Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,059
- 103,489
Vipi bado upo na TLS au kwa mama?
Kisheria nipo na TLS. Mama nipo naye kinafiki ndani ya hizi siku 100 za mwanzo, maana naye ni sehemu ya mchakato haramu wa majizi ya kura.
Vipi bado upo na TLS au kwa mama?
Mliingizwa Chaka na hao TLS. Kubalini kuwa hao TLS na nyie mna mihemko sana
Upo na TLS? We jamaa bana, kubali tu kuwa hao TLS waliwaingiza Chaka na Wana mihemko Sana. Katiba yenyewe hawaijui vizuri alafu wanakurupuka kutoa warakaKisheria nipo na TLS. Mama nipo naye kinafiki ndani ya hizi siku 100 za mwanzo, maana naye ni sehemu ya mchakato haramu wa majizi ya kura.
TLS wamekosea Sana na imetia doa hiyo taasisi. Hawajui hata kutafsiri katibaSheria ni jambo moja hapa kwetu, na utekelezaji ni jambo jingine. Hili huhitaji akili kubwa kulifahamu.
Huna akiliVipieo jibu umepata? Mliingizwa Chaka na TLS
Yaani ww ni buyuTLS wamekosea Sana na imetia doa hiyo taasisi. Hawajui hata kutafsiri katiba
Upo na TLS? We jamaa bana, kubali tu kuwa hao TLS waliwaingiza Chaka na Wana mihemko Sana. Katiba yenyewe hawaijui vizuri alafu wanakurupuka kutoa waraka
Kisheria nipo na TLS. Mama nipo naye kinafiki ndani ya hizi siku 100 za mwanzo, maana naye ni sehemu ya mchakato haramu wa majizi ya kura.
Majizi ya kura yasitie doa nchi, ndio itakuwa hao TLS kwa kutoa usahihi wa sheria?TLS wamekosea Sana na imetia doa hiyo taasisi. Hawajui hata kutafsiri katiba
Unafiki ndio chanzo cha wewe kuwa duni
Ndo waliokupa elimu hao kujakuwakosoaNasema hivi, ccm ni majizi ya kura, na Mungu kwa kujusma tabia ya ibilisi aliyekuwa akiongoza nchi kwa shuruti, akaamua kufanya mabadiliko bila kumwaga damu fullstop.
Serikali iko sahihi 100% kwa mujibu wa katibaWw ndio unaamini serikali iko sahihi kwa ajili nya mihemko. Sisi wengine tunajua serikali inaamua itakavyo.
Ndio ushangae Sasa chama Cha wanasheria hakijui kutafsiri Sheria. Wana mihemko balaaKumbe TLS muda mwingine nao ni vilaza kwenye katiba
Serikali iko sahihi 100% kwa mujibu wa katiba
Naona Leo kinyonge Sana, mmeingizwa Chaka na Kama kawaida yenu ya unyumbu mmeingiaa wazimawazimaWw ndio unaamini serikali iko sahihi kwa ajili nya mihemko. Sisi wengine tunajua serikali inaamua itakavyo.
Wazee wa mihemko, mmeingizwa Chaka na TLSHuna akili
Unyonge niutoe wapi? Yaani mimi naamini wataalamu, na sio hao wanaosema rais ni mzima yuko ofisini anachapa kazi.Naona Leo kinyonge Sana, mmeingizwa Chaka na Kama kawaida yenu ya unyumbu mmeingiaa wazimawazima
Vipi baraza limevunjwa?Unyonge niutoe wapi? Yaani mimi naamini wataalamu, na sio hao wanaosema rais ni mzima yuko ofisini anachapa kazi.
Naamini katiba ilifuatwaWw ndio unaamini serikali.