi uwe mpole, ndoa zetu siku hizi ni kuvumiliana kwa sana, make wake au waume wako busy kutafuta maisha, so ikifika ucku kila mtu taabani, haya maisha jamani, sometime mimi yananikera sana pale inapofikia niko mbali namke wangu--lakini anyway, hakuana shida. Bibie usijali sana kila kitu kitakuwa sawa, one day i will come home and never leave you again.
haa jamani umenitia huruma hapo...khaa kweli maisha.... wakati mie nasema bora nasafiri hv karibuni hata nikija tuanze mapenzi 1 wengine ndio wanackitika...pole kabuche.