There is no such thing as an EX.....!!!!

There is no such thing as an EX.....!!!!

my brother siwezi kukususa......nisamehe bure kwa ukimya wangu

Tusameheane tu my dada maana nalalamika as if ukishanisalimia salio benki linatuna!!!!!
Kumbe halituni mpaka tukanyanyasike huko maofisini!!!!!

donlucchese; huyo babu anayekuuliza maswali mengi mkomalie tu utatoka na kitu hapo!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Kwa sababu nyani mzee keshakwepa mishale kibao...

Kwa hiyo kama hujakutana na mshale hata mmoja, ukiona upinde utadhani ni toy....

But with time, you will come to term with realities.....

Babu DC!!
and the realities being what mkuu?
 
ni kweli, nilitaka tu kuonesha jinsi mambo yalivyo, it doesnt mean kwamba i'ma go on with her play mkuu!

Bado mna chat au baada bint kutangaza nia umejiweka mbali nae? Kama kweli huna mpango wa kukumbushia jiweke mbali nae mapemaa kabla hatujasikia tukio lingine la watu kumiminiwa risasi
 
Tusameheane tu my dada maana nalalamika as if ukishanisalimia salio benki linatuna!!!!!
Kumbe halituni mpaka tukanyanyasike huko maofisini!!!!!

donlucchese; huyo babu anayekuuliza maswali mengi mkomalie tu utatoka na kitu hapo!!!!!
nimekusoma mkuu!
 
Bado mna chat au baada bint kutangaza nia umejiweka mbali nae? Kama kweli huna mpango wa kukumbushia jiweke mbali nae mapemaa kabla hatujasikia tukio lingine la watu kumiminiwa risasi
niko mbali sana mkuu na hivi saivi kila mtu ana mguu wa kuku? hua nina falsafa yangu kwamba: USIONE KOBE JUU YA MTI JUA KAWEKWA!
 
Bado mna chat au baada bint kutangaza nia umejiweka mbali nae? Kama kweli huna mpango wa kukumbushia jiweke mbali nae mapemaa kabla hatujasikia tukio lingine la watu kumiminiwa risasi


Acha kumtisha mwenzio....

He is not the first and he will never be....

It's the matter of making you arithmetics right....

Babu DC!!
 
Kujiendekeza tu, unachange simu number ili iweje? Afu wabongo kwa unafiki duh, sasa si mrudiane kbs
 
Acha kumtisha mwenzio....

He is not the first and he will never be....

It's the matter of making you arithmetics right....

Babu DC!!

Wala simtishi Babu DC!
Hata hao yaliyowakuta waliamini kila kitu kiko under control,tatizo wenye mali zao siku hizi wakikudaka hawakupi adhabu itakayokupa 2nd chance wanakutanguliza tu nao wanafata kesi ikaamuliwe ulimwengu mwingine kama upo!
 
Wala simtishi Babu DC!
Hata hao yaliyowakuta waliamini kila kitu kiko under control,tatizo wenye mali zao siku hizi wakikudaka hawakupi adhabu itakayokupa 2nd chance wanakutanguliza tu nao wanafata kesi ikaamuliwe ulimwengu mwingine kama upo!

Kwa maelezo yako, unamaanisha kuwa watu hawafanyi hayo mambo kwa kuogopa kuuliwa na wenye wake/waume??

May be, I am being naive!!

Babu DC!!
 
mkuu ni kweli, wala siyo intention yangu to go on with that wicked desire of hers, ila nilitaka tu watu waweze kuona jinsi haya mambo yalivo mkuu kabanga

Acha kutuzuga bwana na hivyo ulivyomsifia eti ooh kaiva kawa mweupe..sio mbaya nunua bullet proof vest na helmet..haahaaa just a joke bro.
 
Last edited by a moderator:
Kwa maelezo yako, unamaanisha kuwa watu hawafanyi hayo mambo kwa kuogopa kuuliwa na wenye wake/waume??

May be, I am being naive!!

Babu DC!!

Umeni quote vibaya Babu DC,wanafanya sana ila nimemtahadharisha tu akiamua naye kujitosa ahakikishe amejipanga sawa sawa as wenye mali hawana maskhara siku hizi.
Watu wataachaje sasa hizo mambo Babu wakati ratio ya Me na Ke haiko 1 to 1 na bado si wote wana vigezo(?) na kwa wengine ile kujua kuwa anaiba ndio inampa pleasure
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom