Thumbs-Up kwa Designer nguo za Rais Samia Suluhu Hassan

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
9,100
18,329
Mama anapendeza, huyo anayemtafutia nguo, anayemchagulia za kuvaa, anatakiwa apewe tuzo. Jana tu Kenya kaonekana amebadilisha nguo karibia mara tano siku moja, nafikiri ni kwasababu ya COVID 19, kila alipokuwa anaenda alikuwa anaenda na nguo mpya.

Ila aliyovaa wakati anafika Kenya ilimpendeza sana. Safi sana Rais wetu

1620213331643.png


1620214393556.png

1620213366629.png

1620213433362.png

1620213492563.png
 
Mama anapendeza, huyo anayemtafutia nguo, anayemchagulia za kuvaa, anatakiwa apewe tuzo. jana tu Kenya kaonekana amebadilisha nguo karibia mara tano siku moja, nafikiri ni kwasababu ya covic, kila alipokuwa anaenda alikuwa anaenda na nguo mpya. ila aliyovaa wakati anafika kenya ilimpendeza sana. safi sana Mh. Rais.
Akiachana na ule ushungi atapendeza zaidi.
 
Mama anapendeza, huyo anayemtafutia nguo, anayemchagulia za kuvaa, anatakiwa apewe tuzo. jana tu Kenya kaonekana amebadilisha nguo karibia mara tano siku moja, nafikiri ni kwasababu ya covic, kila alipokuwa anaenda alikuwa anaenda na nguo mpya. ila aliyovaa wakati anafika kenya ilimpendeza sana. safi sana Mh. Rais.
Mama siku hizi anavaa vizuri anapendeza mno. Magu alikuwa anamzeesha mama wa watu
 
Mnashangilia mavazi vipi kuhusu maslahi ya watanzania kawawakilisha vipi huko, je anaweza kukabiliana na ujanja wa Kenyata ?
Hakuna ujanja hapo. Kila kitu kiko wazi. Wakenya tanzania wana makampuni 500 wakati watanzania wana makampuni 30 kenya. Watz mmekalia wizi, ufisadi na siasa za chuki. Hii inamanisha bila upenyo wa rushwa na ufisadi watanzania hawawezi biashara. Ndio maana matajiri wote tanzania ni wanasiasa moja kwa moja tena siasa za kifisadi CCM. Pasipo na rushwa na ufisadi mtz humkuti hafutukuti
 
Mama Samia ndio tafsiri halisi ya "MWANAMKE NI USAFI", akiwa ziara anabadili hata nguo 4 kwa siku moja.

Sio hayo magube gube mlioyazoea ya Instagram & Bongo Movie, linavaa nguo moja week nzima, kutwa lipo mbio mbio chini ya jua na kutukanana, mpaka likiivua na kuisimamisha, nguo inasimama yenyewe dede bila support.
 
Hakuna ujanja hapo. Kila kitu kiko wazi. Wakenya tanzania wana makampuni 500 wakati watanzania wana makampuni 30 kenya. Watz mmekalia wizi, ufisadi na siasa za chuki. Hii inamanisha bila upenyo wa rushwa na ufisadi watanzania hawawezi biashara. Ndio maana matajiri wote tanzania ni wanasiasa moja kwa moja tena siasa za kifisadi CCM. Pasipo na rushwa na ufisadi mtz humkuti hafutukuti
Ila kwa ufisadi Kenya ipo juu ya Tz
 
Hakuna ujanja hapo. Kila kitu kiko wazi. Wakenya tanzania wana makampuni 500 wakati watanzania wana makampuni 30 kenya. Watz mmekalia wizi, ufisadi na siasa za chuki. Hii inamanisha bila upenyo wa rushwa na ufisadi watanzania hawawezi biashara. Ndio maana matajiri wote tanzania ni wanasiasa moja kwa moja tena siasa za kifisadi CCM. Pasipo na rushwa na ufisadi mtz humkuti hafutukuti
Naona unatumia tumbo kufikiria kuliko kichwa.
 
Mama anapendeza, huyo anayemtafutia nguo, anayemchagulia za kuvaa, anatakiwa apewe tuzo. jana tu Kenya kaonekana amebadilisha nguo karibia mara tano siku moja, nafikiri ni kwasababu ya covic, kila alipokuwa anaenda alikuwa anaenda na nguo mpya. ila aliyovaa wakati anafika kenya ilimpendeza sana. safi sana Mh. Rais.
Mbona kama zimekaa kihindihindi, mshoneani magauni ya vitenge ajimwage nayo bana.
 
Mama anapendeza, huyo anayemtafutia nguo, anayemchagulia za kuvaa, anatakiwa apewe tuzo. jana tu Kenya kaonekana amebadilisha nguo karibia mara tano siku moja, nafikiri ni kwasababu ya covic, kila alipokuwa anaenda alikuwa anaenda na nguo mpya. ila aliyovaa wakati anafika kenya ilimpendeza sana. safi sana Mh. Rais.
Naona umeamua kujifagilia!! Bac sawa!
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom