Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 97
Walimuandama hivyohivyo hata Mzee Nyagazwa na Generali ulimwengu nakumbuka kuwa siyo maraia wa Tanzania....Ntagazwa alikuwa mbunge na waziri back kwenye utawala wa nyerere na amezaliwa bongo though wazazi wake ni watu wa rwanda/Burundi kama mtoto kazaliwa tanzania that means ni mtanzania.
I think watu tukishawatuhumu watu na tukakosa ushahidi huwa tuna tend kuwapakazia uraia wao.
I think watu tukishawatuhumu watu na tukakosa ushahidi huwa tuna tend kuwapakazia uraia wao.