This is Rostam I know... The Story Behind the Man

This is Rostam I know... The Story Behind the Man

Apo juu inamaana wasiokuwa na elimu hawawezi kugombea nafasi za kisiasa ? Ukizingatia kila siku mikoa,wilaya,vijiji ,kata,mitaa ,majimbo yanagawanywa hivyo uwezekano wa kukosa elimi ya mijishahada inaweza kabisa isipatikane katika sehemu hizo mpya. Pia kuna maneno maneno eti wasomi wanakimbilia kwenye siasa ,sasa kuanzisha huo utaratibu wa kudai vyeti vya wagombea si kutawafanya wasomi wote waelekee huko na mashahada yao ! Kwa vielelezo vilivyopo sioni sababu ya kudai vyeti wakati kuna ushahidi wa hao mnaowaona wamesoma kutafuta wataalamu na makampuni ya nje kuja kuwafanyia mahesabu na mauchunguzi ,tuiondoe CCM tu ndio dawa matibabu si kudai vyeti kwani ugonjwa ni Chama kiliopo madarakani. Je tukubali kuwa Chama kilichopo madarakani hakina wasomi wenye mashahada ya juu ,hizi ni hila za Sultani CCM kutafuta kisingizio cha kuiendesha Nchi hii kwa madai ya vyeti bandia kumbe wao ni wezi mafisadi.

Hoja ya TCU siyo kutaka watu wenye shahada ndiyo wagombee nafasi za kisiasa peke yao, bali lengo la TCU ni kuondoa utapeli wa kugushi vyeti ama kudanganya wapiga kura kwamba mimi ni msomi wa ngazi fulani na kumbe ni ulaghai mtupu. Acha wapiga kura wamchague mtu kulingana na sifa zake za kikweli. Kama mtu kaishia darasa la 7, kwanini ajikweze kwamba amemaliza F6?

Katiba ya nchi iko wazi, kwamba wagombea wa Ubunge wanatakiwa kujua kusoma na kuandika, haijalishi ni darasa la nane, Form 7 (darasa la msingia saba) ama F4 ama F6 au diploma.

Siku hizi kwenye siasa elimu imekuwa ni deal kubwa sana na inaonekana ni mtaji. Pale OUT (Open Univ) kulikuwa na wimbi kubwa sana la wana siasa kujiandikisha kusoma na wote wameishia mitini, waliofanikiwa kumaliza ni wachache sana. Matokeo yake kuna uyoga wa PhD fake za correspondence zimejaa huko Bungeni pamoja na nyeti vingine vya kugushi ambavyo watu wamejiwekea kwenye CV zao.
 
Rostam Vs Mengi: Tribalism?

Yesterday (Wednesday) I was shocked when one of the great thinkers claimed that the ongoing clashes between Mengi Reginald and Rostam Aziz and his partners is tirbal fight involving Chagas and Lake Zone (Sukuma and Nyamwezi tribes).

Anayesema Rostam anawapenda waLake Zone wamuulize kwa nini kampuni yake ameiita Caspian (Jina la Ziwa/Bahari huko Irani) na hakuipa jina la Kitanzania au Kisukuma/Kinyamwezi?
 
Na mimi nikuulize hizi ndio facts za yeye kuwa fisadi papa!!! aaa mheshimiwa na wewe pia?

I need facts, I do not need speculations! Je akisema ya Dr. Slaa alijua ni siasa na ya Mengi alijua ni jambo kubwa kwa kuwa Mengi sio Mwanasiasa...

Vipi kaka whats up? Tunajaza pages na pages kwa vitu ambavyo havina miguu wala kichwa...

Bring facts... if these are the facts you are talking about then... mmhhhh....
Hujajibu swali la wiliam....kwanini rostam hakusaini waraka wowote?
 
unachotakiwa kurefute alichosema ni kutuambia kwa kadiri ujuavyo..

Rostam alizaliwa wapi na lini
alisoma shule gani ya msingi
Sekondari alisoma wapi
Alienda chuo wapi na vitu kama
mwaka 1980 alikuwa wapi?

Sasa ukija na data za namna hiyo basi ndiyo unasaidia kuonesha hoja ya PW kuwa haina msingi..

So what? mnashindwa kuja na evidence mnakuja na porojo, kuna wa Tanzania wengi tu ambao hawajazaliwa wala kusoma Tanzania. Mmoja wapo mimi, nimezaliwa Tanganyika na si Tanzania!
 
Article nzuri, lakini turudi kwenye hoja...

I need clear facts beyond doubt that Mh. Rostam A. Aziz ni fisadi papa? Rostam alivyomtaja mengi ni Fisadi Nyangumi alitoa kile anachoamini na kupeleka PCCB kwamba niu fisadi Nyangumi.

Tangu Mengi atoe shutuma, hajapeleka aidha mahakami au kwenye chombo chochote cha dola ushahidi wa kutetea hoja yake...

Bali ameenda mahakamani kujibu alichoshutumia, sio kupeleka hoja kwa nini alisema Mh. Rostam A. Aziz ni Fisadi papa... hii inanionyesha kwamba wote tuna-applify maneno yale yale yasiyokuwa na ushahidi.
yaani yote yanaoandikwa humu na data zoote bado unataka data zipi uamini kuwa rostam sio msafi?

....au basi umeamua kubisha tu....
 
Anayesema Rostam anawapenda waLake Zone wamuulize kwa nini kampuni yake ameiita Caspian (Jina la Ziwa/Bahari huko Irani) na hakuipa jina la Kitanzania au Kisukuma/Kinyamwezi?

Duh hoja Zingine zinachekesha, haya na ziwa Victoria tulibadilishe jina kwani haliko Uingereza.
 
yaani yote yanaoandikwa humu na data zoote bado unataka data zipi uamini kuwa rostam sio msafi?

....au basi umeamua kubisha tu....

Data hata moja haina evidence ya kuwa RA ni fisadi au unayo? iweke hapa!
 
Anayesema Rostam anawapenda waLake Zone wamuulize kwa nini kampuni yake ameiita Caspian (Jina la Ziwa/Bahari huko Irani) na hakuipa jina la Kitanzania au Kisukuma/Kinyamwezi?

Mwenye kampuni ya Caspian ni Mu-Iran na Rostam ni mbia tu siyo kwamba anaimiliki kwa 100 %. Kwahiyo kama Caspian ni ziwa/bahari huko Iran ni sawa kabisa. Fisadi papa Rostam anatoka Igunga, Tabora kanda ya Magharibi na si kanda ya ziwa na hana influence yoyote kanda ya ziwa.
 
Rafiki yangu wa karibu sana alikuwa ni mmoja kati ya wagombea wa kinyang'anyiro cha kiti cha urais. Kusema kweli nilikuwa na ndoto nyingi sana za mmabo jinsi yangelikuwa baada ya yeye kuukwa urais. Nilitegemea kupitia kwake ningekuwa na ushawishi mkubwa katika masuala mbalimbali ya kisiasa, kijamii na kiuchumi. Nilijua kuwa rafiki angekuwa amefikia daraja la juu kabisa katika uongozi wa nchi hii.
Rafiki yangu alikuwa ni mtu muhimu na mwenye nguvu sana ndani ya CCM na tulikuwa na matumaini makubwa kabisa ya kukipata kiti hicho kwani umaarufu wake na kuheshimika kwake miongooni mwa viongozi na wanachama wa CCM tulikuwa na uhakika mkubwa mno.
Lakini kadri mchakato ulivyokuwa ukiendelea rafiki yangu alikumbana na upinzani mkali sana kutoka katika kundi ambalo lilikuwa limedhamiria kuhakikisha mgombea wao anapita. Kwa bahati mbaya rafiki yangu hakupenya kuingia kwenye 5 bora hatimaye ndoto zangu za kuona anafikia kiti cha urais zikafifia. Nilipatwa sana na kihoro hasa baada ya kuona kuwa jamaa mmoja ndani ya CCM ndiye aliyekuwa kinara wa mipango yote hii. Ninataendelea baadae...
 
hapa kuna kitu kilisemwa kuhusu Rostam..



Wilaya ya Bukene iko wapi? Halafu huyu Dikteta alipotuandikia haya alikuwa anafikiria nini?

Bukene ni tarafa, kama alivyoandika, ipo wilaya ya Nzega - correct

Shida yangu ni pale ninapokumbuka kuwa RA mwenyewe alitamka kuwa alizaliwa Ndalla Mission Hospital, ambayo ipo Nzega vilevile lakini mbali mno na Bukene. Tuamini lipi?
 
Ndiyo maana kule south Afrika ilikuwako hiyo kitu inaitwa Scorpion.
ANC chini ya ZUMA wameiua ili kukwepa kwenda Jela.
Scorpion ilikuwa kiboko cha njia yenyewe iliundwa kushughulikia Rushwa kubwa na ilifanikiwa sana.

Hao scorpion walikuwa hawasubiri kuletewa ushahidi Ofini kwa huku wakiwa wamekaa na kula mihogo na chachandu.

Rostam anaiba Kimafia.

Matatizo ya kimafia yanashughulikiwa Kimafia.

Mtu yeyote mwenye mawazo ya kutaka ushahidi ili amkamate mwizi wa kiMafia atasubiri ushahidi mpaka atachina.
 
Sasa nyie cronies wa RA kama mnaona watu hapa wanadanganya si mlete ze dataz za kuonyesha kuwa wamedanganya.
 
Rafiki yangu wa karibu sana alikuwa ni mmoja kati ya wagombea wa kinyang'anyiro cha kiti cha urais. Kusema kweli nilikuwa na ndoto nyingi sana za mmabo jinsi yangelikuwa baada ya yeye kuukwa urais. Nilitegemea kupitia kwake ningekuwa na ushawishi mkubwa katika masuala mbalimbali ya kisiasa, kijamii na kiuchumi. Nilijua kuwa rafiki angekuwa amefikia daraja la juu kabisa katika uongozi wa nchi hii.
Rafiki yangu alikuwa ni mtu muhimu na mwenye nguvu sana ndani ya CCM na tulikuwa na matumaini makubwa kabisa ya kukipata kiti hicho kwani umaarufu wake na kuheshimika kwake miongooni mwa viongozi na wanachama wa CCM tulikuwa na uhakika mkubwa mno.
Lakini kadri mchakato ulivyokuwa ukiendelea rafiki yangu alikumbana na upinzani mkali sana kutoka katika kundi ambalo lilikuwa limedhamiria kuhakikisha mgombea wao anapita. Kwa bahati mbaya rafiki yangu hakupenya kuingia kwenye 5 bora hatimaye ndoto zangu za kuona anafikia kiti cha urais zikafifia. Nilipatwa sana na kihoro hasa baada ya kuona kuwa jamaa mmoja ndani ya CCM ndiye aliyekuwa kinara wa mipango yote hii. Ninataendelea baadae...

Rafiki yako angeshinda ungekuwa umeshaiba kiasi gani? Inaonekana ulikuwa unamtaka rafiki yako kwa maendeleo yako binafsi than maendeleo ya Taifa, Pole sana mzee
 
Bukene ni tarafa, kama alivyoandika, ipo wilaya ya Nzega - correct

Shida yangu ni pale ninapokumbuka kuwa RA mwenyewe alitamka kuwa alizaliwa Ndalla Mission Hospital, ambayo ipo Nzega vilevile lakini mbali mno na Bukene. Tuamini lipi?

Mkuu ni rahisi sana kuelewa kwamba unapozaliwa jina la Hospital hutajwa na wazazi wako huandika makazi yao (address) hivyo yawezekana kabisa mkazi wa Bukene akazaliwa hospital ya Nzega..
 
Spelling
Hii siyo kweli hata kidogo. RA hana influence yoyote kanda ya ziwa. Halafu kumbuka Tabora si kanda ya ziwa ni kanda ya magharibi ikiwemo Kigoma. Mimi nafikiri sababu ya RA kuwa game player wa Kikwete inaanzia kwa Lowasa. Lowasa na Kikwete ni marafiki wa siku nyingi na ikumbukwe kuna mwaka kati ya 2002 - 2004 walifanya ziara ya pamoja na walichangisha pesa nyingi sana kanda ya kaskazini (Arusha na Kilimanjaro). Kipindi hicho pia Lowasa alikuwa karibu sana na Rostam kutokana na ubia wao katika Vodacom na ikumbukwe kuwa Rostam ndo alikuwa mweka hazina wa CCM (nisahihishwe kama nimekosea hapa). Hizi ndo nafikiri ni sababu kuu mbili za RA kuwa engineer wa Kagoda
Nakubaliana na wewe 100%,halafu tuendelee kujiuliza washirika wa huyu mtu.Mashaka yangu zaidi ni namna gani amepenya hadi kufika ngazi ya ujumbe wa CC ndani ya CCM.Inawezekana kuna group kubwa linalomchangia hizo fedha za kuhonga wajumbe mpaka wakafumba macho na kumchagua kwenye position strategic kama hiyo.Watanzania tujiulize sana hapa asije ikawa kweli Iran na Mafisadi wa Kiasia wamemchangia kuhakikisha kuwa anashiriki kikamilifu kutupangia Rais wa nchi na maamuzi makubwa ya nchi hii.Nawaomba wazalendo wa kweli wa nchi hii jambo hili sio la mchezo dunia ya leo imejaa ushindani bongo zetu ziamke tuanze kufikiri strategically na tusikubali kupotoshwa kwa misingi ya ubaguzi wa rangi.Uzalendo wa kweli wa Wayahudi ndiyo uliwalinda na njama za Gamal Nasser kuiangamiza Israel kwenye Yom Kippur war ya 1967.Uongozi wa juu wa jeshi la Misri ulihongwa kufumbia macho majasusi wa Israel.Hivyo na sisi tusitegemee sana viongozi wetu wanaweza kuwa wasaliti na nasihi turudi enzi za Mwalimu JKNyerere alimfanya kila raia kuwa mlinzi wa nchi hii.Ukichunguza sana sasa hivi serikali inajaribu sana kudiscourage mfumo huo.
Tulinde nchi yetu jealously!
 
Last edited:
Kuna taarifa gani za maandishi zinazonesha kuwa alisoma Muhimbili Boys (cheti cha kuhitimu).. kwa sababu kuna mmoja alituambia amesoma shule ya msingi Mnamwala (sijui).. Huko Muhimbili Boys alisoma na kina nani (maana wengine ni watu maarufu leo)



Na kama alitokea Bukene (wakati huo) wazazi wake walikuwa Bukene au walikuwa Irani..?



something just doesn't add up..

Hili la shule za Nzega (+Igunga) wakati huo liko wazi kwani walikuwa wanasoma darasa la kwanza mpaka la nne na wakifaulu mtihani kwenda darasa la tano basi ilikuwa wanaenda boarding ambazo zilikuwa Busongo,Bukene,Izinga na Ndalla girls wakati shule za Day maarufu zilikuwa Uchama, Mwanh'ala, na Upungu, na mara nyingi kila mwaka kulikuwa na michezo ya mashule ambapo zaidi wanafunzi wote wanamichezo walikuwa wanakutana Uchama,sasa basi ataje shule ipi kati ya hizo yeye RA alisomea kama primary school? watu wa Nzega wa enzi hizo tunajuana mpaka leo....wapi Bernald M?....
Cha msingi jamaa AMECHEMSHA! na hiyo kutamka kuwa Kazaliwa Ndalla it doesn't justify kuwa alisomea Tanzania unless true birth certificate is produced
 
Back
Top Bottom