Tito Magoti: Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake ICC

Tito Magoti: Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake ICC

Adui yenu halisi ni yupi? Wewe unasema ni wasukuma, uvccm wanasema ni chadema kina heche na lissu, bigshow na timu yake wanasema ni TEC, raisi wenu anasema ni mabeberu

Kaeni chini mkubaliane adui yenu ni yupi
Hatuna adui wala rafiki. Utakavyokuja ndivyo utakavyopokelewa

Vipi unataka kuingia tena barabarani ukaibe mali za watu?
 
Nimekutolea mfano wa shetani kuendelea kuwepo maana yake dini zimeshindwa kumuangusha?
Nidhamu lazima itawale kwenye nchi yoyote. Huko Minneapolis wanaharakati wanalia baada ya ICE kutembeza vyuma kwa watu wanaowakosea heshima.

Dola lazima ilindwe kwa namna yoyote ile, uhuru unayo mipaka na asiyekumbushwa kistaarabu juu ya haki za wengine akidhani za kwake ndio kila kitu atakumbushwa kwa lazima.
 
Nidhamu lazima itawale kwenye nchi yoyote. Huko Minneapolis wanaharakati wanalia baada ya ICE kutembeza vyuma kwa watu wanaowakosea heshima.

Dola lazima ilindwe kwa namna yoyote ile, uhuru unayo mipaka na asiyekumbushwa kistaarabu juu ya haki za wengine akidhani za kwake ndio kila kitu atakumbushwa kwa lazima.
Wao walitaka waachwe wanaichoma nchi eti kwa kuwa kanisa litawatetea

Liwatetee basi tuone
 
Transfer of power is inevitable ndio maana wanamfanyia figisu Nchimbi wameshajua nini kinaenda kutokea.
Hizo hisia zako potofu, Nchimbi na SSH kitu kimoja. Huwezi kumpeleka Rais ICC wakati keshaunda tume.

Tatizo humu ushabiki unakuwa mwingi mpaka ujinga unaonekana wa maana.

Rais anapounda tume maana yake hao ICC inabidi waunde tume ije ifanye kazi na ile iliyoundwa na mkuu wa nchi.
 
Wale jamaa walipeleka moto kweli kweli hawakucheka na kima hata kidogo!.

Zile ndoto za Gen Z kuiteka ikulu huku wakijirusha kwenye vitanda ziliishia maeneo ya Mwenge na Kinondoni. Hawatakaa waisahau ile siku.
Good mnakiri wenyewe Samia aliua kwanini sass hamtaki akajibu mashitaka yake ICC.
 
Nidhamu lazima itawale kwenye nchi yoyote. Huko Minneapolis wanaharakati wanalia baada ya ICE kutembeza vyuma kwa watu wanaowakosea heshima.

Dola lazima ilindwe kwa namna yoyote ile, uhuru unayo mipaka na asiyekumbushwa kistaarabu juu ya haki za wengine akidhani za kwake ndio kila kitu atakumbushwa kwa lazima.
Hamna akili wala maarifa yoyote ya kulinda chochote
 
Hizo hisia zako potofu, Nchimbi na SSH kitu kimoja. Huwezi kumpeleka Rais ICC wakati keshaunda tume.

Tatizo humu ushabiki unakuwa mwingi mpaka ujinga unaonekana wa maana.

Rais anapounda tume maana yake hao ICC inabidi waunde tume ije ifanye kazi na ile iliyoundwa na mkuu wa nchi.

Wao wana akili za kanisa

Zimejaa chuki na kisirani

Ila watambue kuwa wakileta fujo ni shaba tuh
 
Hizo hisia zako potofu, Nchimbi na SSH kitu kimoja. Huwezi kumpeleka Rais ICC wakati keshaunda tume.

Tatizo humu ushabiki unakuwa mwingi mpaka ujinga unaonekana wa maana.

Rais anapounda tume maana yake hao ICC inabidi waunde tume ije ifanye kazi na ile iliyoundwa na mkuu wa nchi.
Mtuhumiwa aunde tume does it make sense.
 
Back
Top Bottom