Yaweza kuwa na miezi 10 akadhani inakua hivyo siku zote...Hongera Mama Brian!!
Na kama hutajali, hebu sema ndoa yenu ina umri gani na je all along mambo ni superrrr?
Kuna kitu kinaitwa "7 year itch"...... how have you dealt with it?
mbu hebu nigaie maelezo ya kwanini uwe offended mkeo akikupa pesa (once in a while)
jazia jazia maelezo hayo ndugu
mbu ningekupa pole lakini nafikiri kwa kuwa umelelewa katika mazingira yanayofanana unaweza ukaona pole yangu haina msingi,
ila kuna wanawake wengine hadi wanafikia kuchekwa kwa kuwa kila pesa aipatayo anafikiria kumnunulia mume kitu na ujenzi wa nyumba au ununuzi wa gari na vitu vyengine vinafanyika kwa pesa ya wote na si ya mume peke yake.
hichi kitengo cha ndoa kwa kweli hakina formula, kila mtu anakwenda nacho kwa mujibu wa mazingira husika tu...
mbu ningekupa pole lakini nafikiri kwa kuwa umelelewa katika mazingira yanayofanana unaweza ukaona pole yangu haina msingi,
ila kuna wanawake wengine hadi wanafikia kuchekwa kwa kuwa kila pesa aipatayo anafikiria kumnunulia mume kitu na ujenzi wa nyumba au ununuzi wa gari na vitu vyengine vinafanyika kwa pesa ya wote na si ya mume peke yake.
hichi kitengo cha ndoa kwa kweli hakina formula, kila mtu anakwenda nacho kwa mujibu wa mazingira husika tu...
Yaweza kuwa na miezi 10 akadhani inakua hivyo siku zote...
Mbona mnaniogopesha wajamane nina miaka 3 sasa.
safiiiiiiiiiiShukrani za dhati zikufikie Hommie; Hii mada imenipa mwanga tofauti kwani inazungumzia tatizo lilopo kila siku lakini kati mtazamo tofauti na tunavyojadili hapa siku zote. Dah tangu jana nalisoma hili li sredi sikutaka kuruka hata nukta!:smile:
Mbu na Dark City na wadau wengine nimewagongea kabatani ketu kuonyesha kuguswa na maelezo yenu na hasa Mbu kwa Darasa ulilotoa hapo juu! Kudos Guys!
Nadhani kuna kitu kinakwepwa hapa na hili nilizungumzie kwa upande wa nilivyoexpiriensi; Kulitokea kuhitilafiana na Mama Juniour na bahati mbaya mie niliruhusu hasira kunichukua na hatimaye nikabaki hivyo ; mtu mwenye hasira ! Mamajr yeye baada ya kuona nimewaka kwa hasira aliumia mno na katika kuumia alikata tamaa na kutoliongelea tatizo lilotukumba na hii ikapelekea muwasho baina yetu kushuka kwa kiwango kikubwa.Kumbuka hapa yeye anaumia ; Mimi nimejijaza mijihasira! :doh: Ilitugharimu sana na ni kwa bahati nzuri Mungu aliiingilia kati kila mtua akakumbuka wajibu wake a tukayasawazisha.
Somo kuu hapo ni kuwa ukitokea ugomvi unless uwe ni wa kuumizana na kuuana wanandoa jaribuni kutafuta muda maalum kuliongea na kulitafakari kwa kina lilotokea na kuona kuwa linasawazishwa paipo na shaka kwenu nyote. Then mwasho utakuwa imara tu kwa kuwa siri kubwa ya muwasho wenu ni kuthaminiana na kuaminiana!:bathbaby:
Shukrani za dhati zikufikie Hommie; Hii mada imenipa mwanga tofauti kwani inazungumzia tatizo lilopo kila siku lakini kati mtazamo tofauti na tunavyojadili hapa siku zote. Dah tangu jana nalisoma hili li sredi sikutaka kuruka hata nukta!:smile:
Mbu na Dark City na wadau wengine nimewagongea kabatani ketu kuonyesha kuguswa na maelezo yenu na hasa Mbu kwa Darasa ulilotoa hapo juu! Kudos Guys!
Nadhani kuna kitu kinakwepwa hapa na hili nilizungumzie kwa upande wa nilivyoexpiriensi; Kulitokea kuhitilafiana na Mama Juniour na bahati mbaya mie niliruhusu hasira kunichukua na hatimaye nikabaki hivyo ; mtu mwenye hasira ! Mamajr yeye baada ya kuona nimewaka kwa hasira aliumia mno na katika kuumia alikata tamaa na kutoliongelea tatizo lilotukumba na hii ikapelekea muwasho baina yetu kushuka kwa kiwango kikubwa.Kumbuka hapa yeye anaumia ; Mimi nimejijaza mijihasira! :doh: Ilitugharimu sana na ni kwa bahati nzuri Mungu aliiingilia kati kila mtua akakumbuka wajibu wake a tukayasawazisha.
Somo kuu hapo ni kuwa ukitokea ugomvi unless uwe ni wa kuumizana na kuuana wanandoa jaribuni kutafuta muda maalum kuliongea na kulitafakari kwa kina lilotokea na kuona kuwa linasawazishwa paipo na shaka kwenu nyote. Then mwasho utakuwa imara tu kwa kuwa siri kubwa ya muwasho wenu ni kuthaminiana na kuaminiana!:bathbaby:
Mbona mnaniogopesha wajamane nina miaka 3 sasa.
jamani Mrs kuna zaidi ya beer..vocha je?
mbu ningekupa pole lakini nafikiri kwa kuwa umelelewa katika mazingira yanayofanana unaweza ukaona pole yangu haina msingi,
ila kuna wanawake wengine hadi wanafikia kuchekwa kwa kuwa kila pesa aipatayo anafikiria kumnunulia mume kitu na ujenzi wa nyumba au ununuzi wa gari na vitu vyengine vinafanyika kwa pesa ya wote na si ya mume peke yake.
hichi kitengo cha ndoa kwa kweli hakina formula, kila mtu anakwenda nacho kwa mujibu wa mazingira husika tu...
Kumbe bado kabisa:tape:
What? Mnaongelea nn hapa?
oh my lord, mie na kingeredha hatupatuelewani sana!jinsi ya kurudisha penzi lililotweka kwa ndoa za binadamu sie....ila teamo kakataza kiswahili...:a s angry:
unataka kumwambia kama ni mtoto ndio kwanzaa anatambaa...lol una visa wewe, wacha kumuogopesha mama b...mkumbushe amweke mumewe kwenye sala zake kila kukicha...mana wengine tuliwaweka hawakuwekeka tulivyoacha wakajiweka...ndoa hizi segere tupu.