Nanren
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 2,436
- 2,134
nimekuwa nikufuatilia kile kipind cha ujumbe kupitia muziki kinachorushwa ucku wa manane_yaan huyu jamaa angeckilizwa na jk au wajumbe cc ya ccm lazima angefukuzwa kaz, jamaa anaelezea utafiti uliofanyika hiv karibun unaonyesha tanzania ni nchi ya pili duniani kwa wing wa mali asili _jamaa kaelezea madini,hifadh, misitu, maziwa n.k na kuanza kulinganisha maisha ya watanzania na jinsi Mafisad wanavyonufaika na Machinga wanavyopigwa virungu, huduma za afya na wamama wanavyozalia njian yaani Kamalizia na ule mziki wa KILIO CHA SAMAKI MACHOZ HUENDA NA MAJI_anawahamasisha watanzania wajitokeze kudai haki huku akipinga waz waz DOWANS na EPA, kamaliza hapo akaingia mwingine na Kipindi cha Urithi wetu_huyo ndo akamaliza kila kitu, yaan utabaini watu wamechoka bila uoga jamaa wanaishambulia govt live_kweli Mhando kaacha mabadiliko makubwa tbc_ilikuwa vigum sana kuckia mawazo ya kiharakat live kutoka kwa watumish wa vyombo vya umma_viva frelimo
FRELIMO inaingiaje hapa?
Wewe ni Mtanzania? au upo maeneo ya Maputo?