Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,897
- 942
Wananchi wa Kata ya Makame Wamemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa miradi mbalimbali mingi ya Maendeleo huku wakimuomba Mbunge wao, Mhe. Edward Ole Lekaita kumfikishia Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan Salamu za Pongezi na shukurani nyingi kutoka kwa Wananchi.
Mhe. Edward Ole Lekaita ametembelea na kufanya Mikutano ya Hadhara Kata ya Makame katika Vijiji vya Makame, Katikati na Irkiushibor na kukagua miradi mbalimbali ya Kisima cha Maji, Josho, Zahanati, Shule ya Msingi na kusikiliza kero za wananchi
Katika ziara yake, wananchi wa Kijiji cha Katikati na Irkiushibor kila Kijiji kimoja wamemzawadia Mbunge wao, Edward Ole Lekaita Ng'ombe Wawili, Jike na Dume huku wakimshukuru kwa huduma nzuri za Maji, Zahanati na Umeme.
Mhe. Edward Ole Lekaita ametembelea na kufanya Mikutano ya Hadhara Kata ya Makame katika Vijiji vya Makame, Katikati na Irkiushibor na kukagua miradi mbalimbali ya Kisima cha Maji, Josho, Zahanati, Shule ya Msingi na kusikiliza kero za wananchi
Katika ziara yake, wananchi wa Kijiji cha Katikati na Irkiushibor kila Kijiji kimoja wamemzawadia Mbunge wao, Edward Ole Lekaita Ng'ombe Wawili, Jike na Dume huku wakimshukuru kwa huduma nzuri za Maji, Zahanati na Umeme.