sokowelehk
Senior Member
- Sep 16, 2018
- 161
- 126
Nafikiri bado hamjamjua magu ninyi. Hao wate wataenda kupiga magoti kwa kuomba msamaha kwake na 2020 watempigia kampeni magu na mtaendelea kushangaa pia. 2010 kikwete alipiga kampeni za kifamilia ( lidhiwani na mama salma) Ila sio kwa magu ninae mfaham. Mtajutia hizi porojo zenu.