Tido Mhando atemwa TBC

Tido Mhando atemwa TBC

Mshahara wake ulikuwa shilngi ngapi?

15m or 18m monthly sikumbuki vizuri which is which kati yake na yule wa TRA, mmoja anakunja 18m mwingine ndio hiyo 15m sasa sukumbuki vizuri kama Tido ndio 15m and Kitilya 18m au the opposite.
 
Sababu mkataba haujawa renewed watu mnaanza sympathy. Wakati wa uchaguzi most members hapa walikuwa wakilalamikia TBC.

Kwa nini watu tunakuwa ka vinyonga.
Most members ndo wakina nani? Kuwa specific, humu kuna members zaidi ya 6000!
 


Atakuwa amechongewa na Marin Hassan, si unajua teuzi za Kikwete zinazingatia lile jambo alilojidai kulikemea kwenye hotuba ya Bungeni!
 
Tido mhando ni mwandishi wa habari wa siku nyingi anayejua maadili ya kazi yake, vipo vyombo vingi vya habari ndani na nje ya nchi vinavyohitaji ujuzi wake, atapata kazi iliyobora tu. Hongera kwa utendaji wako wa kazi.
 
Nyambala, mikataba yote huongozwa kwa vipengele vya mkataba ambavyo ni points za kisheria, hivyo kisheria, Tido amemaliza rasmi mkataba wake tangu tarehe 15/12/2010.

Lakini licha ya kuwepo kwa mkataba husika, TBC ni shirika la umma, hivyo mikataba yake yote hutekelezwa kwa kufuata kanuni za utumishi wa umma zinazosisitiza six months notice prior to exipire date ya mkataba wake.

Kwa vile Tido was not served with leter of intent toka serikalini, tena siku hiyo ametoka kuonana na Katibu Mkuu wake asimweleze chochote kuhusu barua ya kumtaka kukabidhi ofisi, huu ni uthibitisho wa "malice ".
Sheria zimefuatwa lakini taratibu hazikufuatwa na kanuni zimekiukwa.
Smooth transition ni zile zinazo zingatia sheria, taratibu na kanuni.

Mheshimiwa Pasco unayoyasema yamelandana moja kwa moja na manen ya Dr Slaa aliposema ...nanukuu ......basi japo Kikwete's Presidency ni Lawful it is Illegitimate"

Kwamba contact imeisha ni LAWFUL but style ua kumjuza mhusika ni ILLEGITIMATE

Nenda TIDO, tafuta mahali pa kuficha kichwa CHAKO kwa mabaya uliyoyatenda ukiwa TBC1 haswa lile la kudanganya kadamnasi kuwa MATANGAZO ya mkutano fulani YAMEKATWA KWA SABABU YA MATUSI ambayo hadi leo hukuyathibitisha.

NAKUSHAURI utafute free TV ili uweze kurudisha kile ulichokuwa unafanya BBC kabla. Ila pia, ukirudi BBC itasaidia lakini UCHAGUZI NDO HIVYO UMEISHA....sorry dear!

 
Clouds TV utaiboresha ifikie viwango, na ni matumaini yangu kuwa pale utakuwa huru kuliko ilivyokuwa TBC, huo ni mtazamo wangu na hiyo ndiyo nafasi yako kufanya mageuzi mkuu.
 
Tido Umeanza wengine watakufuataa ,wakurugenzi wa majiji,manispaa,wilaya mliyosimamia uchaguzi na vyama pinzani vikashinda kaeni mkao wa kunyolewa hii ndio CHAMA KUSHIKA ATAMU,hamlijui hilo tanzania?hauwezi kuchaguliwa kuwa kiongozi ukawa si mdau wa CCM
 
Hivi wananchi hatuna say katika hili? Can someone tell me what lipi tunaweza kufanya kuhakikisha tido stays?

Please tell me you are joking !!

Huyu jamaa, ok amerekebisha mfumo wa shirika na ku limodernise BUT he was so partisan ilikuwa inachukiza!
Binafsi Im not sorry to see him go, itakuwa fundisho kwa wakurugenzi na wateule wengine wajao kuwa even if you lick a**, ccm wanaweza wakakuengua iwapo hawana kazi na wewe tena.

Im sorry Tido, I dont feel sorry for you!
 
inabidi kweli katiba ibadilishwe! naona sasa rais anamamlaka mengi mpaka yanamzidi uwezo wake...
 
nimeamka na mshangao, huyu huyu Tido.....he was once a bad guy akiwa TBC, leo naona sifa nyiingi na watu tuna sympasize......suddenly he is a nice guy!
Kazi kweli kweli
 
Mi nawashauri akina JK wamchukue mbichwa wa radio one achukue nafasi ya Tido kwani aliifanikishia sana CCM kushinda uchaguzi kwa kutangaza kwa upendeleo.
 
Jamani nafasi yake ilikuwa ngumu sana, na alivyokuwa BBC ni tofauti sana na TBC, wengi mnalaumu lakini ukifikiria kwa undani utagundua haikuwa rahisi na kama wengi mngepewa hiyo nafasi mngefuata matakwa ya ccm kwa asilimia 100.

Hongera Tido you will be remembered if there was any weakness, believe me your performance outweighed those weakness by large scale!
 
TBC ni ya watanzania...

Tido aliharibu siku alipokataa kurusha matangazo ya ufunguzi wa chadema. Alifavor CCM. Kwahiyo serikali imemuona kwamba hafai! Let him go!
 
siku zote mamluki hadumu..... wamemaliza walilotaka awafanyie..... sasa hawana mpamgo nae......
 
Tido Mhando, Samuel Sitta ni walewale, unafiki ndio unawasumbua kuna kipindi alijikomba kwa kina EL, then akashituka kwenye kampeni nadhani ni masharti ya wafasdhili akawaudhi CCM haya ndio malipo yake.

All in all aende tu!

Sidhani kama ni uchanguzi umemuondoa kama maoni ya wengi nafikiri naye alifanya ufisadi na wachina kwenye mkataba wa startimes na hii ndio imefanya aondolewe
 
Back
Top Bottom