The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

Tatizo la wengi humu wanaobeza na kukejeli usomaji wao walipita kwa kukariri. Aliyesoma kwa kuelewa hawezi kubeza hoja unazoleta.

Somo la Chemistry mwalimu alisema water ni colourless. Jamaa mmoja akanyosha mkono akauliza swali akamwambia mwalimu maji yatakuaje ni colourless hali ya kuwa unayaona? Akatoa na mfano akamwambia mwalimu mfano wa gesi ya Oxygen moja ya sifa yake ni colourless, na ni kweli hatuioni. Tunaitambua kwa sifa zake na moja ya sifa yake ina support combustion!

Hata maabara tunaitambua kwa kuweka wooden glowing splint. Hii yote ni kwa sababu Oxygen ni colourless! Hatuioni. Akamwambia mwalimu inakuwaje maji yawe colourless wakati nayaona? Akameambia mwalimu kwake maji si kwamba hayana rangi bali rangi yake haijulikani.

Sasa wanaosoma kwa kumeza akili za kuhoji hawana. Badala yake anayehoji wanamuona kituko! Wanamuona hana akili! Wanambeza! Wanachosahau ni kwamba hata hizo notes za walizokariri zimetokea kwa kuhoji, wakajibidisha na utafiti mwisho wa siku mabadiliko ya taaluma yanazaliwa upya na kufanywa mitaala ya elimu.

Na siku zote anayesoma kwa kuelewa uzito wa hoja uliyoileta anaielewa na ana iona fikirishi. Kama huyo Engineer W. Winckler anachokisema ndicho ambacho anachokihoji Engineer brother Zurri
Gazet kuuubwa halaf tofaut ya colourless na invisible .

Enhe emb tueleze mliafikiana maj yana rang gan??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gazet kuuubwa halaf tofaut ya colourless na invisible .

Enhe emb tueleze mliafikiana maj yana rang gan??

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushaambiwa ilisemwa kuwa maji yanarangi ila watu hawaijui ina rangi gani.

Ni sawa na kusema rangi ya orange.kwani hlo orange rangi gani..?

Kitu chochote unachokiona machoni basi kina rangi tu ambayo miale yake imepita mpaka kwenye macho na ukaona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hata anachoelezea jamaa hapa ni sayansi,....... ila ni sayansi ambayo ameamua kuiamini wakat sayansi nyingine hataki kuiamini...


very simple

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbali na maneno ya wanasayansi kuna kitu ambacho kinakuaminisha kuwa jua halimove na unaliona kwa macho yako ndo linamove kutokea kule kwenda kule..?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimecheka ila sio kwa mazuri yani mtu amelala ufukweni jua linakatiza analiona halafu anakuambia yeye pale alipo lala pamoja na bahari ndo wanalizunguka tena kwa speed ya ajabu mi sijui lakini kila mtu ana uwezo flani wa kuona uhalisia.
Mkuu mbali na maneno ya wanasayansi kuna kitu ambacho kinakuaminisha kuwa jua halimove na unaliona kwa macho yako ndo linamove kutokea kule kwenda kule..?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
- Hamna kitu Gravity, I don't know ndio mnaita Gravitational Force. Just an Illusion


- Probably inaweza ika-sound lakini nachofahamu ni Foundation (Msingi) Uliopo.

- On other side kuna Mataifa kama ilivyo Dunia ndio same utakutana Nibiru, Vesta, Pulsar, Sedna, Ogle Tr, Mars etc. Baadhi ya hayo hayajawa na wakazi.

- Kusema "Mathematics Calculations" tayari inaonesha ni masuala yepi yaliokuathiri hadi kushindwa kutanabaisha haya.

Sergio
Najaribu ku relate na kile kisa cha " A man from TAURED" yule jamaa alisema anatokea kabisa hapa hapa duniani kwenye eneo linaitwa taured na alikuwa na vitambulisho vyote muhimu na document zinazoonesha kuwa ametokea hiyo nchi na ameshasafiri zaidi ya mara moja shida ni kuwa hawakuweza kuiona kwenye ramani ya dunia yetu hii!!! Na walipomuweka kwenye chumba cha mahojiano jamaa aka vanish without a trace yaani immagine wamemfungia kwenye chumba ghorofa ya 10 huko na walinzi juu na pingu mkononi lakini walipokuja kumcheki wakakauta pingu ipo pale pale haijafunguliwa na jamaa hayupo yaani kapotea .
Ninanvyozidi ku link nazidi pata picha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baba Swalehe tuambie hapa!

Theory ya rotation of the earth speed yake ni uniform na inachukua saa 24 kukamilisha mzunguko ambao unazalish usiku na mchana. Kama mwendokasi wa Dunia ni Uniform katika mzunguko wake wa saa 24 usiku na mchana unapatikana tafsiri yake ni kwamba saa zake inabidi ziwe pacha. Mchana utachukua saa 12 na usiku saa 12.

Equinox mnasema when the sun crosses the equator! Usiku na mchana unakuwa the same length. Tafsiri yake ni kwamba masaa ya usiku na mchana yanatofautiana kwenye Dunia hii hii ambayo speed yake ni Uniform ambao kila siku unachukua saa 24 kukamilisha mzunguko wake ambao tunapata usiku na mchana.

Ajabu ni kwamba the sun linakuwa overhead at the equator twice per year! Inatokea mwezi March na mwezi September. Hii hali inakuwaje?wakati earth rotates at a uniform speed in 24 hrs siku zote? Kwa nini equinox isiwe daily?

Tupatie majibu msomi.
 
Najaribu ku relate na kile kisa cha " A man from TAURED" yule jamaa alisema anatokea kabisa hapa hapa duniani kwenye eneo linaitwa taured na alikuwa na vitambulisho vyote muhimu na document zinazoonesha kuwa ametokea hiyo nchi na ameshasafiri zaidi ya mara moja shida ni kuwa hawakuweza kuiona kwenye ramani ya dunia yetu hii!!! Na walipomuweka kwenye chumba cha mahojiano jamaa aka vanish without a trace yaani immagine wamemfungia kwenye chumba ghorofa ya 10 huko na walinzi juu na pingu mkononi lakini walipokuja kumcheki wakakauta pingu ipo pale pale haijafunguliwa na jamaa hayupo yaani kapotea .
Ninanvyozidi ku link nazidi pata picha

Sent using Jamii Forums mobile app
unapata picha gani mkuu..?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mada ni fikirishi sana ingawa bado nasubiri facts za mtoa mada ili nichague upande.
Mkuu mtoa mada hukutakiwa kuanzisha uzi mgumu kama huu kwa kutegemea kutoa facts zako kwa kuulizwa maswali tu maana sio wote wanajua unavyojua wewe. Mfano mzuri angalia wewe na baba swalehe wote wataalamu wa quantum physics lakini bado kila mmoja anahisi mwenzake haijui vizuri quantum physics sembuse sisi tusioijua hata kuiandika?
Tunaomba utuambie ni kwa nini dunia ikiwa spherical sisi tunapunjika halafu wao wananufaika??
Kwanini gateway to the other side of the flat earth iwe antarctic peke yake na sio arctic pia au sehemu nyingine yoyote.
Hebu tusiongelee quantum physics kwa sasa bali tuelezee unayoyajua kuhusu dunia tambarare mkuu
wewe ni mchokozi aiseee


Kwanini gateway to the other side of the flat earth iwe antarctic peke yake na sio arctic pia au sehemu nyingine yoyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Comprehending for mere mortals is actually a hard thing to be.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mere mortals....?!Haya bwana ndugu wa viumbe vyenye macho ya blue kutoka "antakitika".Vipi na hivyo viumbe/majitu yamezuiwa kuja huku kupitia geti hilo hilo,au walikubaliana nao katika huo mkataba wa nchi kumi na nne?
 
Darkweb kuna siri zote ambazo hapa wakikimbilia google wanakutana na masatellite,mara mars mara omoaomoa objects mara sijui galaxy aisee

Hata videos zipo darkweb tena za siri mno sema hapa huwezi weka na youtube hata upige magoti na usali mbele ya pc au simu huoni.
Jaribu kupitia onio sites hizi clear sites ni magumashi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gazet kuuubwa halaf tofaut ya colourless na invisible .

Enhe emb tueleze mliafikiana maj yana rang gan??

Sent using Jamii Forums mobile app
Ili object iweze kuonekana inategemewa na uwezo wa kuakisi na wa kusharabu wa object yenyewe (wavelength of light).

Tuambie wewe maji yanakaa kwenye fungu lipi? Ni colourless?
 
Kama unaamini dunia inazunguka basi wewe utakuwa ni juha.

Tena wazungu wanakwambia inazunguka 10,000km/h.

Ni mwehu tu ndo wakuamini haya mambo kama aliyeamini binadamu wa kwanza kaishi miaka milion 3.


Sent using Jamii Forums mobile app
Wenzio walirusha picha iliyopigwa na kifaa maalum kinachosafiri kupiga picha anga za mbali, kiligeuka kikapiga picha ya nyumbani duniani ndo kikaendelea na safari. Ww upo unaita watu majuha sababu ya kuamini scientific prove?
 
Mere mortals....?!Haya bwana ndugu wa viumbe vyenye macho ya blue kutoka "antakitika".Vipi na hivyo viumbe/majitu yamezuiwa kuja huku kupitia geti hilo hilo,au walikubaliana nao katika huo mkataba wa nchi kumi na nne?
Kwa hii statement yako inaonekana una umri ila ubongo mdogo,sasa unaniuliza mimi ramani si unayo,compass si unayo,tafuta meli katafute ushahidi,ninyi ndo mnaambiwa msiingie hilo ghorafa la worldtrade centre siku moja kabla halafu kesho yake eti ni uzushi ,unajua kilichowakuta?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hata anachoelezea jamaa hapa ni sayansi,....... ila ni sayansi ambayo ameamua kuiamini wakat sayansi nyingine hataki kuiamini...


very simple

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijasema kama haoengelei Sayansi hapa naongelea kuhoji na ushabiki. Bila shaka maana ya ushabiki utakuwa unaijua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom