Leonardchama7
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 2,965
- 4,052
Ha ha ha ha,kumekucha
The best comment! Sijui tutajifunza lini, wapenzi wakigombana chukua jembe kalime. Chadema achaneni na maugomvi ya CCM hamjifunzi tu!!!Wote hao wana maslahi na CCM. Hakuna Jipya, ni sisi walala hoi ndiyo wa kuamua kwamba hakuna tena CCM Kucheka nao.
Watanzania tutajikomboa wenyewe dhidi ya Ccm na Utawala wa Kishenzi akili zikitujia.
Excellent! Go! go ! guys we need change no matter positive or negative!By Mange Kimambi:
Ni uwanja wa siasa ndani ya CCM
1. Mh. Nchimbi
2. Mh. Chikawe
3. Mh. Mama Ghasia
4. Mh. Mzee Kinana
5. (Mkoba) ni Mh. Mwandosya
6. (Kiungo mkabaji) January Makamba
7. Mh. Riz one Kikwete
8. (Kiungo mshambuliaji) Mh. Dr. Mwigulu Mchemba
9. Membe (Baba la Baba) mseminari, kachelo
10. Mh. Nape Moses Nnauye
11. Mh. Ngereja
SUBSTITUTION (SABU)
Mama malecela
Mama Samia
Mama Salma Kikwete
Mh. Kitwanga
Mh. Mwijage
Mh. Hassan Masala
Mh. Dkt. Charles Tizeba
Prof. Sospeter Muhongo
Dkt. Susan Alphonce Kolimba
BENCHI LA UFUNDI
1. Jakaya Kikwete
2. Mzee msekwa
3. Mzee Samuel Malecela.
4. Mzee Ghalib Bilal
5. Mh. David Msuya
6. Mzee Mwinyi
7. Mzee Makamba
Mtanange ndio kwanza unaanza, mtoto hatumwi dukani, unaambiwa usichelewe Unga robo.
Usisahau referee atakua MZEE MKAPA [emoji23]
😂😂😂😂Hapa saivi ni bonge la juisi ya miwa miksa mabisi nimechili naangalia gemu na kuchochea kuni moto usizime[emoji41][emoji41][emoji41]
By the way kamwe hawakuwahi kuwa nae. Pamoja na kuvunja makundi ya kuchagua kwenye kutafuta mgombea. The good news is kuna watu kibao wapo nae. Ndo maana hata kwenye uchaguzi huwezi kupata kura asilimia mia.Mimi kwa hii list siamini naona tu mtu kaamua kutunga kukoleza mambo... Ila itokee ni kweli basi something z wrong somewhere kwa mukulu..haiwezekani watu wakubadilikie hv. Am sure kila kiongozi akiingia madarakani anapanga safu yake na ni kawaida. Y sasa hv iwe ni ishu. Kama ni kweli basi kuna kitu hakiko sawa.wat makes u thnk wao ndo ma traitor.
Hizi ni dua zako binafsi,.Allah ampe hikma Rais wetu Magufuli kama alivyompa Jk kipindi kama hiki cha Mgogoro 2009 mpaka ikafikia hatua hatuachiani glass bar ukienda chooni ukirudi unarudisha glass counter unachukua nyingine wengine wakakataa kabisa kutumia glass, ukifungua chupa unapiga talumbeta ukimaliza ndio walau unaweza kugeuza shingo au kupokea simu
Kilikuwa kipindi kigumu sana kama hiki
Kweli kabisa, ila hata Mubarak waMisri alikuwa Amiri Jeshi wa jeshi kubwa kuliko ya Afrika nzima, Zuma na Mbeki wakati ANC zinawang'oa walikuwa maamiri jeshi wakuu huko South na hata Albashiri Kule Sudan ndio alikuwa CDF.Magufuli jeshi la mtu mmoja. Hayumbishwi na hao vikaragosi. Magufuli ndo kashika nchi. Amiri jeshi mkuu wa majeshi yote.
Ni case tofauti hizo. Wengine walikuwa madctator wamekaa muda mrefu madarakani. Kwa Magufuli wanachi wapo nae. Nendeni nje muone watu wanamuunga mkono Magufuli Bwana.Kweli kabisa, ila hata Mubarak waMisri alikuwa Amiri Jeshi wa jeshi kubwa kuliko ya Afrika nzima, Zuma na Mbeki wakati ANC zinawang'oa walikuwa maamiri jeshi wakuu huko South na hata Albashiri Kyle Sudan ndio alikuwa CDF.
Hivyo kuwa na mamlaka hayo pekee hakukupi guarantee ya kudumu madarakani kama unachanganya mambo
Refa ni Mungu mambo ni fireeeeeeBy Mange Kimambi:
Ni uwanja wa siasa ndani ya CCM
1. Mh. Nchimbi
2. Mh. Chikawe
3. Mh. Mama Ghasia
4. Mh. Mzee Kinana
5. (Mkoba) ni Mh. Mwandosya
6. (Kiungo mkabaji) January Makamba
7. Mh. Riz one Kikwete
8. (Kiungo mshambuliaji) Mh. Dr. Mwigulu Mchemba
9. Membe (Baba la Baba) mseminari, kachelo
10. Mh. Nape Moses Nnauye
11. Mh. Ngereja
SUBSTITUTION (SABU)
Mama malecela
Mama Samia
Mama Salma Kikwete
Mh. Kitwanga
Mh. Mwijage
Mh. Hassan Masala
Mh. Dkt. Charles Tizeba
Prof. Sospeter Muhongo
Dkt. Susan Alphonce Kolimba
BENCHI LA UFUNDI
1. Jakaya Kikwete
2. Mzee msekwa
3. Mzee Samuel Malecela.
4. Mzee Ghalib Bilal
5. Mh. David Msuya
6. Mzee Mwinyi
7. Mzee Makamba
Mtanange ndio kwanza unaanza, mtoto hatumwi dukani, unaambiwa usichelewe Unga robo.
Usisahau referee atakua MZEE MKAPA [emoji23]
Na hawa watanzania watakuwa nao sambamba.Wote hao against Magu.
Magu is truly gangster.
One man army.
Vic unakuwa kama mgeni na siasa za Tanzania? Kupendwa gani unazungumzia mkuu wangu?Ni case tofauti hizo. Wengine walikuwa madctator wamekaa muda mrefu madarakani. Kwa Magufuli wanachi wapo nae. Nendeni nje muone watu wanamuunga mkono Magufuli Bwana.
By Mange Kimambi:
Ni uwanja wa siasa ndani ya CCM
1. Mh. Nchimbi
2. Mh. Chikawe
3. Mh. Mama Ghasia
4. Mh. Mzee Kinana
5. (Mkoba) ni Mh. Mwandosya
6. (Kiungo mkabaji) January Makamba
7. Mh. Riz one Kikwete
8. (Kiungo mshambuliaji) Mh. Dr. Mwigulu Mchemba
9. Membe (Baba la Baba) mseminari, kachelo
10. Mh. Nape Moses Nnauye
11. Mh. Ngereja
SUBSTITUTION (SABU)
Mama malecela
Mama Samia
Mama Salma Kikwete
Mh. Kitwanga
Mh. Mwijage
Mh. Hassan Masala
Mh. Dkt. Charles Tizeba
Prof. Sospeter Muhongo
Dkt. Susan Alphonce Kolimba
BENCHI LA UFUNDI
1. Jakaya Kikwete
2. Mzee msekwa
3. Mzee Samuel Malecela.
4. Mzee Ghalib Bilal
5. Mh. David Msuya
6. Mzee Mwinyi
7. Mzee Makamba
Mtanange ndio kwanza unaanza, mtoto hatumwi dukani, unaambiwa usichelewe Unga robo.
Usisahau referee atakua MZEE MKAPA [emoji23]
Wewe nae unakera kila thread unaweka comment moja tu ya simbachawene.Simbachawene Aliboronga Ofisi Ya Rais Akaondoka Na Ripoti Ya Tume Ya Uchunguzi Ya Tanzanite. Rais Akasema Akikuteua Ukaharibu Hawezi Kukuteua Tena Ili Usiharibu Sehemu Nyingine Sasa Simbachawene Karudishwa Upya! JE Inamana Rais Kasahau Kauli Yake Au CCM Imehishiwa Watu Wa Kuteua?
Lawama zote kwa John