This is Rostam I know... The Story Behind the Man

This is Rostam I know... The Story Behind the Man

FMES,

Nakubaliana na data zako maana zinajazia sana info niliyonayo for some days.nilidhani udaku na sikuwa na time wala mvuto wa kui-share.

Pamoja na kukutanishwa kwa Mengi na Rostam, Mkulu pia ameitwa mara tatu na CTI mara zote anaelezwa jinsi baadhi ya wafanyabiashara hasa wenye asili ya ki-asia wanavyoitafuna nchi na mbaya zaidi hata kodi hawalipi katika deal zote wanazofanya kupitia makampuni yao special for ufisadi. Wakaenda mbali zaidi kumpa mifano ya wazi, mtu kodi ya mwaka mzima kutokana na biashara zake zote analipa less than 50M (TShs), michango ya hisani mfano mpira au chaguzi za chama anatoa 400M (TShs).kumbuka hisani hizi siyo sawa na zile za elimu au maendeleo ambazo ni Tax Deductible! Kwa hesabu ya haraka Corporate Tax payable is 30% which means anayelipa jumla ya TShs. 50M kodi anakuwa amezalisha net income ya kama 166M. Now where does he get 400M to waste?

Katika vikao viwili vya awali Mkulu alikuwa akiwajibu kuwa yote hayo anayajua na wahusika wote anawajua kwa majina ila alipoombwa kuwataja alikuwa hakigoma.but in the last meeting walimbana sana awataje ngoma ilipokuwa nzito sana kwake akatoa blessing watajwe na wao CTI. Masatu and the like will query: if the blessing was given to CTI why Mengi appeared as MD of IPP Group in his press conference. My answer is simple; first try your common sense before I give you mine. Ila tu ni vema tujue, katika ngazi ya juu kama alivyobainisha FMES; nyuma ya Mengi kuna serikali ya wazawa, wananchi, wafanyabiashara wazalendo waliofanikiwa kama Idd Simba, Felix Mosha, Killewo etc.. Do you now get at least blurred picture CTI vs IPP?

Pili, kwa nini ataombwa kwa ghalama yoyote ile Mengi afute kesi na kumalizana nje ya mahakama?

Shutuma zote alizotoa RA ziliegemea mfuko wa Commodity Import Support (CIS). Ukisoma vizuri shutuma za RA kwa Mengi zinatumia nyaraka na transactions za 1988-1996 basi baada ya hapo hakupata kitu chochote cha kumshutumu Mengi zaidi ya malumbano na watu mbalimbali na serikali. Vivyo hivyo Kiini cha kesi aliyofungua Mengi kiko kwenye ukweli katika transactions za CIS. Hapa ndipo kwenye uchafu ambao walakini kila mwanasiasa wa wakati huo ambaye ameendelea au amestaafu siasa leo alihusika kuchota pesa. Wengi walimtumia Manji (about 80% of CIS). RA pia ni mdeni lakini sijui akili gani ilimtuma kujaribu makali ya shoka kwa kukata tawi ambalo naye kadandia!

Kuiacha hii kesi ilindime na majalada kuitishwa unamaanisha kuwaanika wanasiasa hawa. Na izingatiwe tayari joto la uchaguzi limeanza. Achilia uchaguzi, ukweli ukianikwa na mahakama unafikiri nchi waliofadhiri mfuko huo watachukua hatua gani juu ya miradi na ufadhiri wao Tanzania?

Wenye kumbukumbu nzuri mtakumbuka Mrema alikwamishwa mara nyingi sana katika serikali ya Mwinyi kila alipopeleka taarifa ya ufisadi ndani ya CIS bungeni. Hili jambo si la leo na limebeba wana siasa maarufu wa leo na wa jana

- Saafi sana, hizi ndizo habari za muendelezo wa ishu sio kusimama pale pale na Yanga na simba, saafi sana Mkuu wangu Omtwale.

FMES!
 
Nilisema huko nyuma na sasa narudia, huyu RA siyo genius kama wengi wanavyofikiri bali anatumiwa tu.

Na sasa amelikoroga sidhani kama sisiem wataendelea nae, tusubiri kuona sura nyingine kwenye fund raising ya kuelekea 2010.

- Strong analysis, tupo pamoja sana hapa mkuu.

FMES!
 
FMES,

Nakubaliana na data zako maana zinajazia sana info niliyonayo for some days.nilidhani udaku na sikuwa na time wala mvuto wa kui-share.

Pamoja na kukutanishwa kwa Mengi na Rostam, Mkulu pia ameitwa mara tatu na CTI mara zote anaelezwa jinsi baadhi ya wafanyabiashara hasa wenye asili ya ki-asia wanavyoitafuna nchi na mbaya zaidi hata kodi hawalipi katika deal zote wanazofanya kupitia makampuni yao special for ufisadi. Wakaenda mbali zaidi kumpa mifano ya wazi, mtu kodi ya mwaka mzima kutokana na biashara zake zote analipa less than 50M (TShs), michango ya hisani mfano mpira au chaguzi za chama anatoa 400M (TShs).kumbuka hisani hizi siyo sawa na zile za elimu au maendeleo ambazo ni Tax Deductible! Kwa hesabu ya haraka Corporate Tax payable is 30% which means anayelipa jumla ya TShs. 50M kodi anakuwa amezalisha net income ya kama 166M. Now where does he get 400M to waste?

Katika vikao viwili vya awali Mkulu alikuwa akiwajibu kuwa yote hayo anayajua na wahusika wote anawajua kwa majina ila alipoombwa kuwataja alikuwa hakigoma.but in the last meeting walimbana sana awataje ngoma ilipokuwa nzito sana kwake akatoa blessing watajwe na wao CTI. Masatu and the like will query: if the blessing was given to CTI why Mengi appeared as MD of IPP Group in his press conference. My answer is simple; first try your common sense before I give you mine. Ila tu ni vema tujue, katika ngazi ya juu kama alivyobainisha FMES; nyuma ya Mengi kuna serikali ya wazawa, wananchi, wafanyabiashara wazalendo waliofanikiwa kama Idd Simba, Felix Mosha, Killewo etc.. Do you now get at least blurred picture CTI vs IPP?

Pili, kwa nini ataombwa kwa ghalama yoyote ile Mengi afute kesi na kumalizana nje ya mahakama?

Shutuma zote alizotoa RA ziliegemea mfuko wa Commodity Import Support (CIS). Ukisoma vizuri shutuma za RA kwa Mengi zinatumia nyaraka na transactions za 1988-1996 basi baada ya hapo hakupata kitu chochote cha kumshutumu Mengi zaidi ya malumbano na watu mbalimbali na serikali. Vivyo hivyo Kiini cha kesi aliyofungua Mengi kiko kwenye ukweli katika transactions za CIS. Hapa ndipo kwenye uchafu ambao walakini kila mwanasiasa wa wakati huo ambaye ameendelea au amestaafu siasa leo alihusika kuchota pesa. Wengi walimtumia Manji (about 80% of CIS). RA pia ni mdeni lakini sijui akili gani ilimtuma kujaribu makali ya shoka kwa kukata tawi ambalo naye kadandia!

Kuiacha hii kesi ilindime na majalada kuitishwa unamaanisha kuwaanika wanasiasa hawa. Na izingatiwe tayari joto la uchaguzi limeanza. Achilia uchaguzi, ukweli ukianikwa na mahakama unafikiri nchi waliofadhiri mfuko huo watachukua hatua gani juu ya miradi na ufadhiri wao Tanzania?

Wenye kumbukumbu nzuri mtakumbuka Mrema alikwamishwa mara nyingi sana katika serikali ya Mwinyi kila alipopeleka taarifa ya ufisadi ndani ya CIS bungeni. Hili jambo si la leo na limebeba wana siasa maarufu wa leo na wa jana

this has opened my both eyes now..

Mengi anajua mengi sana than we think. Pia atakuwa na backup ya wanasiasa wengi wazalendo na wafanyabiashara. Kitu kinachonishitua zaidi ni kwamba wanasiasa wazalendo wengi (ambao wananchi tuna a bit of imani na wao au ambao wameiba kidogo au hawajaiba kabisa na mpaka leo wanaishi maisha ya kawaida) wako karibu sana na mengi. Pia they have been so quite regarding this. Possible wapo kimya makusudi, wanamfeed Mengi evidence ili wao wawe mashaidi mahakamani na wayatoe mauvu yote ya tangu serikari ya pili.

OMG inabidi RA na marafiki zake wajigaregaze nchi wamwombe Mengi msamaha. Mashaidi wa Mengi mahakamani watainvolve very popular politician of old times.

lets wait and see.. Opps i cant wait.. Mengi usifute kesi please
 
..taarifa za Bunge zinaonyesha kwamba Rostam Abdulrasul Aziz amezaliwa Dec 31,1969.

..anavyosema kwamba Reginald Mengi anaweza kuwa baba yake wa kumzaa kwa kweli hajakosea kabisa.

..hata Kikwete na Lowassa wanaweza kumzaa huyu Rostam Aziz.

..it is hard to believe lakini habari ndiyo hiyo. bwana mdogo Rostam ni hatari sana kwa jinsi alivyoweza kuwathibiti wazee wote, usalama wa taifa, chama cha mapinduzi, na kuweza kumsimika mgombea wake kuwa raisi wa Tanzania.

..yaani alichofanya ROSTAM AZIZ ktk uchaguzi wa 2005 ni sawa na alichofanya BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE uchaguzi wa 1995 alipomsimika Mkapa kuwa Raisi wa Tanzania.

NB:

..can you imagine kwamba hata Jenerali Ulimwengu na akili zake zote alikuwa ametiwa mfukoni na Rostam Aziz?

....halafu ni member wa CC ya CCM!!!
 
Ukiangalia hili swala kwa jicho la CTI inakuwa rahisi zaidi kuconnect dots!

Hivi Mengi bado ni Chair wa CTI? Je makampuni ya RA na Manji are they effective members wa CTI?
 
Nziku,

..pointi zako nzuri lakini kumbuka kwamba kwa miaka mingi Rostam alikuwa kawanunua waandishi wa habari wote wa maana kwa mfano Jenerali Ulimwengu,Dr.Gideon Shoo,Muhingo Rweyemamu, etc.

Mwanakijiji,

..baada ya kushinda ubunge wa Igunga gazeti la Rai liliandika historia/wasifu wa Rostam Aziz.

..nakumbuka walidai amesoma MBA London School of Economics. sikumbuki degree ya kwanza walisema amesomea wapi, lakini nahisi ni UDSM.

..sasa watu wa rika lake waliozaliwa 67,68,69, wanamkumbuka Rostam pale chuo kikuu? vilevile kuna aliyekuwa naye kambi moja JKT?

..lakini kwa upande mwingine labda masuala yake ya uzawa siyo ya muhimu sana.

..jambo la muhimu ni kujaribu kujua ni jinsi gani aliweza kukiteka nyara chama cha mapinduzi CCM, na kuichukua msukule serikali nzima ya Tanzania.

NB:

..nadhani kuendelea kumchimba uraia wake mwisho wake anaweza akakimbia nchi. lakini tatizo letu litaendelea kuwa palepale kwamba atatuachia huyu Raisi aliyempachika.

..yaani itakuwa sawa na mwanamke aliyetiwa mimba halafu bwana akamkimbia.

...JokaKuu naona umeamua sasa.........JF people lets focus on the one highlighted and bold........we will soon get there........my humble advise
 
When asking maswali kama haya.. je kuna anae na ushaidi RA anatokea wapi? Yeye mwenyewe kasema Familia yake ilihamia Tabora 1852.. sasa je na sisi tunajaribu kukataa.. vielelezo please kabla hatujasema kitu...

Rostam Aziz (RA) karibu sana JF. Lakini unapojitetea toa data zaidi kwenye joha zako, tunahitaji kukufahamu zaidi. La sivyo kuna kitu unaficha. Ila sintashangaa siku nikisikia kuwa wewe ni jini, kwa sbb hizo ndo zenu, na baadhi ya mambo unayofanya sio ya kibinadamu.
 
- Mengi siku zote amekua akipigana sana dhidi ya ufisadi, lakini behind the scene, yeye alikuwa the instrument iliyomuondoa Lowassa na Richimonduli sasa labda useme ali-gain nini personally on that,

- Yes, bila Makamba kwenda kumpigia kelele Mengi CC, Mengi angeendelea kupigana behind the scene kwa sababu ni more effective kuliko in the public kama ilivyo sasa, kwa sababu inampa fisadi nafasi ya kufuatilia kinachoendelea on the otherside of the glass,

- Mkuu una logic nzuri sana maana unajaribu sana toka juzi kuitumia kuona kama unaweza ku-solicit more info na dataz, keep it up, ila kwa leo ni hayo tu ingawa unaoneakana unampenda sana Rostam na Makamba, pamoja na Manji, good for you! Bwa! ha! ha!

Respect.

FMES!

Mimi sina mapenzi yoyote na RA, Makamba nor Manji ninachokipigania ni kwamba JF hatutakiwi tuwe biased but we need to be rational.

Tunataka hii vita iwe zero tolerance bila kuangaliana usoni, Mimi sio mnafiki maswali yangu yanatokana na maelezo yako amabayo yana propaganda, Ila ninafurahi kwamba kila unapoandika unazidi kunifunua macho kwamba Mengi na RA wote ni mafisadi, ninaomba hili saga liendelee ili wote tuwavue ngozi zao za kondoo
 
Swala la kwamba ana uraia wa nchi nyingine is another topic, But Kaziliwa Tabora , Kakulia Tabora anongea kinyamwezi na Ni mtanzania, Kama ana passport mbili zingine , we can even start there, Kuna watanzania wengi sana ambao wana passport zaidi ya moja which is against the country Law.

Kama unaushaihidi unasubiri nini kuwaambia Immigration wakamkamate? Pili ninakumbuka ule mjadala wa balali watu mlisema ana uraia wa marekani lakini ubalozi wa marekani ukakanusha na kusema kuwa alikuwa na diplomatic passport kutoka Tanzania ambayo baadae ilkuwa revocked.

Mwisho you can present your point without beig disrepective , Heshima hainunuliwi. Inabidi ujifunze ustaarabu

Sikutaka kutia timu hapa kwenye discussion leo lakini nimejikuta nikishindwa. ndugu yangu naomba nikuulize swali...Je wewe ni mnyamwezi? Kama ndio au hapana unauhakika Rost-tamu ni Mtanzania? Ulishawahi fanya kazi kwa magabacholi hawa? Unafahamu jinsi wanavyowatumia vijana wetu kwenye biashara zao? Nakuomba ufanye utafiti wa kina, lakini atabakia kuwa ndugu yake Ahmadenajad na subirini nuclear ipambe moto huko Irani ndio mtajua kuwa RA sio mnyamwezi leave alonne kuwa mtanzania kwa kuomba uraia.
 
omutwale,Ogah,MzalendoHalisi,FMES,future-Tanzania,

..hao CTI nadhani hawako makini kidogo.

..kesi za hawa mafisadi siyo za kumpelekea Raisi Kikwete.

..mafisadi wanachangia kampeni za CCM halafu CTI wanakwenda kumuomba Mwenyekiti wa CCM awachukulie hatua za kisheria?!!

..mafisadi wengine wamefadhili kampeni ya Uraisi ya Kikwete kwa miaka zaidi ya 15. sasa kweli CTI na wachangiaji jamii-forums mnategea Raisi Kikwete atawachukulia hatua mafisadi wa aina hiyo?

..kinachotakiwa ni kuwasafisha mafisadi wote, pamoja na wanasiasa wote waliowafadhili, na watumishi wa serikali walioshirikiana nao.

NB:

..wanasiasa wa CCM wanaojiamini kwamba wao ni wasafi wawafichue wale wote walioshirikiana na mafisadi kukifadhili na kukichafua chama chao.

..huu mchezo wa kuendelea kudanganyana eti Raisi Kikwete anakwamishwa na mafisadi ni unafiki mtupu.

..wana CCM wasafi simameni upande wa ukweli.
 
Bandugu,
Let's cut the crap and deal with the real issue here..
I urge this not because I doubt the moral probity of those in support, but because I know for sure all alegations are not rightly applied for U and me... kuna siri kubwa ya hii vita ya fahari hawa!
Come on guys, jamani hivi kweli tutaendelea hadi lini kucheza mchezo wa kujificha na Politics ambazo haziwezi kumsaidia Mtanzania zaidi ya kuputana mikono ktk sinia la Pilau.

Hakuna kati yetu asiyefahamu kwamba Rostam has to go!..ni swala la muda tu nabila shaka ndiloi lengo kubwa na viongozi na wana CCM ambao wanajua kabisa kwamba hawamhitaji tena Rostam...
Ni hulka ya Mtanzania au niseme mtu mweusi ambayo pengine Rostam hakuifahamu. Siku zote mtu mweusi huwa mnyonge sana anapokuwa maskini na huomba kwa mikono miwili lakini akisha pata basi fadhila zote huzisahau na mara nyingi hujiweka kifua mbele hata kumtukana mfadhili wake. Ni maisha ambayo mimi mwenyewe nimekulia na maisha ambayo nayafahamu vizuri kiasi kwamba ndugu, marafiki au Mtanzania mwenzangu akitaka kunikopa fedha, humpa bila kutegemea kurudishiwa na pili muhimu usichukulie kama umemsaidia hata siku moja kwani huo sio msaada hukumkuta akiokota makopo au homeless..

Sii kwamba namtetea Rostam hapa hata kidogo isipokuwa naona kama tunazidi kujidanganya wenyewe ktk siasa za CCM ambazo lengo na nia yao sii kupigana na Ufisadi isipokuwa kuwaondoa baadhi ya watu ambao leo hii ni mzigo kwao..

Rostam hakuiba fedha zote peke ytake wala hatuwezi kumwita yeye pekee Fisadi wakati kila transaction ya fedha zake zimesimamiwa na viongozi wetu toka Mkapa hadi Kikwete..Hawa watu wameiba wote na kama kweli kuna mbinu ya kufikisha mahakamani Mafisadi hiyo serikali wanashindwa kitu gani ikiwa ushahidi wote upo TAKUKURU..Chombo hiki kiliundwa kwa sababu ya kushughhulikia Mafisadi..lakini hadi leo hii tunavyozungumza hakuna fisadi hata mmoja aliyekwisha fikishwa mahakamani kwa tuhuma za Kuhujumu uchumi..Ni kesi ndogo zinazohusiana na matumizi mabaya ya fedha za serikali, sheria ambayo ingeweza kabisa kufikishwa mahakamani na chombo kile cha zamani..

Rostam alitumia fedha yake kujenga Mtandao, wahindi na matajiri wote nchini wametumiwa na wakubwa kuficha mali zao na Rostam hana tofauti kabisa na kina Patel, Manji na kadhalika..Hawa wote walitumiwa na viuongozi wetu kufika hapo walipofika bila kujali kabisa mustakabali wa nchi yetu. By any means necessary hata kama kuondoa roho ya mtu walikusudia kuchukua madaraka ya nchi ktk kugawana Umaskini.. Leo wamepata makalio yao yanalia mbwata na wanataka tuamini kwamba Rostam is the Papa wa ufisadi wakati ukweli ni kwamba Rostam ni vumbi la bomu linaloweza kuonekana toka mbali..tunasahau kwamba kinachoua sii vumbi bali ni zile baruti za bomu hilo ndio hao viongozi wetu wanaocheza leo mchezo huu..Uhcumi wetu unazidi kutokomea kila siku ya Mungu na siku hazirudi nyuma.

Nina imani kabisa hili saga la Rostam limepangwa na wala sii vita kati ya Mengi na Rostam isipokuwa ni vita kati ya baadhi viongozi wa utawala ambao hawana nia wala dhamira ya kuondoa Ufisadi nchini..
Pamoja na yote haya nimejifunza kitu kimoja tu kwamba hata siku moja mvuvi hawezi kwenda kumvua Papa kwa mategemea ya kumpata mmoja anayekula watu..kwa ushahidi gani?..Rostam ni miongozi mwao kesi zote za EPA, NBC, ATC, RICHMOND, IPTL, MADINI, na nyinginezo zikifikishwa mahakamani kwa ushahidi wa mkaguzi mkuu wa mahesabu ya serikali zinatokasha kabisa kumfikisha mahakamani Rostam pamoja na wote wahusika ambao leo hii wamekaa pembeni wakichochea ugonvi huu... rangi uzawa na kabila ya Rostam haiwezi kabisa kuwa sababu ya Ufisadi wake na sipendi kabisa ujinga wa kufikiria kwamba mtu mweusi mwenzangu ana kila haki ya kufanya Ufisadi nchini kuliko mgeni..
Haya ya Mengi na Rostam ni sinema tu ktk mkusanyiko wa vituko vya mtu mweusi, kwa sababu navyoandika hivi sasa hapa Canada waziri mkuu wa zamani Brian Mulroney amefikishwa mahakamani kwa mambo aliyafanya miaka yake akiwa Prime minister, tena kwa fedha ndoigo sana ambazo ni vijisenti, lakini ilikuwa kinyume cha sheria..Kina Rostam wako wengi sana duniani iwe Marekani, Uingereza, Canada au Ukerewe, ni jinsi serikali inavyoweza kuwapa mwanya wa kujitanua ndivyo wataweza kujenga himaya zao. Rostam is who he is kutokana na CCM wenyewe, hakwenda kuuboimoa Benki.. tunaomba kesi zote zinazohusiana na Ufisadi zifikishwe mahakamani, swala la TAKUKURU kuamua kuwa ushahidi hautoshi sio swala lao kuamua ila ni la Mwanasheria mkuu...
 
FMES,

Nakubaliana na data zako maana zinajazia sana info niliyonayo for some days.nilidhani udaku na sikuwa na time wala mvuto wa kui-share.

Pamoja na kukutanishwa kwa Mengi na Rostam, Mkulu pia ameitwa mara tatu na CTI mara zote anaelezwa jinsi baadhi ya wafanyabiashara hasa wenye asili ya ki-asia wanavyoitafuna nchi na mbaya zaidi hata kodi hawalipi katika deal zote wanazofanya kupitia makampuni yao special for ufisadi. Wakaenda mbali zaidi kumpa mifano ya wazi, mtu kodi ya mwaka mzima kutokana na biashara zake zote analipa less than 50M (TShs), michango ya hisani mfano mpira au chaguzi za chama anatoa 400M (TShs).kumbuka hisani hizi siyo sawa na zile za elimu au maendeleo ambazo ni Tax Deductible! Kwa hesabu ya haraka Corporate Tax payable is 30% which means anayelipa jumla ya TShs. 50M kodi anakuwa amezalisha net income ya kama 166M. Now where does he get 400M to waste?

Katika vikao viwili vya awali Mkulu alikuwa akiwajibu kuwa yote hayo anayajua na wahusika wote anawajua kwa majina ila alipoombwa kuwataja alikuwa hakigoma.but in the last meeting walimbana sana awataje ngoma ilipokuwa nzito sana kwake akatoa blessing watajwe na wao CTI. Masatu and the like will query: if the blessing was given to CTI why Mengi appeared as MD of IPP Group in his press conference. My answer is simple; first try your common sense before I give you mine. Ila tu ni vema tujue, katika ngazi ya juu kama alivyobainisha FMES; nyuma ya Mengi kuna serikali ya wazawa, wananchi, wafanyabiashara wazalendo waliofanikiwa kama Idd Simba, Felix Mosha, Killewo etc.. Do you now get at least blurred picture CTI vs IPP?

Pili, kwa nini ataombwa kwa ghalama yoyote ile Mengi afute kesi na kumalizana nje ya mahakama?

Shutuma zote alizotoa RA ziliegemea mfuko wa Commodity Import Support (CIS). Ukisoma vizuri shutuma za RA kwa Mengi zinatumia nyaraka na transactions za 1988-1996 basi baada ya hapo hakupata kitu chochote cha kumshutumu Mengi zaidi ya malumbano na watu mbalimbali na serikali. Vivyo hivyo Kiini cha kesi aliyofungua Mengi kiko kwenye ukweli katika transactions za CIS. Hapa ndipo kwenye uchafu ambao walakini kila mwanasiasa wa wakati huo ambaye ameendelea au amestaafu siasa leo alihusika kuchota pesa. Wengi walimtumia Manji (about 80% of CIS). RA pia ni mdeni lakini sijui akili gani ilimtuma kujaribu makali ya shoka kwa kukata tawi ambalo naye kadandia!

Kuiacha hii kesi ilindime na majalada kuitishwa unamaanisha kuwaanika wanasiasa hawa. Na izingatiwe tayari joto la uchaguzi limeanza. Achilia uchaguzi, ukweli ukianikwa na mahakama unafikiri nchi waliofadhiri mfuko huo watachukua hatua gani juu ya miradi na ufadhiri wao Tanzania?

Wenye kumbukumbu nzuri mtakumbuka Mrema alikwamishwa mara nyingi sana katika serikali ya Mwinyi kila alipopeleka taarifa ya ufisadi ndani ya CIS bungeni. Hili jambo si la leo na limebeba wana siasa maarufu wa leo na wa jana

Mheshimiwa maneno yako yanafanana na Ukweli lakini yanatia wasiwasi na hayana Ukweli labda kama unachanganya CTI and TCCIA and National Business Councial.

Mengi na Simba wamekuwa wakiwakandamiza wafanyabiara wadogo wadogo wa Tanzania kwa kupitia CTI kwa mda mrefu sana, I kumbukwe kwamba CTI ni federation ailiyoanzishwa kwa wafanyabiashara wa kiasia na mengi,Iddi Simba, Kilewo kwa wao kujimega toka TCCIA , CTI kwa miaka mingi sana wahindi wamekuwa viongozi wake, ila kwa kutupaka mafuta watanzania kwa support ya Idd Simba wakamchagua Mengi awe Mwenyekiti wao, ili ionekane ya kizawa.

Kwa miaka mingi opportunity nyingi za kibiashara na Finances zilikuwa zikienda CTI which created tension between CTI and TCCIA.All of the business opportunity zilikuwa zinatekwa na CTI which have few members than TCCIA. CTI kwa kiwango kikubwa imesaidia kurudisha nyuma growth of private sector in Tanzania kwasbabu wao walikuwa wana loby and wanajigawia all of the business resources bila kujali the sector as whole. Unyonyaji wote huu umekuwa facilitated with Mengi and Idd Simba incollaboration na wafanyabiashara wa kiasia miaka nenda rudi.

Kwahiyo kwa wewe kusema CTI ya wafanyabiashara wa kiasia imemwita mkullu na kumwambia ufisadi wa 80% ya members wake haiingii akilini mzee.Hii sio kweli

Mimi ninachokifahamu mimi ni kwamba baada ya tension ya mda mrefu sana kati ya wafanyabiashara wazawa kupia TCCIA na CTI ya waasia na Mengi, the goverment decided to start Tanzania Business Councial , which baada ya kauznishwa kwa hii councial kwasasa imekuwa very powerfull na kwa kiasi furani imeweza kushif power from CTI mpka kufikia kwenye level ya kwamba hata wale wafanyabiashara wadogo ambao ni members wa TCCIA wamekuwa wameanza kuayona matunda.

Kuhusu swala la ulalamikaji wa ulipaji kodi, watu wa TCCIA wamelalamika sana kuhusu hili swala kwa mika mingi na hakuna aliyewasikiliza kwasababu wasiolipa kodi ndio hao CTI ambao mengi ni mwenyekiti wao na amekuwa akiwategea kifua for many years.

Mengi again si kwa manufaa ya Taifa kwa manufaa yake mwenyewe ameona CTI nguvu zinaanza kupungua ndio maana una ona hizi kelele zote but he has no difference ni mnonyaji tu na hafanyi chochote kwa faida ya watanzania.

Rais hili swala la kutolipa kodi lipata attention through Tanzania Business Councial na si CTI na Tanzania Business Councial ina members wazawa wengi almost 95% than CTI.

Kazi bado ipo but we need to clean up all of this mess
 
Kwa miaka mingi opportunity nyingi za kibiashara na Finances zilikuwa zikienda CTI which created tension between CTI and TCCIA.All of the business opportunity zilikuwa zinatekwa na CTI which have few members than TCCIA. CTI kwa kiwango kikubwa imesaidia kurudisha nyuma growth of private sector in Tanzania kwasbabu wao walikuwa wana loby and wanajigawia all of the business resources bila kujali the sector as whole. Unyonyaji wote huu umekuwa facilitated with Mengi and Idd Simba incollaboration na wafanyabiashara wa kiasia miaka nenda rudi.
Mkuu samahani kidogo hapa... unaweza kunambia vizuri hiyo tension kati ya vyombo hivi viwili ilitokana na kitu gani?..Je, kulikuwepo na fungu la serikali kuwasaidia au nguvu ya wahisani/miikopo toka vyombo vya financial au serikali kutazama chombo kimoja..
Nitapenda kuelewa vizuri kazi za vyombo hivi zilikuwa zipi kwa wafanyabiashara maanake nashindwa kumeza report hizi kwa sababu sielewi nafasi na nguvu ya Mengi na Idd Simba ktk kuwekea wananchi visiki hivi ikiwa watu hawa ndio vinara wa mfumo wa UZAWA..
 
Mheshimiwa maneno yako yanafanana na Ukweli lakini yanatia wasiwasi na hayana Ukweli labda kama unachanganya CTI and TCCIA and National Business Councial.

Mengi na Simba wamekuwa wakiwakandamiza wafanyabiara wadogo wadogo wa Tanzania kwa kupitia CTI kwa mda mrefu sana, I kumbukwe kwamba CTI ni federation ailiyoanzishwa kwa wafanyabiashara wa kiasia na mengi,Iddi Simba, Kilewo kwa wao kujimega toka TCCIA , CTI kwa miaka mingi sana wahindi wamekuwa viongozi wake, ila kwa kutupaka mafuta watanzania kwa support ya Idd Simba wakamchagua Mengi awe Mwenyekiti wao, ili ionekane ya kizawa.

Kwa miaka mingi opportunity nyingi za kibiashara na Finances zilikuwa zikienda CTI which created tension between CTI and TCCIA.All of the business opportunity zilikuwa zinatekwa na CTI which have few members than TCCIA. CTI kwa kiwango kikubwa imesaidia kurudisha nyuma growth of private sector in Tanzania kwasbabu wao walikuwa wana loby and wanajigawia all of the business resources bila kujali the sector as whole. Unyonyaji wote huu umekuwa facilitated with Mengi and Idd Simba incollaboration na wafanyabiashara wa kiasia miaka nenda rudi.

Kwahiyo kwa wewe kusema CTI ya wafanyabiashara wa kiasia imemwita mkullu na kumwambia ufisadi wa 80% ya members wake haiingii akilini mzee.Hii sio kweli

Mimi ninachokifahamu mimi ni kwamba baada ya tension ya mda mrefu sana kati ya wafanyabiashara wazawa kupia TCCIA na CTI ya waasia na Mengi, the goverment decided to start Tanzania Business Councial , which baada ya kauznishwa kwa hii councial kwasasa imekuwa very powerfull na kwa kiasi furani imeweza kushif power from CTI mpka kufikia kwenye level ya kwamba hata wale wafanyabiashara wadogo ambao ni members wa TCCIA wamekuwa wameanza kuayona matunda.

Kuhusu swala la ulalamikaji wa ulipaji kodi, watu wa TCCIA wamelalamika sana kuhusu hili swala kwa mika mingi na hakuna aliyewasikiliza kwasababu wasiolipa kodi ndio hao CTI ambao mengi ni mwenyekiti wao na amekuwa akiwategea kifua for many years.

Mengi again si kwa manufaa ya Taifa kwa manufaa yake mwenyewe ameona CTI nguvu zinaanza kupungua ndio maana una ona hizi kelele zote but he has no difference ni mnonyaji tu na hafanyi chochote kwa faida ya watanzania.

Rais hili swala la kutolipa kodi lipata attention through Tanzania Business Councial na si CTI na Tanzania Business Councial ina members wazawa wengi almost 95% than CTI.

Kazi bado ipo but we need to clean up all of this mess

- Mkuu jaribu kuangalia a big picture, kwamba Mengi na Idd Simba wanaajiri wananchi wengi sana, ofisi ya Mengi peke yake ina wafanyakazi 1000, kuacha viwanda vyake, ukisema ukweli inapendeza sana badala ya attaks zisizokuwa na facts!

Respect.

FMES!
 
Bandugu,

Sii kwamba namtetea Rostam hapa hata kidogo isipokuwa naona kama tunazidi kujidanganya wenyewe ktk siasa za CCM ambazo lengo na nia yao sii kupigana na Ufisadi isipokuwa kuwaondoa baadhi ya watu ambao leo hii ni mzigo kwao..

Rostam hakuiba fedha zote peke yake wala hatuwezi kumwita yeye pekee Fisadi wakati kila transaction ya fedha zake zimesimamiwa na viongozi wetu toka Mkapa hadi Kikwete..

Rostam alitumia fedha yake kujenga Mtandao, wahindi na matajiri wote nchini wametumiwa na wakubwa kuficha mali zao na Rostam hana tofauti kabisa na kina Patel, Manji na kadhalika..Hawa wote walitumiwa na viuongozi wetu kufika hapo walipofika bila kujali kabisa mustakabali wa nchi yetu.

Rostam is who he is kutokana na CCM wenyewe, hakwenda kuuboimoa Benki..

kama tunaweza kutizama kama uonavyo wewe tunaweza tukafika somewhere!
 
1.
LeoKweli;Mimi sina mapenzi yoyote na RA, Makamba nor Manji ninachokipigania ni kwamba JF hatutakiwi tuwe biased but we need to be rational.
- Inafurahisha sana kwamba unauona msimamo wako wa kila kukicha kumshambulia Mengi, kwamba ni rational na sio biased na ungependa wananchi wote hapa JF tuwe what you call rational kwa kumshambulia Mengi kila siku na none-facts, naomba usinihesabu kwenye hiyo rational thinking yako mkuu, maana ni very dangerous kwa taifa langu hasa kwenye ishu kama ambayo kwangu ni black and white!

2.
Tunataka hii vita iwe zero tolerance bila kuangaliana usoni,
- Mkuu ni vyema ukajifunza lugha za JF, huwa hatusemi tunataka maana huwakilishi anybody hapa zaidi ya mawazo yako tu, kumbuka hilo in the future!

3.
Mimi sio mnafiki maswali yangu yanatokana na maelezo yako amabayo yana propaganda,
- Unasema kumshambulia Mengi, anayeshambuliwa na a powerful politician kama Rostam sio unafiki, then what is a meaning of unafiki? Propaganda why even waste time na kujibu kila propaganda inapoandikwa? Unanichekesha kweli, ni wapi kwenye propaganda maana so far on your part sijaona hoja zaidi ya logic tu tena zisizokuwa hata na mshiko zaidi tu ya kutaka upewe dataz zaidi!

4.
Ila ninafurahi kwamba kila unapoandika unazidi kunifunua macho kwamba Mengi na RA wote ni mafisadi, ninaomba hili saga liendelee ili wote tuwavue ngozi zao za kondoo
- Unajua ni kama unavyonifurshisha kila unapoandika kwamba you have no clue of what is going on, sasa unajaribu kuila njia kuelimishwa kwa kutumia njia flani za kujifanya logician kumbe ni bure tupu, maana siwezi hata siku moja kumuita Mengi fisadi kwa kusimama kidete na kunitetea mbele ya wenye nguvu za kisiasa kama Rostam,

- Rostam ni mjumbe wa a powerful political body in our Land, yaani CC ya CCM, sasa kama anajaribu kutumia nafasi yake huko kumharibu Mengi na Mengi akaamua kumjibu kwa kufichua ufisadi wake mbele ya public na Rostam kukimbilia Takukuru kumtishia mwananchi Mengi,ambaye naye amemuwahi Mahakamani, huku viongozi wenzake wote Rostam wakimbembeleza Mengi afute kesi yaishe, mkuu call me anything you want, lakini ninasimama kumpa my support tena kwa 100%, mwananchi mwenzangu Mengi, aliyeweka everything on line kwa ajili ya kunitetea mimi mwananchi.

- Hii ishu kwangu ndio mwanzo na mwisho wa matatizo ya bongo, this Rostam thing, huyu ndiye chanzo cha matatizo mengi sana ya uongozi mbovu tuliyoletewa na Mtandao na baba yao Mkapa, sasa umefika wakati wa ukombozi wanatokea watu kama wewe wanaotaka kuendelea kuishi chini ya makucha ya mkoloni fisadi papa Rostam, na unasema bila hata ya aibu! Mkuu wangu amka usingizini, Mengi anajaribu kukuokoa na makucha ya huyu fisadi asiyekua na huruma hata kidogo na wewe mwananchi, huu moto ukiendelea kumuwakia atakimbilia Dubai na Iran, sasa niambie Mengi atakimbilia wapi?

Unachekesha sana mkuu, ninasema tena kwamba kwangu hii ishu ni either unam-support Rostam/Makmba/Manji au Mengi/wananchi, sasa chagua moja hakuna rational hapo mkuu!

Respect.

FMES!

 
FMES,
Mkuu wangu nakuaminia sana ktk maswala kama haya, lakini nakuomba uwe mkweli hapa.. Kuna siri gani ktk janga hili lote.. Yes naelewa kwamba Rostam ni fisadi tena fisadi papa kama alivyosema Mengi lakini Papa hayuko mmoja baharini wako kila aina na ukubwa pamoja na kwamba tunafahamu wote hula nyama..
Kumvua samaki huyu mmoja Rostam na kusema kwamba ndio mwisho na mwanzo wa Ufisadi utakuwa unacheza ile sinema ya JAWS kwa sababu naelewa fika Rostam got there kwa nguvu ya baadhi ya watu fulani...Hivi kweli Rostam ni nani miaka ya 80 maanake naelewa wazi viongozi wote serikalini wameanza kujulikana toka enzio kama sii wao basi baba zao.
Nashindwa kuamini kabisa kwamba Rostam katokea huko Iran au Igunga na kuwa na nguvu hizi za ajabu kiasi kwamba awashinde matajiri wote wa Dar ambao ni almatan mjini..Rostam kafikia hapo alipofikia kwa sababu sisi wenyewe tumemruhusu kufika hapo na leo haiwezekani kabisa avuliwe yeye na tuseme ndio mwisho wa matatizo..sign zote zinaonyesha wazi kwamba Papa lile la JAWS bado lipo baharini somewhere na pengine linasikilizia tu nguvu ya mkondo (current) wa bahari..
Sisemi kuwa Mengi is wrong au hana haki ya kujitetea na nadhani hilo nimeshajieleza vya kutosha isipokuwa mimi natoka ktk Ubishi wa Rostam against Mengi kwa sababu naelewa fika Mengi alijipanga kumvua samaki huyu lakini nashindwa kuamini kabisa kuwa huyu ndiye yule papa tunayemsaka..
 
Mkuu samahani kidogo hapa... unaweza kunambia vizuri hiyo tension kati ya vyombo hivi viwili ilitokana na kitu gani?..Je, kulikuwepo na fungu la serikali kuwasaidia au nguvu ya wahisani/miikopo toka vyombo vya financial au serikali kutazama chombo kimoja..
Nitapenda kuelewa vizuri kazi za vyombo hivi zilikuwa zipi kwa wafanyabiashara maanake nashindwa kumeza report hizi kwa sababu sielewi nafasi na nguvu ya Mengi na Idd Simba ktk kuwekea wananchi visiki hivi ikiwa watu hawa ndio vinara wa mfumo wa UZAWA..

Mkandra
Ukiangalia taratibu mbalimbali za uzamini wa mikopo ya Biashara, Hawa jamaa wa CTI walikuwa na nguvu kubwa sana katika kuloby hivyo walikuwa wanahakikisha wanagawana resources zote kabla wafanyabiashara wengine hawajapa kitu. Ndio maana unasikia kwamaba kuna wafanyabiashara kibao ambao they are credit worth lakini hizi scheme walikuwa hawapati nafasi za kunufaika nazo. At the time Iddy Simba alikuwa ni waziri wa viwanda na Biashara.
Ndio maana unaona kitu kama Commodity Import Support pengine wengine ndio wanakisikia sasa hivi.

Mengi kama mwenyekiti wa CTI alikuwa ndio mafanikishaji wa hili zoezi.

Pili kutokana na mkono wa Iddy Simba, any new investors walikuwa wanakuja Tanzania instead ya kupatiwa platform ambayo ni open walikuwa wanfikishiwa CTI. which is changing now , kipindi hicho hatukuwa na Tanzania Investment centre.

TCCIA inawanachama wengi sana , I will say more than a million wafanyabiashara wadogo.Kutengwa kwao, na kukosa hizi facilities kulisababisha hii tension. Ilikuwa ikitangazwa scheme ya Financial Support or Loan ukienda kama wewe ni member wa TCCIA unaambiwa no more money ukienda kama CTI pesa always zipo, hii sasa iliendeleza huo mvutano.

Kuhusu swala la Mengi na Simba kuwa mabalozi wa uzawa sio kweli. Ile dhana ya uzawa ilikuwa haiwagusi wahindi, walikuwa wanawahofia sana wasouth africa ndio maana ukasikia wanaongelea uzawa, walijua Mkapa alikuwa anawafungulia milango wasouth africa kwa hiyo ile ilikuwa inahatarisha nafasi zao za influence in business society. which means michezo yao hatari isingewezekana tena, kwahiyo wala hiyo politics usiiweke kichwani.

Ukitaka kujua tu kipimo cha uzawa anagalia hii picha.

Wahindi wanakopa world bank, IMF, ADB kupitia Exim, wanawapa wakulima wenzao mikopo nafuu Tanzania.

Mzalendo Idd simba anakopa ADB kupitia Pride anawacharge walalahoi more than 30% intrest , Hebu niambie kama kuna uzawa hapo?

CTI ni exclusive club ya members kama 50, which 80% or more ni waasia.Ambao kupitia mengi na Idd Simba wameifaidi sana nchi hii , inasikitisha sana, But we getting near there we will clean huu uchafu wote
 
CTI ni exclusive club ya members kama 50, which 80% or more ni waasia.Ambao kupitia mengi na Idd Simba wameifaidi sana nchi hii , inasikitisha sana, But we getting near there we will clean huu uchafu wote
- Kufaidi nchi kwa kupitia biashara halali sio kosa mkuu, jaribu kutenganisha hilo, hatuwezi kufaidi nchi wote hata huko majuu sio wote wanaofaidi nchi, lakini wanaofaidi nchi sio lazima wawe wote ni wachafu, rekebisha hilo mkuu na wala sio dhambi kufaidi nchi kwa halali!

FMEs!
 
Back
Top Bottom