This is Rostam I know... The Story Behind the Man

This is Rostam I know... The Story Behind the Man

Hivi katika ofisi za Bunge hakuna ulazima wa kuwakilisha vyeti vya elimu? Kama ndio, basi hapo ndio kuanzisha kujua jamaa huyu alisoma wapi

Miaka yote ya kumuhukumu Rostam na hili jambo rahisi mlikuwa hamjafanya... whats up with you guys?
 
Na mimi nikuulize hizi ndio facts za yeye kuwa fisadi papa!!! aaa mheshimiwa na wewe pia?
- Mkuu labda uombe radhi maana hakuna niliposema ya ufisadi papa, nimekuuliza swali moja na mdogo wake, ambapo sikugusa kabisa ya ufisadi papa, labda uombe radhi kama ni mstaarabu!

I need facts, I do not need speculations! Je akisema ya Dr. Slaa alijua ni siasa na ya Mengi alijua ni jambo kubwa kwa kuwa Mengi sio Mwanasiasa...
Vipi kaka whats up? Tunajaza pages na pages kwa vitu ambavyo havina miguu wala kichwa...Bring facts... if these are the facts you are talking about then... mmhhhh...
- Mkuu mbona umekurupuka na maneno mengi sana, swali nililokuuliza mbona halifanani na majibu yako? Unataka facts zipi kwani hujui kwamba hii ni mara ya kwanza kwa Mh. Rostma kujibu shutuma nzito toka kwa M-Tanzania yoyote yule, na kwamba ni mara ya kwanza Rostma kwenda Takukuru, sasa unataka facts zipi tena? Kama huna jibu inaeleweka lakini usirushe vitisho na mikwara mkuu wakati unakwepa kujibu swali tena dogo sana!

- Unasema ya Dr. Slaa yalikua ni siasa tu, lakini ya Mengi ni makubwa zaidi what do you mean? Una maana gani? Jibu swali mkuu kama huwezi inaeleweka.

William.
 
- Unasema ya Dr. Slaa yalikua ni siasa tu, lakini ya Mengi ni makubwa zaidi what do you mean? Una maana gani? Jibu swali mkuu kama huwezi inaeleweka.

William.
Mkuu William,

Heshima mbele pole sana kwa majibu yasiokuridhisha... well haikuwa lazima yakuridhishe though.

Nilisema hivi je akisema ya Dr. Slaa ameyasema kama mwanasiasa... hivyo akachukulia ni siasa na akisema ya Mengi ni tofauti kwa kuwa ni raia wa kawaida... yaani sio mwanasiasa na pia kwa kuwa ni mshindani wa kibiashara... this I said by the way nikimaanisha maswali yako na majibu yake... yatajaza pages tu... hayatu-lead popote...
 
Mkuu William,

Heshima mbele pole sana kwa majibu yasiokuridhisha... well haikuwa lazima yakuridhishe though
.
- Ahsante kwa kunifahamisha what kind of a person you are maana maana hili jibu linajisema lenyewe.

Nilisema hivi je akisema ya Dr. Slaa ameyasema kama mwanasiasa... hivyo akachukulia ni siasa na akisema ya Mengi ni tofauti kwa kuwa ni raia wa kawaida... yaani sio mwanasiasa na pia kwa kuwa ni mshindani wa kibiashara... this I said by the way nikimaanisha maswali yako na majibu yake... yatajaza pages tu... hayatu-lead popote...
- Okay endelea kwa kuwa ni mshindani wa kibiashara...........hujamalizia mkuu au umemaliza?

William.
 
- Ahsante kwa kunifahamisha what kind of a person you are maana maana hili jibu linajisema lenyewe.

Hope umenijua kweli maana huenda pia ukawa unafanya conclusion bila kuwa facts za kutosha.


- Okay endelea kwa kuwa ni mshindani wa kibiashara...........hujamalizia mkuu au umemaliza?

William.

hahahaha, kwa hiyo huyo ndio mimi? kaaazi kweli kweli....
 
Mkuu William,


Nilisema hivi je akisema ya Dr. Slaa ameyasema kama mwanasiasa... hivyo akachukulia ni siasa na akisema ya Mengi ni tofauti kwa kuwa ni raia wa kawaida... yaani sio mwanasiasa na pia kwa kuwa ni mshindani wa kibiashara... .....

- Mkuu samahani kama hukunielewa nilkuwa ninamaanisha kama unaweza kumalizia hiyo sentesi yako inayoishia na mshindani wa biashara, that is all otherwise, ninashukuru kwa elimu yako nzito juu ya hii ishu.

William.
 
Na mimi nikuulize hizi ndio facts za yeye kuwa fisadi papa!!! aaa mheshimiwa na wewe pia?

I need facts, I do not need speculations! Je akisema ya Dr. Slaa alijua ni siasa na ya Mengi alijua ni jambo kubwa kwa kuwa Mengi sio Mwanasiasa...

Vipi kaka whats up? Tunajaza pages na pages kwa vitu ambavyo havina miguu wala kichwa...

Bring facts... if these are the facts you are talking about then... mmhhhh....

Mkuu heshima mbele!! Haya ndiyo majibu ya maswali uliyoulizwa? Kwa maoni yangu, hujamtendea haki W.J.M. Ni hayo tu..
 
- Mkuu Kasheshe, heshima mbele sana hili la elimu ya Rostam ni vyema likaangalwia vizuri, jana nimelifikisha kwa mbunge mmoja ambaye ameahidi kulifuatilia kwa makini na karibu sana na kama hakuridhika na ukweli wake, basi atalilipua bungeni, kwa hiyo hakuna tatizo na tuko pamoja sana kutafuta ukweli, yaani facts!

FMEs!
 
EPA

I have carefully read the last words written by Dr. Ballali before he died in US last year and my conclusion is very simple:

Rostam is a shark through Kagoda. He pocketed Sh40billion using CCM campaign as a front or a shield.

"Rais Mkapa akaniita pale Ikulu akaniambia Kampe Rostam pesa ili Malaika aweze kushinda uchaguzi... Nikajibu kwamba pale benki kuu hakuna fedha labda zile za account ya madeni lakini itabidi wafuate utaratibu" DR. Ballali.

Now this is just the version of the dossier by Dr. Ballali where he strongly revealed how Rostam swindled the billions. The party was given only Sh10billion.


I am ending here but very soon I will reveal all things about Rostam.


Duu yaani Fisadi papa ni mwisho wa Rami!
CCM na ufisadi wenu, Fisadi papa Rostamu Azizi akaamua kuwaliza, Yaani mkakubaliana mkwapue Bilioni 40, mkaishia kupewa bilioni 10?

You know what? kwasababu alijua mmeiba hamuwezi kumpeleka wala kumfanya kitu chochote!,

Ila tu niwashauri mafisadi CCM, hakuna Mtanzania asiye jua kwamba kweli mlimtumia Fisadi papa Rostamu Azizi kukwapua hapo BOT, sasa kwa vile wote tumeisha jua, acheni kufa kiume, mkabeni huyo papa alete hizo bilioni 30, yaani hata kama ni kamisheni jamani? si bora angewagawia hata 20?

Bora njoeni mbele ya Watanzania mtubu mseme kweli mliiba, ila yule mliye mtuma kuchota akawafikishia kidogo, na hivi mmeamua kumbana azirudishe, potelea mbali hata akirejesha hizo bil 30 hizo nyingine tunajua mlizitapanya katika harakati za kuiba kura kwa ajili ya ushindi wa kishindo! mkimaliza maelezo hayo muangue kilio cha nguvu kama kawaida yenu, basi tutawaonea huruma walau, lakini hakikisheni Fisadi papa anarudisha hiyo 30 bil.
 
- Ahsante kwa kunifahamisha what kind of a person you are maana maana hili jibu linajisema lenyewe.
William.

Hata usihangaike ndugu yangu, jina lenyewe laeleza yote. Kwanza kumtaja tu Rostam ni kuzua bonge la kasheshe. Kama Mengi ana hata robo tu of what I suspect he has, kasheshe inatusubiri, yetu macho.
 
Kila nikufungua JF especially kwenye thread zinazomhusu Rostam... natamani kuona kitu kipya, data mpya, fact mpya?

Lakini maskini hakuna jipya... siku zote mambo hayo hayo... heri mkuu Halisi amekiri kwamba data bado... zitakuja baadaye... mimi nasubiri maana Mkuu Halisi sio wa utani.
 
Kila nikufungua JF especially kwenye thread zinazomhusu Rostam... natamani kuona kitu kipya, data mpya, fact mpya?

Lakini maskini hakuna jipya... siku zote mambo hayo hayo... heri mkuu Halisi amekiri kwamba data bado... zitakuja baadaye... mimi nasubiri maana Mkuu Halisi sio wa utani.

- Mkuu mimi nimeridhishwa sana na majibu yako on swali langu lisilokuwa na jipya, haya week end njema ndugu yangu.

William.
 
- Mkuu mimi nimeridhishwa sana na majibu yako on swali langu lisilokuwa na jipya, haya week end njema ndugu yangu.

William.

kwi kwi kwi
Na wewe pia, mkuu ukienda nyumbani unishitue nikutafute... labda ana kwa ana utani-convince!!!
 
Tatizo ninaloliona mimi kuna watu wanaabudu wenye mali (hence they r corrupted)...
 
Tatizo ninaloliona mimi kuna watu wanaabudu wenye mali (hence they r corrupted)...

Ninakubaliana na wewe, Ndio maana watu wengi katika hili swala wamechagua upande based to what they benefit from. Kuna watu uwezo wao wa kuchambua mambo umeshikwa masikio na kufubwa macho, But let keep on may be some day wataokoka, we have a zombie discussion now
 
Miaka yote ya kumuhukumu Rostam na hili jambo rahisi mlikuwa hamjafanya... whats up with you guys?

TCU wametoa tamko kwamba kuanzia uchaguzi mkuu wa mwakani wagombea wote watapaswa kupeleka vyeti vyao kwenye hiyo kamisheni ili iweze kuthibitisha kama sifa walizojaza kwenye fomu zao zinaendana na vyeti walivyo navyo na siyo mtu kusema ana BA Economics ama PhD na kumbe ni utapeli mtupu. Nina hakika TCU wamegundua mengi na ili ku-deal na hayo mahali pa kuanzia ni huko kwenye kuthibitisha vyeti vya wagombea.

Wakati mwingine hata ukienda na FACTS as long as mhusika mkuu yuko kwenye anga za watawala hakuna kitu kitafanyika. Ukweli ni kwamba vyombo husika vya kufuatilia haya mambo navyo vimekuwa corrupted kiasi kwamba wao ndiyo wahusika wakubwa wa kuharibu ushahidi ama kufunika ushahidi.

Swala la Chenge (radar) linasukumwa kwa kuwa SFO wako frontline kulifuatilia. Isingekuwa SFO hilo swala lingekuwa limeishafukiwa na Chenge angekuwa bado yuko madarakani mpaka leo hii. TAKUKURU yetu na polisi wako kimya kabisa. Subiri ukisikia MwanaHalisi lina info za account za Benki za watu fulani walio serikalini utaona Polisi ambavyo hawasubiri ushahidi, ila wao wenyewe ndiyo watakwenda kwenye ofisi za MwanaHalisi na nyumbani kwa Kubenea kwenda kusaka huo ushahidi. Kwanini tuhuma nyingine wanadai ushahidi na tuhuma nyingine hawadai ushahidi?

Swala la Chitalilo lilishughulikiwa na polisi kwa kuwa lilihusisha INTERPOL na polisi walipopeleka report kwa DPP, mkurugenzi wa mashitaka akasema hakuna case. Hivi kweli kunaweza kuwa hakuna case kwa mtu ambaye ameapa kwamba kasoma sekondari hii na ile na kwamba kamaliza High School na kumbe ni darasa la saba tu! Na alijaza fomu ambayo aliapa mbele ya Hakimu (siyo kwa wakili).

Kasheshe pamoja na kuwatetea hao watu wako, sometimes wananchi tunapata shida sana kuamini hata pale ambapo FACTS zinakuwa ziko uchi utawakuta wanakwepa kwepa tu.

RA kapeleka tuhuma za Mengi PCCB na tayari jamaa wameishaanza kuzichunguza. Je, ulishawahi kusikia kwamba RA anachunguzwa na chombo chochote cha dola?

Kilichoandikwa kwenye report ya Mwakyembe kuhusu Dowans kutumia sanduku la barua la Caspian na anuani ya barua pepe ya Caspian kilikuwa kinatosha kabisa kuwa-alert PCCB na Polisi kumchunguza RA kama ana mahusiano ya aina yoyote na Dowans. RA anajitetea kwamba aliwaruhusu watumie e-mail address ya caspian na sanduku la posta kwa sababu ya mahusiano ya kibiashara kwamba walishawahi kumpa kazi ya ujenzi pale Ubungo. Hakuna mfanya biashara mjinga ambaye anaweza ku-risk ku-expose information zake kwa kutumia sanduku la barua la kampuni nyingine na kutumia anuani pepe ya kampuni nyingine, kwa kuwa kitendo hicho kinampa huyo mtu access ya info zote za barua za posta na barua pepe. Je, wafanyakazi wanapokuwa waajiriwa wa Caspian na Dowans kwa wakati mmoja bado hilo nalo halitoshi kuwa-alert hao watu wa PCCB na Polisi na kutaka kujua kulikoni?

Mchg Mtikila aliwahi kumtuhumu Sumaye kwamba ni mla rushwa namba moja Tanzania. Hoseah akiwa Director wa Operations pale PCCB akasema kwamba wamesoma tuhuma za Mtikila na kwamba wameanza kuzifanyia kazi. Mkurugenzi Mkuu (Kamazima) akaja after few days akasema hakuna tuhuma zinazofanyiwa kazi na PCCB zinazomhusu Sumaye. Baada ya hapo sikuwahi kumsikia tena Hoseah akiongelea mambo ya rushwa mpaka alipokuja kuteuliwa kuwa DG wa PCCB.

Waunganisha dots walisema wazi kwamba Mtikila katumiwa na mtandao na Hoseah nae alikuwa mtu wa mtandao na hivyo ilikuwa ni kampeni za kummaliza Sumaye. Dots zilikuja kuwa wazi pale ambapo uteuzi wa Hoseah ulifanyika wakati Muungwana akiwa nje ya nchi (wajuba wanasema ni Brother EL ndiye aliyemteua). Dots zikakamilika mwaka jana pale ambapo Mtikila aliumbuliwa na RA kwamba alishikishwa shilingi milioni 3. Je, hiyo ni coincidence tu ama ni kitu kilichokuwa kimefanywa strategically?
 
Lakini maskini hakuna jipya... siku zote mambo hayo hayo... heri mkuu Halisi amekiri kwamba data bado... zitakuja baadaye... mimi nasubiri maana Mkuu Halisi sio wa utani.

Hata hizo data mpya zikija bado hakuna lolote litakalofanyika, ndo kwanza hao tuliowapa majukumu ya kuchunguza watakwenda kuzifukia ama kuharibu kabisa ushahidi ama kupeleka mashitaka hewa mahakamani na mwisho wa siku kesi inakuwa dismissed.

Siku RA alipotuhumiwa na Mengi, ulisikia kauli ya serikali? Mama Simba na Mkuchika walisema nini?

Siku RA alipotoa tuhuma za Mengi umesikia kiongozi yoyote wa serikali akifungua mdomo?
 
Apo juu inamaana wasiokuwa na elimu hawawezi kugombea nafasi za kisiasa ? Ukizingatia kila siku mikoa,wilaya,vijiji ,kata,mitaa ,majimbo yanagawanywa hivyo uwezekano wa kukosa elimi ya mijishahada inaweza kabisa isipatikane katika sehemu hizo mpya. Pia kuna maneno maneno eti wasomi wanakimbilia kwenye siasa ,sasa kuanzisha huo utaratibu wa kudai vyeti vya wagombea si kutawafanya wasomi wote waelekee huko na mashahada yao ! Kwa vielelezo vilivyopo sioni sababu ya kudai vyeti wakati kuna ushahidi wa hao mnaowaona wamesoma kutafuta wataalamu na makampuni ya nje kuja kuwafanyia mahesabu na mauchunguzi ,tuiondoe CCM tu ndio dawa matibabu si kudai vyeti kwani ugonjwa ni Chama kiliopo madarakani. Je tukubali kuwa Chama kilichopo madarakani hakina wasomi wenye mashahada ya juu ,hizi ni hila za Sultani CCM kutafuta kisingizio cha kuiendesha Nchi hii kwa madai ya vyeti bandia kumbe wao ni wezi mafisadi.
 
Apo juu inamaana wasiokuwa na elimu hawawezi kugombea nafasi za kisiasa ? Ukizingatia kila siku mikoa,wilaya,vijiji ,kata,mitaa ,majimbo yanagawanywa hivyo uwezekano wa kukosa elimi ya mijishahada inaweza kabisa isipatikane katika sehemu hizo mpya. Pia kuna maneno maneno eti wasomi wanakimbilia kwenye siasa ,sasa kuanzisha huo utaratibu wa kudai vyeti vya wagombea si kutawafanya wasomi wote waelekee huko na mashahada yao ! Kwa vielelezo vilivyopo sioni sababu ya kudai vyeti wakati kuna ushahidi wa hao mnaowaona wamesoma kutafuta wataalamu na makampuni ya nje kuja kuwafanyia mahesabu na mauchunguzi ,tuiondoe CCM tu ndio dawa matibabu si kudai vyeti kwani ugonjwa ni Chama kiliopo madarakani. Je tukubali kuwa Chama kilichopo madarakani hakina wasomi wenye mashahada ya juu ,hizi ni hila za Sultani CCM kutafuta kisingizio cha kuiendesha Nchi hii kwa madai ya vyeti bandia kumbe wao ni wezi mafisadi.

Article nzuri, lakini turudi kwenye hoja...

I need clear facts beyond doubt that Mh. Rostam A. Aziz ni fisadi papa? Rostam alivyomtaja mengi ni Fisadi Nyangumi alitoa kile anachoamini na kupeleka PCCB kwamba niu fisadi Nyangumi.

Tangu Mengi atoe shutuma, hajapeleka aidha mahakami au kwenye chombo chochote cha dola ushahidi wa kutetea hoja yake...

Bali ameenda mahakamani kujibu alichoshutumia, sio kupeleka hoja kwa nini alisema Mh. Rostam A. Aziz ni Fisadi papa... hii inanionyesha kwamba wote tuna-applify maneno yale yale yasiyokuwa na ushahidi.
 
Rostam Vs Mengi: Tribalism?

Yesterday (Wednesday) I was shocked when one of the great thinkers claimed that the ongoing clashes between Mengi Reginald and Rostam Aziz and his partners is tirbal fight involving Chagas and Lake Zone (Sukuma and Nyamwezi tribes).

That Lake Zone will always rally behind Rostam at any cost because he is their true son. This is funny and bullshit. God forbid, I am from Lake Zone regions and so does Mwanakijiji, we are not ready to support anybody under the grounds of tribalism. We are not ready to be dragged in the tribal sentiments by those who benefited from the looted billions.

By the way who is Rostam? He is mercenary who came to this country from Iran at the age of 22 to visit his uncle who was trading on buying and exporting hides. He stayed there in Igunga, learnt the local language including swahili as well as politics, before officially jumping into the bandwagon of parliament in 1994 after the death of Charles Kabeho.

Having inherited his uncle's business, Rostam rose as a trader trading in hides (Ngozi) before forming a road construction company called Capsian which he used to conduct shoddy business, and earned billions. This company failed to deliver according to the agreed standards in Mafia, Mwanza, Dar es Salaam, forcing Magufuli who was by then minister for works to suspend payments worth billions. That's why soon after Kikwete won the election, while Rostam and Lowassa acquired Habari Corporation, Muhingo Rweyemamu was given a special assignment to deal with the so called corrupt deals in government owned houses.

If you guys remember, Rai newspaper serialised damning articles about Magufuli in a calculated bid aimed at politically victimising him as well as reducing his popularity which was a threat to a much hurried man-Lowassa. But the funny thing is that while Rai was busy attacking Magufuli, Mr. Muhingo didn't bother to ask his boss (Rostam) how did he acquire his home in Dar while he wasn't the government's worker or civil servant.

If Mengi is misusing his media, please would you tell who is the media owner in this country who has not used his media for his personal interests? Toni Diallo? The Late Nyaulawa? Prince Aghakhan? Rostam? Tanil Somaiya? Subhash Patel? No one.

EPA

I have carefully read the last words written by Dr. Ballali before he died in US last year and my conclusion is very simple: Rostam is a shark through Kagoda. He pocketed Sh40billion using CCM campaign as a front or a shield.

"Rais Mkapa akaniita pale Ikulu akaniambia Kampe Rostam pesa ili Malaika aweze kushinda uchaguzi... Nikajibu kwamba pale benki kuu hakuna fedha labda zile za account ya madeni lakini itabidi wafuate utaratibu" DR. Ballali.

"Nikakaa na Rostam nikampa utaratibu na kumtambulisha kwa ndugu Maregesi ili amsaidie kusajili kampuni ya Kagoda... Kwa kuhofia bomu kulipuka nikashauri waingizwe na wengine wengi kwa masharti ya kuchangia Chama asilimia 40 ya malipo... Lengo lilikuwa ni kufanya ionekane kama serikali kwa wakati huo iliamua kulipa madeni." Dr. Ballali.

Now this is just the version of the dossier by Dr. Ballali where he strongly revealed how Rostam swindled the billions. The party was given only Sh10billion.

In conducting all bank transactions, Rostam used his personal secretary Tabu Abdulah as a cover-up. There's all evidence.

I am ending here but very soon I will reveal all things about Rostam.

Uongo mtupuuuu, weka evidence kwanza hiyo ya kuwa Rostam ni muhamiaji wa Iran alierithi biashara ya Mjombake!
 
Back
Top Bottom