Majibu yako yapo mengi sana kwenye thread pitia taratibu utayaona.Kitu kisicho make sense kwako hakimaanishi kuwa na kwa wengine kiko hivyo. Tena hususani kwa watu waliofanya tafiti zao kwa muda mrefu sana.
Ni sawa na mtu anayeamini kuwa chombo pekee kinachosafiri baharini ni meli. Siku ukija kumuambia kuhusu uwepo wa submarines atakukatalia kata kata na kukuambia kuwa hakina maana, "chombo hicho chawezaje kusafiri kikiwa kimezama?" Practically nonsense! Bila shaka tegemea majibu au maneno yanayoshabihiana na hayo kutoka kwake.
"Uongo mtakatifu ulio generated from Babylon"??? Nini mantiki ya uwepo wa maneno haya katika hoja yako, unaweza kuthibitisha, kwa sababu gani na ili iweje???
Unasema kuwa "Flat Eathers wako sahihi asilimia zote", ya kwamba wanayaelezea mambo katika uhalisia wake.
Sawa, tuanzie katika maswali machache tu yafuatayo;
Je, unawezaje kuuzungumzia mzunguko wa jua katika hiyo flat earth kwa mujibu wa Flat Earthers? Ni kitu gani hulifanya jua liweze kuzunguka pembeni mwa dunia bila kugongana na uso wa dunia? Nipatie maelezo yaliyo na huo "uhalisia".
Swali jingine, nini hutokea pale ambapo kitu chochote kitakapofika na kujaribu kuvuka pembezoni mwa hiyo dunia ya tambarare?
Nikukumbushe tena kuwa, usisahau kunipatia maelezo yenye huo "uhalisia" kwa mujibu wa Flat Earthers.
Asante!
OkKitu kisicho make sense kwako hakimaanishi kuwa na kwa wengine kiko hivyo. Tena hususani kwa watu waliofanya tafiti zao kwa muda mrefu sana.
Ni sawa na mtu anayeamini kuwa chombo pekee kinachosafiri baharini ni meli. Siku ukija kumuambia kuhusu uwepo wa submarines atakukatalia kata kata na kukuambia kuwa hakina maana, "chombo hicho chawezaje kusafiri kikiwa kimezama?" Practically nonsense! Bila shaka tegemea majibu au maneno yanayoshabihiana na hayo kutoka kwake.
"Uongo mtakatifu ulio generated from Babylon"??? Nini mantiki ya uwepo wa maneno haya katika hoja yako, unaweza kuthibitisha, kwa sababu gani na ili iweje???
Unasema kuwa "Flat Eathers wako sahihi asilimia zote", ya kwamba wanayaelezea mambo katika uhalisia wake.
Sawa, tuanzie katika maswali machache tu yafuatayo;
Je, unawezaje kuuzungumzia mzunguko wa jua katika hiyo flat earth kwa mujibu wa Flat Earthers? Ni kitu gani hulifanya jua liweze kuzunguka pembeni mwa dunia bila kugongana na uso wa dunia? Nipatie maelezo yaliyo na huo "uhalisia".
Swali jingine, nini hutokea pale ambapo kitu chochote kitakapofika na kujaribu kuvuka pembezoni mwa hiyo dunia ya tambarare?
Nikukumbushe tena kuwa, usisahau kunipatia maelezo yenye huo "uhalisia" kwa mujibu wa Flat Earthers.
Asante!
thanks mkuu
duuhNimeicheki huyu wamemkamata lini??
Nimeona hapo eti anasema death does not exist.,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiki ndicho nilichopingana nacho tangu mwanzoni. Udhaifu wa hoja zenu bado ni mkubwa sana.
mkuu tupe link ya kitabu ichoNajaribu ku relate na kile kisa cha " A man from TAURED" yule jamaa alisema anatokea kabisa hapa hapa duniani kwenye eneo linaitwa taured na alikuwa na vitambulisho vyote muhimu na document zinazoonesha kuwa ametokea hiyo nchi na ameshasafiri zaidi ya mara moja shida ni kuwa hawakuweza kuiona kwenye ramani ya dunia yetu hii!!! Na walipomuweka kwenye chumba cha mahojiano jamaa aka vanish without a trace yaani immagine wamemfungia kwenye chumba ghorofa ya 10 huko na walinzi juu na pingu mkononi lakini walipokuja kumcheki wakakauta pingu ipo pale pale haijafunguliwa na jamaa hayupo yaani kapotea .
Ninanvyozidi ku link nazidi pata picha
Sent using Jamii Forums mobile app
Utavyoona.Hiki ndicho nilichopingana nacho tangu mwanzoni. Udhaifu wa hoja zenu bado ni mkubwa sana.
Unatumia maneno ya Nikola Tesla kwamba dunia si "planet" na kwamba "it has no edge". Siku hizi Flat Earthers wenzako wapo katika "Pac-Man effect" wakiamini kuwa vitu vyaweza kupita katika hizo edges na kutokezea upande mwingine wa dunia.
Yaani ukikaribia upande mmoja pembezoni mwa dunia, una uwezo wa kupita na ghafla kutokezea upande mwingine tofauti mbembezoni. Does that make sense?
Mnasema hoja za Flat Earthers zina "uhalisia", inaonekana hata nyinyi wenyewe Flat Earthers hamkifahamu vizuri mnachokipigania. Mnapingana wenyewe kwa wenyewe humu jukwaani na kote duniani.
Yaani mnatuletea nadharia kama hizo za "Pac-Man" alafu mnataka tukubaliane na hoja zenu? Are you serious?
Hoja zenu ni dhaifu!
mkuu tupe somoWenzenu wanaongela kuvunja ceiling glass ili waweze kutoka nje ya dunia. Ndo dream yao...the Ceiling glass inawaboa. Unadhani mabomu ya nuclear ni ya nini?? Kuua watu?? No! Ceiling glass inayofunia dunia aka FIRMAMENT. They know jinsi dunia ilivyo and they tell you on ur face but still hamtaki kuelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hua Nawaambia jamaa zangu ,maisha ni kamchezo fulani ka ovyo Sana...... Unaamka unajishughulisha huko unarudi unalala daily ila kuna siku utalala na usiamke tena[emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka sana for real haina sense ila upande wa pili wa imani umeelezea yote tafiti.
Sent using Jamii Forums mobile app
dah dunia.haiko fair.kabisa sasa kwenda kufanya exprolation kwenye izo.sayari nyingine inakuaje apo.mkuuHakuna rocket imewahi kutoka nje ya dunia,zote zinaenda kwenye projectile motion na wanazielekezea baharini sehemu kama bermuda triangle halafu wanakuzuga na video editing kuwa wapo space jambo ambalo haliwezekani. View attachment 1345629View attachment 1345631View attachment 1345632
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu Mkuu huyu Mtoa Mada nilisha wahi kumuuliza kuhusu mwenendo wa nyota ya Orion inayo onekana kuanzia mwezi wa 11 mpaka mwezi wa 4 mwaka unaofuatia kisha inapotea.hajawahi kunijibu kama hizo nyota ndo zinazunguka au ni Dunia yenyewe inazunguka!Hiki ndicho nilichopingana nacho tangu mwanzoni. Udhaifu wa hoja zenu bado ni mkubwa sana.
Unatumia maneno ya Nikola Tesla kwamba dunia si "planet" na kwamba "it has no edge". Siku hizi Flat Earthers wenzako wapo katika "Pac-Man effect" wakiamini kuwa vitu vyaweza kupita katika hizo edges na kutokezea upande mwingine wa dunia.
Yaani ukikaribia upande mmoja pembezoni mwa dunia, una uwezo wa kupita na ghafla kutokezea upande mwingine tofauti mbembezoni. Does that make sense?
Mnasema hoja za Flat Earthers zina "uhalisia", inaonekana hata nyinyi wenyewe Flat Earthers hamkifahamu vizuri mnachokipigania. Mnapingana wenyewe kwa wenyewe humu jukwaani na kote duniani.
Yaani mnatuletea nadharia kama hizo za "Pac-Man" alafu mnataka tukubaliane na hoja zenu? Are you serious?
Hoja zenu ni dhaifu!
mkuu nakuomba nipate hiyo app maelezo please
Zitume. Tofauti tu ni kwamba mimi nafanya mwenyewe experiment na kuthibitisha. Lakini naomba nione hizo video unazodai zipo nipate kujifunza piaZipo tafiti nyingi sana zimekwisha fanyika kabla na baada ya uwepo wa hizo camera zinazotumika kurekodi hizo videos hivi sasa.
Kama ni suala la videos tu, ondoa shaka zipo tele zinazohusu tafiti mbalimbali ambazo watu wamekwisha zifanya kuzibadili hizo fikra zako.
Au kama ni suala la kuzituma humu? Na hilo pia ondoa shaka.
Every star and celestial bodies revolve on top of an earth as the center of the universe ,mfano mzuri ni north poleHalafu Mkuu huyu Mtoa Mada nilisha wahi kumuuliza kuhusu mwenendo wa nyota ya Orion inayo onekana kuanzia mwezi wa 11 mpaka mwezi wa 4 mwaka unaofuatia kisha inapotea.hajawahi kunijibu kama hizo nyota ndo zinazunguka au ni Dunia yenyewe inazunguka!
Download flatearth appmkuu nakuomba nipate hiyo app maelezo please
Ni uzushi wa asilimia miadah dunia.haiko fair.kabisa sasa kwenda kufanya exprolation kwenye izo.sayari nyingine inakuaje apo.mkuu
Navyojua utakuja kuamkia kwenye siku ya hukumu upewe alama zako za mchezo na hatma yako.Hua Nawaambia jamaa zangu ,maisha ni kamchezo fulani ka ovyo Sana...... Unaamka unajishughulisha huko unarudi unalala daily ila kuna siku utalala na usiamke tena
Zurri na Kiranga tofauti baina yao ni mmoja wao ana amini uwepo wa Mungu na Mitume yake na kadhalika! Huyu mwengine haamini.
Ukiangalia mtizamo wao wa kwenye hoja ni uleule! Hawaandiki hoja bali wanalazimisha iwe hoja.
Sentensi iliyoandikwa ina maana moja na ya anayejadiliana naye wao wanaipinga halafu wanaandika ya kwao yenye maana ileile moja na ya waliyempinga.