KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,181
- 17,179
Oooh, mbona 'game' lisha kwisha kabla ya kuanza.Usisahau referee atakua MZEE MKAPA
Timu Jiwe 5... na hao wengine 0. Hata magoli ya mikono refa anaruhusu.
Oooh, mbona 'game' lisha kwisha kabla ya kuanza.Usisahau referee atakua MZEE MKAPA
Asallalle!Hayumbishwi wakati tayari kamteua Bashe ambae alikuwa analalamika kuwindwa na wasiojulikana huku Mzee mwenyewe akiapa hatowateua Wabunge wanaokosoa Serikal Bungeni
Kuyumbishwa ni pamoja na kufanya usiopanga kuyafanya
Simbachawene karudishwa walau kuziba ‘sifulia la udongo’ lililoanza kuvuja wakati unatafuta sifuria la bati kukabiliana na mvua kali inayolowanisha jiko
Ukiona Id yangu fumba macho mkuu. Usijipe stress zisizo na msingi.Wewe nae unakera kila thread unaweka comment moja tu ya simbachawene.
Huyu ni kocha Wa magolikipaSimuoni Hussein mwinyi kwenye list
Leta list mkuu??
Mh. Juma Nkamia atafaaMtangazaji wa hiyo mechi atakuwa nani
Sawa mkuu,mara nyingi natumia smartphone.Ukiwa ofisini social media out of bounds.Kipo mkuu sema hujui kukitumia ukitumia PC utakiona kitumie ujumbe utanifikia
Ni uwanja wa siasa ndani ya CCM
1. Mh. Nchimbi
2. Mh. Chikawe
3. Mh. Mama Ghasia
4. Mh. Mzee Kinana
5. (Mkoba) ni Mh. Mwandosya
6. (Kiungo mkabaji) January Makamba
7. Mh. Riz one Kikwete
8. (Kiungo mshambuliaji) Mh. Dr. Mwigulu Mchemba
9. Membe (Baba la Baba) Mseminari, Kachero
10. Mh. Nape Moses Nnauye
11. Mh. Ngereja
SUBSTITUTION (SABU)
Mama malecela
Mama Samia
Mama Salma Kikwete
Mh. Kitwanga
Mh. Mwijage
Mh. Hassan Masala
Mh. Dkt. Charles Tizeba
Prof. Sospeter Muhongo
Dkt. Susan Alphonce Kolimba
Sofia Simba
BENCHI LA UFUNDI
1. Jakaya Kikwete
2. Mzee msekwa
3. Mzee Samuel Malecela
4. Mzee Ghalib Bilal
5. Mh. David Msuya
6. Mzee Mwinyi
7. Mzee Makamba
Mtanange ndio kwanza unaanza, mtoto hatumwi dukani, unaambiwa usichelewe Unga robo.
Usisahau referee atakua MZEE MKAPA
Hawawezi hata kidogoNi uwanja wa siasa ndani ya CCM
1. Mh. Nchimbi
2. Mh. Chikawe
3. Mh. Mama Ghasia
4. Mh. Mzee Kinana
5. (Mkoba) ni Mh. Mwandosya
6. (Kiungo mkabaji) January Makamba
7. Mh. Riz one Kikwete
8. (Kiungo mshambuliaji) Mh. Dr. Mwigulu Mchemba
9. Membe (Baba la Baba) Mseminari, Kachero
10. Mh. Nape Moses Nnauye
11. Mh. Ngereja
SUBSTITUTION (SABU)
Mama malecela
Mama Samia
Mama Salma Kikwete
Mh. Kitwanga
Mh. Mwijage
Mh. Hassan Masala
Mh. Dkt. Charles Tizeba
Prof. Sospeter Muhongo
Dkt. Susan Alphonce Kolimba
Sofia Simba
BENCHI LA UFUNDI
1. Jakaya Kikwete
2. Mzee msekwa
3. Mzee Samuel Malecela
4. Mzee Ghalib Bilal
5. Mh. David Msuya
6. Mzee Mwinyi
7. Mzee Makamba
Mtanange ndio kwanza unaanza, mtoto hatumwi dukani, unaambiwa usichelewe Unga robo.
Usisahau referee atakua MZEE MKAPA
Nyie vichelema wa siasa mnakumbuka hii? Akina Quinine Salary Slip akina Alvin A. Zitto etcKumbe hujui watu! Mzee Msekwa, Mzee Mkapa na Mzee Mwinyi ni Magufuli kindakindaki
Kwa akili yako ulitegemea aseme nini, hata mimi ningesema alivyosema Mwinyi.Nyie vichelema wa siasa mnakumbuka hii? Akina Quinine Salary Slip akina Alvin A. Zitto etc
![]()
Mzee Mwinyi amlaumu January Makamba kwa kutumia picha yake wakati huu
Mzee Mwinyi kaeleza jinsi alivyokwazwa na picha yake kutumika katika kipindi hiki. Kwa mara nyingine JMakamba kaonyesha utoto kama aliouonyesha Baba yake. Familia ya Makamba ni Janga la Kitaifa.Yaani haya maigizo yenu ndo liwe janga la kitaifa?www.jamiiforums.com
I know them personally my dearKwa akili yako ulitegemea aseme nini, hata mimi ningesema alivyosema Mwinyi.
Kwa hiyo itacheza timu moja tu!!Ni uwanja wa siasa ndani ya CCM
1. Mh. Nchimbi
2. Mh. Chikawe
3. Mh. Mama Ghasia
4. Mh. Mzee Kinana
5. (Mkoba) ni Mh. Mwandosya
6. (Kiungo mkabaji) January Makamba
7. Mh. Riz one Kikwete
8. (Kiungo mshambuliaji) Mh. Dr. Mwigulu Mchemba
9. Membe (Baba la Baba) Mseminari, Kachero
10. Mh. Nape Moses Nnauye
11. Mh. Ngereja
SUBSTITUTION (SABU)
Mama malecela
Mama Samia
Mama Salma Kikwete
Mh. Kitwanga
Mh. Mwijage
Mh. Hassan Masala
Mh. Dkt. Charles Tizeba
Prof. Sospeter Muhongo
Dkt. Susan Alphonce Kolimba
Sofia Simba
BENCHI LA UFUNDI
1. Jakaya Kikwete
2. Mzee msekwa
3. Mzee Samuel Malecela
4. Mzee Ghalib Bilal
5. Mh. David Msuya
6. Mzee Mwinyi
7. Mzee Makamba
Mtanange ndio kwanza unaanza, mtoto hatumwi dukani, unaambiwa usichelewe Unga robo.
Usisahau referee atakua MZEE MKAPA
Unataka kumponza weweeee!Majeshi yanaongozwa na Hussein mwinyi
Wote hao against Magu.
Magu is truly gangster.
One man army.
Kikwete sawa ila sio Yule. Yule ni jiwe Kweli kweli.Eti gangstarr??!
Mtu akimsikia Membe anakua kichaa kabisa!
Mtu akimskia January Makamba anapagawa duniani hakuna!
Mtu ana madaraka hapa na Mecca ila muoga ngedere anasubiri!
Maarifaless!