Tito Magoti: Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake ICC

Tito Magoti: Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake ICC

Museveni hana ushahudi mkubwa dhidi yake.

Samia kila chombo cha kimataifa kimemkalia kooni kuuwa maelfu ya watu. Hadi Taasisi za Kimataifa zimewasilisha maombi rasmi kwa ICC kuiomba ifanye uchunguzi na kuwakamata Samia na washirika wake.


Museven ataondoka kwa nature (Natural Death) kutokana na mzee ila Samia labda nae afe ila jela za ICC lazima alale kwa kipindi kitakachobakia cha maisha yake.
Kila mtu anatamani haki itendeke, lakini sio kwa hizo wishful thinking zenu.
 
Fuatilia mambo zaidi. Kama unakumbuka Omar al-Bashir wa Sudan, Alipotembelea Afrika Kusini na Jordan (nchi wanachama wa ICC), hawakumkamata. Baadaye, Mahakama ya ICC ilitoa uamuzi kuwa nchi hizo zilivunja wajibu wao wa kisheria. Na hakuna chochote alichofanywa na hao ICC badala yake ni jeshi lake lililokuja kumpindua.

Cha ajabu mnaamini kuna mtu atamkamata Rais Samuya. Nyie kwa nini mnapenda kujipa matumaini hewa?
Umesahau kwamba Bashir alikimbizwa Airport mara moja baada ya mahakama ya SA kuingilia kati?

Baada ya hapo hakwenda tena huko.

Pia Putin alitaka kwenda SA mkutano wa BRICS. Serikali ya SA ikaomba ushauri wa mwanasheria wao. Akasema mahakama ikitoa order itabidi akamatwe. Akaambiwa asiiende.
Nchi yenye mahakama huru ukienda unakamatwa. Kwa madikteta Unaweza kuwa Salama
 
Umesahau kwamba Bashir alikimbizwa Airport mara moja baada ya mahakama ya SA kuingilia kati?

Baada ya hapo hakwenda tena huko.

Pia Putin alitaka kwenda SA mkutano wa BRICS. Serikali ya SA ikaomba ushauri wa mwanasheria wao. Akasema mahakama ikitoa order itabidi akamatwe. Akaambiwa asiiende.
Nchi yenye mahakama huru ukienda unakamatwa. Kwa madikteta Unaweza kuwa Salama
Sasa unategemea Samia atakuwa mjinga kwenda kwenye mataifa ambayo anahisi yatasababisha apelekewe moto?
 
Fuatilia mambo zaidi. Kama unakumbuka Omar al-Bashir wa Sudan, Alipotembelea Afrika Kusini na Jordan (nchi wanachama wa ICC), hawakumkamata. Baadaye, Mahakama ya ICC ilitoa uamuzi kuwa nchi hizo zilivunja wajibu wao wa kisheria. Na hakuna chochote alichofanywa na hao ICC badala yake ni jeshi lake lililokuja kumpindua.

Cha ajabu mnaamini kuna mtu atamkamata Rais Samuya. Nyie kwa nini mnapenda kujipa matumaini hewa?
Rudi tena ukasome unajua kwanini hakukamatwa?Ulijua kilicho kuwa kimempeleka kule?Rais wa Afrika kusini aliomba asikamatwe kwasababu iliyokuwa imepeleka Kwa wakati ule.

Muwe mnasoma .Mnapoteza sana huyu shetani wapenu wakike kama washauri wenyewe ni wewe
 
wewe ndiyo labda hauelewi, anaweza kukamatwa popote, rodrigo duderte wa phillipines alikamatwa na icc ndani ya phillipines, raisi wa ufilipino aliwaruhusu icc kuingia nchini na kummkamata, sasa kama iliwezekana ufilipino ije kushindikana tanzagiza kwa huyu? ...
Tena Durtete alikuwa ameshamaliza mchakato wa kujitoa ICC lakini haikusaidia kitu.

Namkumbuka Malcom Lumumba lile andiko lake
 
Wako wapi waliohojiwa?.. halafu ICC imtaarifu Samia kuhusu kumshitaki na iwe Siri, media zisijue ujue wewe tu na akina sarungi?
Hii ni initial stage. Anatakiwa kujitetea kabla ya ICC kuingilia kati.
Anaweza kusema Kaunda tume ya ndani na ni huru hivyo hamna haja ya ICC. Wakiamini atakachosema wanaweza wasianze uchunguzi.
 
Huwezi conclude uchunguzi wa kisheria toka kwenye picha halafu ukawa credible,lazima uende ground
Ndiyo maana mnabaki na maneno huenda mamia wamezikwa makaburi ya halaiki,hamna uhakika wala hamjui mseme yalipo
Picha zote na video lazima zihakikiwe kuwa ushahidi .Hata hivyo shahidi namba Moja na Hospitali zote za Kanisa Katoliki
 
Rudi tena ukasome unajua kwanini hakukamatwa?Ulijua kilicho kuwa kimempeleka kule?Rais wa Afrika kusini aliomba asikamatwe kwasababu iliyokuwa imepeleka Kwa wakati ule.

Muwe mnasoma .Mnapoteza sana huyu shetani wapenu wakike kama washauri wenyewe ni wewe
Wewe tena mpiga ramli umekula?
 
Back
Top Bottom