Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,648
Ni ushuhuda kabisa...
Hongera sana.....
Na ndo kusema kibarua umekimaliza??
Babu DC!!
Ni ushuhuda kabisa...
Hivi unadhani watu huwa hatujui ni kitu gani sahihi cha kufanya?!!! Kila mtu anajua lakini ndiyo hivyo tenaIla kama umeamua ku move on huyu ex inabidi umpotezee mazima haijalishi mmeachanaje....au lah uachane na huyu wa sasa ili urudiane na huyo ex lakini siyo kukumbushiana ya zamani....yani hapa amua moja..
Kama kweli hutaki kula mzigo, basi potezea kabisa, futa mawasiliano vinginevyo ni suala la muda tu.Daah mkuu umeongea ukweli (not the mzigo part), past ghosts hua zinahaunt sana!
Kama kweli hutaki kula mzigo, basi potezea kabisa, futa mawasiliano vinginevyo ni suala la muda tu.
Hongera sana.....
Na ndo kusema kibarua umekimaliza??
Babu DC!!
Hivi unadhani watu huwa hatujui ni kitu gani sahihi cha kufanya?!!! Kila mtu anajua lakini ndiyo hivyo tena
Kibarua bado kipo ila hakinisumbui mana vigezo na masharti kuzingatiwa...
Hapa sasa naweza kukuelewa.....
Nadhani utakapofikia level ya kuwa senior staff tutaweza kuongea vizuri...
Babu DC!!
umeona kaka? ni shida, mi mwenyewe nanyuti kwanza niisome siri ya mchezo
Mkuu umeelezea kinaga ubaga sana, its absolutely true. Sema tu niko kwenye opera mini ningekugongea bonge la like!
The person is an EX for a reason...Move on.
Heaven on Earth umeniita?salam zangu kwa Kaizer........
Kabla hujafanya chochote muulize jamaa yake ni kabila gani, kama ni mchaga sahau kabisa habari ya kupasha kiporo na huyo ex wako
well said!Old flames are easy to reignite, so they say!