Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 9,487
- 19,285
Akiachana na ule ushungi atapendeza zaidi.Mama anapendeza, huyo anayemtafutia nguo, anayemchagulia za kuvaa, anatakiwa apewe tuzo. jana tu Kenya kaonekana amebadilisha nguo karibia mara tano siku moja, nafikiri ni kwasababu ya covic, kila alipokuwa anaenda alikuwa anaenda na nguo mpya. ila aliyovaa wakati anafika kenya ilimpendeza sana. safi sana Mh. Rais.
ushungi ndio unampendezesha zaidi, kwa uvaaji ule anaonyesha heshima kubwa mno, mavazi ya heshima.Akiachana na ule ushungi atapendeza zaidi.
Akiachana na ule ushungi atapendeza zaidi.
Mama siku hizi anavaa vizuri anapendeza mno. Magu alikuwa anamzeesha mama wa watuMama anapendeza, huyo anayemtafutia nguo, anayemchagulia za kuvaa, anatakiwa apewe tuzo. jana tu Kenya kaonekana amebadilisha nguo karibia mara tano siku moja, nafikiri ni kwasababu ya covic, kila alipokuwa anaenda alikuwa anaenda na nguo mpya. ila aliyovaa wakati anafika kenya ilimpendeza sana. safi sana Mh. Rais.
Alikuambia nani?Akiachana na ule ushungi atapendeza zaidi.
Mama siku hizi anavaa vizuri anapendeza mno. Magu alikuwa anamzeesha mama wa watu
Hakuna ujanja hapo. Kila kitu kiko wazi. Wakenya tanzania wana makampuni 500 wakati watanzania wana makampuni 30 kenya. Watz mmekalia wizi, ufisadi na siasa za chuki. Hii inamanisha bila upenyo wa rushwa na ufisadi watanzania hawawezi biashara. Ndio maana matajiri wote tanzania ni wanasiasa moja kwa moja tena siasa za kifisadi CCM. Pasipo na rushwa na ufisadi mtz humkuti hafutukutiMnashangilia mavazi vipi kuhusu maslahi ya watanzania kawawakilisha vipi huko, je anaweza kukabiliana na ujanja wa Kenyata ?
Mama kupendeza ni jadi yake
Ila kwa ufisadi Kenya ipo juu ya TzHakuna ujanja hapo. Kila kitu kiko wazi. Wakenya tanzania wana makampuni 500 wakati watanzania wana makampuni 30 kenya. Watz mmekalia wizi, ufisadi na siasa za chuki. Hii inamanisha bila upenyo wa rushwa na ufisadi watanzania hawawezi biashara. Ndio maana matajiri wote tanzania ni wanasiasa moja kwa moja tena siasa za kifisadi CCM. Pasipo na rushwa na ufisadi mtz humkuti hafutukuti
Naona unatumia tumbo kufikiria kuliko kichwa.Hakuna ujanja hapo. Kila kitu kiko wazi. Wakenya tanzania wana makampuni 500 wakati watanzania wana makampuni 30 kenya. Watz mmekalia wizi, ufisadi na siasa za chuki. Hii inamanisha bila upenyo wa rushwa na ufisadi watanzania hawawezi biashara. Ndio maana matajiri wote tanzania ni wanasiasa moja kwa moja tena siasa za kifisadi CCM. Pasipo na rushwa na ufisadi mtz humkuti hafutukuti
Mbona kama zimekaa kihindihindi, mshoneani magauni ya vitenge ajimwage nayo bana.Mama anapendeza, huyo anayemtafutia nguo, anayemchagulia za kuvaa, anatakiwa apewe tuzo. jana tu Kenya kaonekana amebadilisha nguo karibia mara tano siku moja, nafikiri ni kwasababu ya covic, kila alipokuwa anaenda alikuwa anaenda na nguo mpya. ila aliyovaa wakati anafika kenya ilimpendeza sana. safi sana Mh. Rais.
Naona umeamua kujifagilia!! Bac sawa!Mama anapendeza, huyo anayemtafutia nguo, anayemchagulia za kuvaa, anatakiwa apewe tuzo. jana tu Kenya kaonekana amebadilisha nguo karibia mara tano siku moja, nafikiri ni kwasababu ya covic, kila alipokuwa anaenda alikuwa anaenda na nguo mpya. ila aliyovaa wakati anafika kenya ilimpendeza sana. safi sana Mh. Rais.
Kama akivaa za kihindi zinampendeza, kwanini asivae?Mbona kama zimekaa kihindihindi, mshoneani magauni ya vitenge ajimwage nayo bana.
Ndio maana wahindi hawavai vitengekama akivaa za kihindi zinampendeza, kwanini asivae?
Kweli na uzuri unachangia