There is no such thing as an EX.....!!!!

There is no such thing as an EX.....!!!!

Ila inategemea mliachananaje ndio Ishu hapa..

Hiyo ni kweli...lakini pia mtu anatakiwa kuthamini na kukiheshimu hicho alichokuwa nacho sasa...na atambue kuwa ex abaki kuwa ex
 
Kabla hujafanya chochote muulize jamaa yake ni kabila gani, kama ni mchaga sahau kabisa habari ya kupasha kiporo na huyo ex wako

Demba kwanini watuchukia namna hii mpendwa?? Mie na homuboi wangu Kaizer tutaendelea kukupenda tu...:amen:
 
Last edited by a moderator:
Haya maisha kila mtu anaishi anavyojua yeye...mwingine kupasha kiporo ni kawaida na mwingine si jambo la kawaida....akiachana na mtu anaachazana nae mazima....kwahiyo hii kitu inategemea mtu na mtu...

Ni kweli, ulichoongea sister ila ulivyosema kiporo umenifanya nihame ghafla kwenye mada nianze kuwaza utamu wa kula kiporo cha ubwabwa maharage asubuhi na chai. Viporo vitamu sana!
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli, ulichoongea sister ila ulivyosema kiporo umenifanya nihame ghafla kwenye mada nianze kuwaza utamu wa kula kiporo cha ubwabwa maharage asubuhi na chai. Viporo vitamu sana!

Ni vitamu ila ujiandae kusinzia...binafsi nikila kiporo ni full kulala siku hiyo...
 
Last edited by a moderator:
Ni vitamu ila ujiandae kusinzia...binafsi nikila kiporo ni full kulala siku hiyo...
sababu vina shibisha sana ndio maaana vinaleta ka usingizi flani, kama asubuhi uliamka na kiporo mishale ya saa nne tena ukakazia ofisini na mihogo flani ya mama Godi pale chini nje floor ya kwanza, lazima usinzie sana ofisini!
 
mie ex ni ex........if I move forward I move forward completely......

No turning back eti tukumbushiane,,,tunakumbushiana vinini hasa...........
Soma kwanza mazingira ya huyu mleta mada. Hii mambo ya ex mlioachana kwa sababu ya umbali ipo sana. Shida kubwa ni kuwa hawa hawakugombana, ni ile mambo huyu anaenda huku yule anakuwa kule ghafla mnapoteza mawasiliano. Usiombe muonane, inahitaji uwe na dhamira na nguvu ya ziada kushinda vishawishi. Hata huyu jamaa japokuwa anasema hana mpango lakini akiendelea kuchat naye, lazima atakula mzigo, mark my words!
 
Soma kwanza mazingira ya huyu mleta mada. Hii mambo ya ex mlioachana kwa sababu ya umbali ipo sana. Shida kubwa ni kuwa hawa hawakugombana, ni ile mambo huyu anaenda huku yule anakuwa kule ghafla mnapoteza mawasiliano. Usiombe muonane, inahitaji uwe na dhamira na nguvu ya ziada kushinda vishawishi. Hata huyu jamaa japokuwa anasema hana mpango lakini akiendelea kuchat naye, lazima atakula mzigo, mark my words!

Haaaa...haaa
 
Mim ndio bwana wake wa pale Mliman city na nmeshajua mpango wenu. Ngoja sasa uone majibu..
 
sababu vina shibisha sana ndio maaana vinaleta ka usingizi flani, kama asubuhi uliamka na kiporo mishale ya saa nne tena ukakazia ofisini na mihogo flani ya mama Godi pale chini nje floor ya kwanza, lazima usinzie sana ofisini!

Hahaaa hapo lazima uende kulala kwenye stoo ya ofisi...
 
Soma kwanza mazingira ya huyu mleta mada. Hii mambo ya ex mlioachana kwa sababu ya umbali ipo sana. Shida kubwa ni kuwa hawa hawakugombana, ni ile mambo huyu anaenda huku yule anakuwa kule ghafla mnapoteza mawasiliano. Usiombe muonane, inahitaji uwe na dhamira na nguvu ya ziada kushinda vishawishi. Hata huyu jamaa japokuwa anasema hana mpango lakini akiendelea kuchat naye, lazima atakula mzigo, mark my words!

Ila kama umeamua ku move on huyu ex inabidi umpotezee mazima haijalishi mmeachanaje....au lah uachane na huyu wa sasa ili urudiane na huyo ex lakini siyo kukumbushiana ya zamani....yani hapa amua moja..
 
Heshima yako BABU DC......

nina hakika.......sijawahi kumpa chance ex wangu...

labda wewe enzi za ujana wako ilikuwaje!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Hongera sana mdogo wangu...

May be swali la kizushi, hiyo marathon yako (life journey), umeifikisha kwenye asilimia ngapi??

Mwenzio nakaribia 90% na naweza kukuhakikishia kuwa hao watu wa zamani ni wasumbufu sana...

Namshukuru Mungu kwamba nilimalizana nao bila kusababisha madhara makubwa kwenye house ya mwenye mji...

Babu DC!!
 
Ila kama umeamua ku move on huyu ex inabidi umpotezee mazima haijalishi mmeachanaje....au lah uachane na huyu wa sasa ili urudiane na huyo ex lakini siyo kukumbushiana ya zamani....yani hapa amua moja..


Ndugu yangu sister,

Hayo unayoongea ni ushuhuda au wishes??

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Soma kwanza mazingira ya huyu mleta mada. Hii mambo ya ex mlioachana kwa sababu ya umbali ipo sana. Shida kubwa ni kuwa hawa hawakugombana, ni ile mambo huyu anaenda huku yule anakuwa kule ghafla mnapoteza mawasiliano. Usiombe muonane, inahitaji uwe na dhamira na nguvu ya ziada kushinda vishawishi. Hata huyu jamaa japokuwa anasema hana mpango lakini akiendelea kuchat naye, lazima atakula mzigo, mark my words!

Daah mkuu umeongea ukweli (not the mzigo part), past ghosts hua zinahaunt sana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom