By Mange Kimambi:
Ni uwanja wa siasa ndani ya CCM
1. Mh. Nchimbi
2. Mh. Chikawe
3. Mh. Mama Ghasia
4. Mh. Mzee Kinana
5. (Mkoba) ni Mh. Mwandosya
6. (Kiungo mkabaji) January Makamba
7. Mh. Riz one Kikwete
8. (Kiungo mshambuliaji) Mh. Dr. Mwigulu Mchemba
9. Membe (Baba la Baba) mseminari, kachelo
10. Mh. Nape Moses Nnauye
11. Mh. Ngereja
SUBSTITUTION (SABU)
Mama malecela
Mama Samia
Mama Salma Kikwete
Mh. Kitwanga
Mh. Mwijage
Mh. Hassan Masala
Mh. Dkt. Charles Tizeba
Prof. Sospeter Muhongo
Dkt. Susan Alphonce Kolimba
BENCHI LA UFUNDI
1. Jakaya Kikwete
2. Mzee msekwa
3. Mzee Samuel Malecela.
4. Mzee Ghalib Bilal
5. Mh. David Msuya
6. Mzee Mwinyi
7. Mzee Makamba
Mtanange ndio kwanza unaanza, mtoto hatumwi dukani, unaambiwa usichelewe Unga robo.
Usisahau referee atakua MZEE MKAPA [emoji23]