Kiherehere
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,806
- 621
nimeamka na mshangao, huyu huyu Tido.....he was once a bad guy akiwa TBC, leo naona sifa nyiingi na watu tuna sympasize......suddenly he is a nice guy!
Kazi kweli kweli
Kwanza tunajadili kuhusu MAPINDUZI aliyoyafanya katika kitengo husika, Kubali kwa TVT to TBC jamaa amefanya mapinduzi.
Alafu kwa suala la ubaya wake , kwa sasa ni rahisi kujua hata kama jamaa alikuwa ni mbaya........ kwa picha halisi tukubali kuwa alikuwa anafanya mambo mmengine under pressure..... thats why kwa yalipo fikia na ubaya wake ndo tunaona kuwa msukumo wa mambo mengine ulikuwa unatika kwa wakubwa so amefika mwisho na anaweza kuonekana shujaa.... Ni mtazamo wangu tu.