DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,912
Yaani mama Samia anaanzia wapi kwenda kinyume na bosi wake.
Ridhiwani au?Mara Paap wanahamia upinzani halaf Kikwete anapewa second chance anagombea urais 2020[emoji23][emoji23][emoji23] hatari sana
Jakaya😁Ridhiwani au?
Jumefuka moshi mzew baba kinachomuweka Jpm madarakani sio chama ni jeshi na tiss baaasiUnajidanganya na Mnajidanganya sana tu. Bahati nzuri hata hawa Wote uliowataja hapa Kanuni Kuu za Michezo ya Kimafia ambayo nayo walishaifanya mno Kipindi chao wanazijua na najua hawawezi Kuthubutu kufanya lolote lile kwa Mafia aliyepo sasa. Naona ni kama tu mnajifurahisha na uliponishangaza zaidi ni hapo ulipomtaja huyo Mwamuzi ( Referee ) wakati kama kuna Watu ambao ndiyo wanasikilizwa Kiushauri na ndiyo Mafia wa sasa anawaheshimu na lolote wakimwambia anatii ni huyo Referee wako, Kadinali Pengo, Mzee Butiku, Mzee Mangula, Jaji Mstaafu Mzee Warioba na bila Kuwasahau Wastaafu Wawili Mmoja wa Idara ya Njiwa aliyekuwa Mkurugenzi na Mwingine alikuwa ni Mkuu wa Kimedani wenye Makao Makuu yao Upanga ( Majina nayahifadhi )
Bwanaee VAR yetu iliyoletwa na wana Israel ni kiboko.Timu nzuri sana na wachezaji ni wa kimataifa wenye uzoefu, lkn tatizo VAR,
hii kitu sijui ililetwa kwa ajili ya timu za Afrika tuu, arghaa.
View attachment 1158742
Dah!!Allah ampe hikma Rais wetu Magufuli kama alivyompa Jk kipindi kama hiki cha Mgogoro 2009 mpaka ikafikia hatua hatuachiani glass bar ukienda chooni ukirudi unarudisha glass counter unachukua nyingine wengine wakakataa kabisa kutumia glass, ukifungua chupa unapiga talumbeta ukimaliza ndio walau unaweza kugeuza shingo au kupokea simu
Kilikuwa kipindi kigumu sana kama hiki
Hapa saivi ni bonge la juisi ya miwa miksa mabisi nimechili naangalia gemu na kuchochea kuni moto usizime[emoji41][emoji41][emoji41]Mara Paap wanahamia upinzani halaf Kikwete anapewa second chance anagombea urais 2020[emoji23][emoji23][emoji23] hatari sana
Allah ampe hikma Rais wetu Magufuli kama alivyompa Jk kipindi kama hiki cha Mgogoro 2009 mpaka ikafikia hatua hatuachiani glass bar ukienda chooni ukirudi unarudisha glass counter unachukua nyingine wengine wakakataa kabisa kutumia glass, ukifungua chupa unapiga talumbeta ukimaliza ndio walau unaweza kugeuza shingo au kupokea simu
Kilikuwa kipindi kigumu sana kama hiki
Mimi kwa hii list siamini naona tu mtu kaamua kutunga kukoleza mambo... Ila itokee ni kweli basi something z wrong somewhere kwa mukulu..haiwezekani watu wakubadilikie hv. Am sure kila kiongozi akiingia madarakani anapanga safu yake na ni kawaida. Y sasa hv iwe ni ishu. Kama ni kweli basi kuna kitu hakiko sawa.wat makes u thnk wao ndo ma traitor.Kwa hili nipo na mukulu. Sipendi usaliti.Mtu unamchekea ukiwa nae,huku nje unamuundia kikosi cha kisasi. I hate traitors.
Mbona umeanza kuwananga wenzio au wewe team membeHayumbishwi wakati tayari kamteua Bashe ambae alikuwa analalamika kuwindwa na wasiojulikana huku Mzee mwenyewe akiapa hatowateua Wabunge wanaokosoa Serikal Bungeni
Kuyumbishwa ni pamoja na kufanya usiopanga kuyafanya
Simbachawene karudishwa walau kuziba ‘sifulia la udongo’ lililoanza kuvuja wakati unatafuta sifuria la bati kukabiliana na mvua kali inayolowanisha jiko