Timu ya ushindi, kikosi kimetangazwa

Timu ya ushindi, kikosi kimetangazwa

Allah ampe hikma Rais wetu Magufuli kama alivyompa Jk kipindi kama hiki cha Mgogoro 2009 mpaka ikafikia hatua hatuachiani glass bar ukienda chooni ukirudi unarudisha glass counter unachukua nyingine wengine wakakataa kabisa kutumia glass, ukifungua chupa unapiga talumbeta ukimaliza ndio walau unaweza kugeuza shingo au kupokea simu

Kilikuwa kipindi kigumu sana kama hiki
Mpaka sasa hekima 0
 
FB_IMG_1563699681428.jpg
 
Allah ampe hikma Rais wetu Magufuli kama alivyompa Jk kipindi kama hiki cha Mgogoro 2009 mpaka ikafikia hatua hatuachiani glass bar ukienda chooni ukirudi unarudisha glass counter unachukua nyingine wengine wakakataa kabisa kutumia glass, ukifungua chupa unapiga talumbeta ukimaliza ndio walau unaweza kugeuza shingo au kupokea simu

Kilikuwa kipindi kigumu sana kama hiki
Hahaha aisee
 
By Mange Kimambi:

Ni uwanja wa siasa ndani ya CCM

1. Mh. Nchimbi

2. Mh. Chikawe

3. Mh. Mama Ghasia

4. Mh. Mzee Kinana

5. (Mkoba) ni Mh. Mwandosya

6. (Kiungo mkabaji) January Makamba

7. Mh. Riz one Kikwete

8. (Kiungo mshambuliaji) Mh. Dr. Mwigulu Mchemba

9. Membe (Baba la Baba) mseminari, kachelo

10. Mh. Nape Moses Nnauye

11. Mh. Ngereja

SUBSTITUTION (SABU)

Mama malecela

Mama Samia

Mama Salma Kikwete

Mh. Kitwanga

Mh. Mwijage

Mh. Hassan Masala

Mh. Dkt. Charles Tizeba

Prof. Sospeter Muhongo

Dkt. Susan Alphonce Kolimba

BENCHI LA UFUNDI

1. Jakaya Kikwete

2. Mzee msekwa

3. Mzee Samuel Malecela.

4. Mzee Ghalib Bilal

5. Mh. David Msuya

6. Mzee Mwinyi

7. Mzee Makamba

Mtanange ndio kwanza unaanza, mtoto hatumwi dukani, unaambiwa usichelewe Unga robo.

Usisahau referee atakua MZEE MKAPA [emoji23]
Mange,kwa nini unawaweka hawa wazee na vijana wa watu kwenye dificult position?Huu ni uchonganishi wa wazi.Huchoki tu.
 
Ndikwega unayosema ni kweli lakini mbadala wa CCM hakuna, lazima watu watengeneze chama imara ambacho kinaweza kupewa ridhaa na wanachi ya kuunda dola, bila ya hivyo upinzani utakuwa ni kama mchezo wa kuigiza tu. Chama tawala hakina nia ya kuwepo upinzani nchini ndiyo maana unayaona yanayotokea kwa wapinzani mara kufunguliwa kesi za ajabu, mara kutekwa mara kupotezwa. Tumejengewa hofu ndiyo maana tunashindwa kuyaeleza yaliyo moyoni waziwazi.
Kama ulivyosema Mkuu, Kumbe nguvu kubwa ya kukiondoa CCM itaamliwa na wananchi kama watachoka "Kweli" na Utawala dharimu wa CCM.
Ipo hivyo kwasababu kundi kubwa la Wananchi lina hofu na hii ni Kutokana na Kujitambua ambako kwa kiasi kikubwa kulitokana na Kukosa Elimu kwa Kundi kubwa la watanzania. Matumaini yapo sasa maana angalau Tunanza Kupata Shuleni kwenye shule zetu za Kata hizi. Angalau upeo unaanza kupatikana kiasi chake.

Tatizo kubwa la Watanzania tulishajengewa hofu tangu miaka hiyo mpaka leo inaishi mioyoni mwetu. Adhabu kubwa hii.
 
By Mange Kimambi:

Ni uwanja wa siasa ndani ya CCM

1. Mh. Nchimbi

2. Mh. Chikawe

3. Mh. Mama Ghasia

4. Mh. Mzee Kinana

5. (Mkoba) ni Mh. Mwandosya

6. (Kiungo mkabaji) January Makamba

7. Mh. Riz one Kikwete

8. (Kiungo mshambuliaji) Mh. Dr. Mwigulu Mchemba

9. Membe (Baba la Baba) mseminari, kachelo

10. Mh. Nape Moses Nnauye

11. Mh. Ngereja

SUBSTITUTION (SABU)

Mama malecela

Mama Samia

Mama Salma Kikwete

Mh. Kitwanga

Mh. Mwijage

Mh. Hassan Masala

Mh. Dkt. Charles Tizeba

Prof. Sospeter Muhongo

Dkt. Susan Alphonce Kolimba

BENCHI LA UFUNDI

1. Jakaya Kikwete

2. Mzee msekwa

3. Mzee Samuel Malecela.

4. Mzee Ghalib Bilal

5. Mh. David Msuya

6. Mzee Mwinyi

7. Mzee Makamba

Mtanange ndio kwanza unaanza, mtoto hatumwi dukani, unaambiwa usichelewe Unga robo.

Usisahau referee atakua MZEE MKAPA [emoji23]
Mods.nadhani waweke kitufe cha dislike.This is one of those threads which I dislike.Ni thread chonganishi sana.
 
Jiwe ndio alianza kuwasaliti wenzake kujifanyia mambo yake pasipo kufuata ilani ya chama wala katiba ya nchi!
Jiwe alipoanza kuziba miraja yao huko bandarini ambako kuna maslahi ya Kinana ndo chuki ilipoanzia.
 
Wote hao ni CCM yoyote atakaeshinda hapo ataendelea kutawala kupitia CCM,so hatuna cha kushangilia kwny hilo.
 
Hayumbishwi wakati tayari kamteua Bashe ambae alikuwa analalamika kuwindwa na wasiojulikana huku Mzee mwenyewe akiapa hatowateua Wabunge wanaokosoa Serikal Bungeni

Kuyumbishwa ni pamoja na kufanya usiopanga kuyafanya

Simbachawene karudishwa walau kuziba ‘sifulia la udongo’ lililoanza kuvuja wakati unatafuta sifuria la bati kukabiliana na mvua kali inayolowanisha jiko
Tena ameyumba vibaya mno !
 
Endeleeni kuwashabikia na chagueni pande za kushabikia.

Siku wakiwagombanisha mkaacha vita vya maneno mkawa kama nchi zingine ndiyo mtajua mnapokosea. Sasa hivi wanateka tu...
 
Back
Top Bottom