Kitia
JF-Expert Member
- Dec 2, 2006
- 418
- 79
I love this forum!Naomba kabla hujafa post entire script ya balali.
I love this forum!Naomba kabla hujafa post entire script ya balali.
I am ending here but very soon I will reveal all things about Rostam.
Prince William... tunaomba source... hapa sio vyema kusema mambo ambayo hatuwezi confirm. Na ukileta dataz zozote.. make sure unayo vielelezo.. JF sio sehemu ya soga....
hapa siyo mahakamani.. amesema analolijua na yeye ndiye source.. anayetaka ushahidi the usual place inajulikana...
Nani kakwambia alizaliwa TABORA, unaushahidi?!
hapa siyo mahakamani.. amesema analolijua na yeye ndiye source.. anayetaka ushahidi the usual place inajulikana...
When asking maswali kama haya.. je kuna anae na ushaidi RA anatokea wapi? Yeye mwenyewe kasema Familia yake ilihamia Tabora 1852.. sasa je na sisi tunajaribu kukataa.. vielelezo please kabla hatujasema kitu...
MMM, naelewa hapa sio mahakamani... but kuweza kuweka vitu ambavyo sio porojo za chini ya muembe... lazima tuweze kuwa na reference ... otherwise tunakaribisha speculation. Sidhani ni mazingira tunayojaribu kujenga hapa JF..
MMM, naelewa hapa sio mahakamani... but kuweza kuweka vitu ambavyo sio porojo za chini ya muembe... lazima tuweze kuwa na reference ... otherwise tunakaribisha speculation. Sidhani ni mazingira tunayojaribu kujenga hapa JF..
unachotakiwa kurefute alichosema ni kutuambia kwa kadiri ujuavyo..
Rostam alizaliwa wapi na lini
alisoma shule gani ya msingi
Sekondari alisoma wapi
Alienda chuo wapi na vitu kama
mwaka 1980 alikuwa wapi?
Sasa ukija na data za namna hiyo basi ndiyo unasaidia kuonesha hoja ya PW kuwa haina msingi..
I have carefully read the last words written by Dr. Ballali before he died in US last year and my conclusion is very simple: Rostam is a shark through Kagoda. He pocketed Sh40billion using CCM campaign as a front or a shield.
"Rais Mkapa akaniita pale Ikulu akaniambia Kampe Rostam pesa ili Malaika aweze kushinda uchaguzi... Nikajibu kwamba pale benki kuu hakuna fedha labda zile za account ya madeni lakini itabidi wafuate utaratibu" DR. Ballali.
"Nikakaa na Rostam nikampa utaratibu na kumtambulisha kwa ndugu Maregesi ili amsaidie kusajili kampuni ya Kagoda... Kwa kuhofia bomu kulipuka nikashauri waingizwe na wengine wengi kwa masharti ya kuchangia Chama asilimia 40 ya malipo... Lengo lilikuwa ni kufanya ionekane kama serikali kwa wakati huo iliamua kulipa madeni." Dr. Ballali.
Now this is just the version of the dossier by Dr. Ballali where he strongly revealed how Rostam swindled the billions. The party was given only Sh10billion.
Tukisema hivyo, ina maana yeye si MTANZANIA.
Jikumbushe Alberto Fujimori wa Peru. Aliboronga weee na siku mambo yalipomuwakia akasema hamnipati ng'ooo na akaingia zake mitini JAPAN. Japan na ugumu wao wa kutoa uraia, wakampokea kwa kusema "welcome home son". Peru hadi leo wanalialia na hawawezi kumpata.
Ndiyo madhara ya watu wenye uraia wa nchi mbili kuwa wana siasa.
Having inherited his uncle's business, Rostam rose as a trader trading in hides(Ngozi) before forming a road construction company called Capsian which he used to conduct shoddy business, and earned billions. This company failed to deliver according to the agreed standards in Mafia, Mwanza, Dar es Salaam, forcing Magufuli who was the then minister for works to suspend payments worth billions. That's why soon after Kikwete won the election, while Rostam and Lowassa acquired Habari Corporation, Muhingo Rweyemamu was given a special assignment to deal with the so called corrupt deals in government owned houses.
"Rais Mkapa akaniita pale Ikulu akaniambia Kampe Rostam pesa hili Malaika aweze kushinda uchaguzi...Nikajibu kwamba paple benki kuu hakuna fedha labda zile za account ya madeni lakini itabidi wafuate utaratibu" DR. Ballali.
"Nikakaa na Rostam nikampa utaratibu na kumtambulisha kwa ndugu Maregesi ili amsaidie kusajili kampuni ya Kagoda...Kwa kuhofia bomu kulipuka nikashauri waingizwe na wengine wengi kwa masharti ya kuchangia Chama asilimia 40 ya malipo...lengo lilikuwa ni kufanya ionekane kama serikali kwa wakati huo iliamua kulipa madeni." Dr. Ballali.
If you guys remember, Rai newspaper serialised damning articles about Magufuli in a calculated bid aimed at politically victimising him as well as reducing his popularity which was a threat to a much hurried man-Lowassa. But the funny thing is that while Rai was busy attacking Magufuli, Mr. Muhingo didnt bother to ask his boss(Rostam) how did he acquire his home in Dar while he wasnt the government's worker or civil servant.
Prince William... tunaomba source... hapa sio vyema kusema mambo ambayo hatuwezi confirm. Na ukileta dataz zozote.. make sure unayo vielelezo.. JF sio sehemu ya soga....
Si nyumba zote zilizokuwa Upanga na Oysterbay zilikuwa za serikali. Nyingine zilikuwa za mashirika ya umma (NDC n.k.). ...
- Mkuu Sikonge, hii haijakaa sawa hebu fuatailia habari za huyu Mzee Fujimori, maana ninajua ni last week tu kesi yake imeisha katika mahakama ya wananchi huko Peru na wamem-found guilty katika all the charges against humanity, anasubiri kuhukumiwa kwenda jela maisha,
- Wa-JaP walimtosa longtime na kumrudisha Peru kusimama mbele ya sheria ya wananchi aliowaibia sana na kuwaua bila makosa.
Respect.
FMEs!