Si umeandika?acheni mawazo yetu hewani kama hayana matusi au lugha mbaya ufutaji wa post zenye mwelekeo tofauti na wengi si uungwana na haisaidii kuondoa mawazo naimani ya mtu
Je kujua asili yake kunatusaidia kujua ufisadi wake?
Alivyoandika dikteta
"Rostam alizaliwa hospital ya mission ilioko kijiji cha mwamalwa,mpaka masista watu waliomuhudumia mama yake bado wako hapo hai,katika tarafa ya Bukene wilaya ya Nzega akiwa mtoto wa kwanza wa marehemu Aziz.Aidha babu yake na bibi yake walizkwa wilaya ya Bukene walikokuwa wakiihi tokea ujana wao,Babu yake Rostam alikuwa mtanzania wa kwanza kununua gari aina ya fiat mwaka 1954....Alisoma shule ya msingi Mwamalwa ambapo mwaka 1969 aliomgoza mkoa wa tabora kwa kufaulu darasa la saba.alipata maksi 148 kati ya 150".
Hapa mimi nachanganyikiwa, huo mwaka 1969 si ndo aliozaliwa??? iweje tena mwaka huohuo amalize darasa la saba????????????
Du! Kazi ipo nimesoma na nimeendelea kusoma shutuma anazobandikiwa Rostam, kila shutuma aidha iko nusu nusu, au nyingine jungu kamili.
Watu wamekuwa wanaongea kama wanajua wanachosema lakini inasikitisha sana page ya 17 hii kumbe hata hawajui huyu mheshiwa amesoma wapi... this is real a big shame to wale wanaomhukumu huyu mtu,,, yet hata hawamjui.
Well... kuhusu shule kuna facts kwamba huyu jamaa amesoma shule nzuri... na ma-graduates waliosoma year 1 to last year shule hizo nzuri... sijaconfirm vizuri it is either Havards or Oxford ni Rostam na Manji...
Inasikitisha mtu aliyekulia Tanzania hata kama ni kuanzia miaka 22, magazeti yetu yanayoitwa ya uchambuzi, still hayajui yanamshutumu mtu wa namna gani... surely this is bullshit country... pwapwapwa nyingi.... lakini tunarudia maneno yale yale... hakuna jipya...
Till todate... Bado Rostam sijaona mahali panapoonyesha clearly kama ni fisadi papa.
Mkuu, status ya Fisadi papa Rosamu Azizi ina maswali mengi kuliko majibu. Amekaa kigaidi gaidi sana, kila anapo pita anahakikisha haachi nyayo zake! hata biashara zake zote.. something is wrong somewhere, nahofia asije akaripua ka nchi ketu bure yaani yuko kimafya mno!
But thanks God, siku hizi technologia walau ambayo inakamata picha na video ndo hivyo tu vinaweza saidia, vinginevyo hakawii kuruka kimanga kila alilo lifanya!
Speculation!!!! It may be true or may not, Mkumbuke Muumba wako... Na Amri kumi za Mungu.!
Kasheshe,Speculation!!!! It may be true or may not, Mkumbuke Muumba wako... Na Amri kumi za Mungu.!
tehe tehe tehe alafu bado watu wenye akili zaidi wanamsapoti huyu mwizi....hata mie kilaza nimemshtukia kitambo fisadi mbunge rostamRostam:
Katika hali ambayo imenishangaza (huenda na wengine mkashangaa) Rostam hakusaini kokote katika ule waraka alioutoa (aliousoma) Kempinski (Hii inaweza kuwa ni katika kukwepa traces za aina yoyote?). Hata nakala zilizosambazwa kwenda PCCB hakutia sahihi tamko lake lile!
Anyway, bado nawaza tu!
Du! Kazi ipo nimesoma na nimeendelea kusoma shutuma anazobandikiwa Rostam, kila shutuma aidha iko nusu nusu, au nyingine jungu kamili.
Watu wamekuwa wanaongea kama wanajua wanachosema lakini inasikitisha sana page ya 17 hii kumbe hata hawajui huyu mheshiwa amesoma wapi... this is real a big shame to wale wanaomhukumu huyu mtu,,, yet hata hawamjui.
Well... kuhusu shule kuna facts kwamba huyu jamaa amesoma shule nzuri... na ma-graduates waliosoma year 1 to last year shule hizo nzuri... sijaconfirm vizuri it is either Havards or Oxford ni Rostam na Manji...
Inasikitisha mtu aliyekulia Tanzania hata kama ni kuanzia miaka 22, magazeti yetu yanayoitwa ya uchambuzi, still hayajui yanamshutumu mtu wa namna gani... surely this is bullshit country... pwapwapwa nyingi.... lakini tunarudia maneno yale yale... hakuna jipya...
Till todate... Bado Rostam sijaona mahali panapoonyesha clearly kama ni fisadi papa.
Sababu ya kimsingi ya RA kuwa game player wa Kikwete ni kwasababu anatokea kanda ya ziwa na si sababu nyingine.Ndio maana hata pesa za EPA alipewa yeye ,Mengi Anamchukia RA because he is more influencial near the power
Rostam alisoma shule ya Msingi, Muhimbili Boys, iliyopo barabara ya Umoja wa Mataifa, lakini jambo la hatari ni kwamba alifika pale akitokea Bukene mwaka 1974 akaingia darasa la sita na kumaliza mwaka 1975. Sasa alizaliwaje mwaka 1969? Ina maana alianza shule akiwa na miaka mingapi? Baada ya hapo Rostam alirudi kwao Iran ambako hadi leo baba yake yuko huko anakoishi na haki zote za uraia anazo.
Kuhusu ufisadi nadhani anayebisha kuhusiana na hilo asubiri ataona, siku si nyingi.
Kuhusu ufisadi nadhani anayebisha kuhusiana na hilo asubiri ataona, siku si nyingi.
Rostam alisoma shule ya Msingi, Muhimbili Boys, iliyopo barabara ya Umoja wa Mataifa, lakini jambo la hatari ni kwamba alifika pale akitokea Bukene mwaka 1974 akaingia darasa la sita na kumaliza mwaka 1975. Sasa alizaliwaje mwaka 1969? Ina maana alianza shule akiwa na miaka mingapi? Baada ya hapo Rostam alirudi kwao Iran ambako hadi leo baba yake yuko huko anakoishi na haki zote za uraia anazo.
Kuhusu ufisadi nadhani anayebisha kuhusiana na hilo asubiri ataona, siku si nyingi.