There is no such thing as an EX.....!!!!

There is no such thing as an EX.....!!!!

ishu si tu ex kama ex bali ni yule aliyewahi kuitikisa nafsi na moyo wako, hata kama ulikua na ex 100, huyu ambaye anazungumziwa hapa anaweza kua 1 au 2
mkuu katika wote we umenielewa sana concept yangu!
 
Yaani ni kama hivi nisikie baby DEMBA kuna mtu anakusalandia kisa alikuwaga ex wako...ajue kabisa risasi itamhusu....huu ujumbe uwafikie watongozaji chipukizi kama Mokoyo and co......wasije sema sijawaaambia

CC Asprin
baby kwani na ww una asili ya kichaga? niambie kabise nitafute nguo na kofia ambayo ni bullet proof
 
baby kwani na ww una asili ya kichaga? niambie kabise nitafute nguo na kofia ambayo ni bullet proof
hahaha baby ile zawadi ya birthday ya helmet na bullet proof lengo lake hasa ni hilo LOL...ila sitegemea eti utakuwa una entertain ma x?
 
Yaani ni kama hivi nisikie baby DEMBA kuna mtu anakusalandia kisa alikuwaga ex wako...ajue kabisa risasi itamhusu....huu ujumbe uwafikie watongozaji chipukizi kama Mokoyo and co......wasije sema sijawaaambia

CC Asprin
hahahahhaha ujumbe umefika mkuu Kaizer lakini mbio za kumpata mtoto mzuri DEMBA bado zipo palepale
 
mie ex ni ex........if I move forward I move forward completely......

No turning back eti tukumbushiane,,,tunakumbushiana vinini hasa...........
Good upo kama mim kwakweli,kama ndo mshamba acha tu niwe mshamba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom