The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

Hii mimi huwa najiuliza sana na kutafuta kwenye mitandao lakini sababu zao sikuziona ni zenye mantiki. Kwa sababu ipi wanazuia watu kwenda Antarctica?
Sababu ni baridi Kali sana na barafu, pia kuna giza kwasababu Mwanga na joto la jua halfiki kule kama ilivyo kwa maeneo mengine dunian hususan equatorial areas yaani maeneo ya katikakati ya dunia.

Ila pia bado haimaanishi dunia ni Spherical in shape.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utanielewa kesho mkuu panapo Heavens...
Mkuu, nje ya ndege ni wapi abiria huwa wanakaa? Huyo jamaa hapo ana compare oranges and apples. Bembea unaifeel kwa sababu you are accelerating. Kwenye rotation ya dunia au cruising sped ya ndege(except wakati wa take off na landing) acceleration ni zero huwez feel chochote ni physics ya form 1 kabisa.

Inawezekana flat earthers wakakataa hata simple concepts za acceleration na deceleration. I rest my case, kesho kazini tutafute hela.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu ,watu wamekuwa watumwa,mimi nilisoma science mpaka chuo ila namshukuru Mungu ufahamu wangu ulipenda sana kuhoji because am SKEPTICAL ikanifungua mengi sana sasa hivi sina hata wasiwasi kama nilivyokuwa kwenye ulimwengu wa dunia inayozunguka jua zaidi ya speed ya mwanga.kumbe ni michezo ya nasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huna haja ya kwenda mbali, swali la kuhoji ni kwamba:-

Kama Dunia inaizunguka jua na jua ni static object (Earth's Revolution) je nini kinatokea hapo? Acha habari ya majira ya mwaka

Wakati Dunia kujizungusha kwenye muhimili wake kutoka Magharibi kuelekea kusini ndio tunapata usiku na mchana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kwenye human abilities hebu dadavua vizuri mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanadamu tunaself abilities tukiwa free,ubongo unatulia na unaweza ukaushirikisha na ukagundua vingi ndani ya nature,una will power ila ipo dormant maana unawaza kula,kutafuta pesa,kazini,kula mtiririko huo bado umewekewa mitatizo chungu mzima ya kuharibu saikolojia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ndio uhuru wa kujieleza! The earth is flat.....duh. "Sayanzi" mpya hii. Yaani kuna mambo mengine huwezi kudhania watu wanaweza kubishana.
 
huko kote nilipata division one sasahivi naelewa njia sahihi ni wapi ,siko tena shule .....watu wanadhani flat earthers ni kina nani ,wote tumesoma physics sawa,advanced sawa,chuo sawa ila baada ya hapo mkuu nilihama zamani sana.
Huna haja ya kwenda mbali, swali la kuhoji ni kwamba:-

Kama Dunia inaizunguka jua na jua ni static object (Earth's Revolution) je nini kinatokea hapo? Acha habari ya majira ya mwaka

Wakati Dunia kujizungusha kwenye muhimili wake kutoka Magharibi kuelekea kusini ndio tunapata usiku na mchana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Embu angalia time range za nchi karibia na arctic wanakaa mpaka siku tatu na mwanga wa jua no giza mf.norway

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli regions nyingi zilizo karibu na North au South pole zinapata vipindi virefu vya jua na giza vile vile, na hii tena ni proof zaidi kuwa dunia is spherical not flat.

Revolution ya dunia around the sun(ambayo pia flat-earthers hamuitaki licha ya galileo kuenda jela kwa ajili yenu) ni elliptical in shape na inasababisha seasons. Jielimishe kuhusu December and June Solstice, March and September Equinox, Perihelion na Aphelion na calculations zake kifizikia utaelewa sio nadharia nadharia tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu amka
Ni kweli regions nyingi zilizo karibu na North au South pole zinapata vipindi virefu vya jua na giza vile vile, na hii tena ni proof zaidi kuwa dunia is spherical not flat.

Revolution ya dunia around the sun(ambayo pia flat-earthers hamuitaki licha ya galileo kuenda jela kwa ajili yenu) ni elliptical in shape na inasababisha seasons. Jielimishe kuhusu December and June Solstice, March and September Equinox, Perihelion na Aphelion na calculations zake kifizikia utaelewa sio nadharia nadharia tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani mkuu we unahisi dunia ni mpira?

Sent using Jamii Forums mobile app
May be not spherical, but definetly not flat. Hii flat earth concept hata "kanisa" lilishaachana nayo kitambo sana na kuomba msamaha kwa waliuwawa kwa kusema dunia ni mviringo.

Uwepo wa circular horizon (hapo ulipo kama upo nje ukitizama "line" ardhi na "mbingu" zinapoonekana kama kukutana, hiyo line utaona ni circular na haibadiliki (kupungua au kuongezeka) kila uendapo south, west, north, east) unaashiria kuwa dunia sio flat. Dunia ingekuwa flat hiyo constant circular horizon isingewezekana. Pia, kile tunachoona jua likipatwa au mwezi ukipatwa....sio rahisi kukielezea kwa dhana ya flat earth. Dhana ya spherical earth ni real zaidi kuliko flat earth. Nashangaa sana mtu akikataa uwepo wa satellite!

Hata waswahili wanajua "dunia duara"!
 
Aliens wapo sehemu nyingi sana binafsi ndege zao nimeziona zikikatiza,siku hiyo nilikuwa dar nafunga dish zilipita 3 zikitoa mwanga mkali,halafu tafiti zinasema pale ni kwamba ni time travelling either wanaenda miaka ya mbele au nyuma,watu wengi washatoa ushahidi ila website ya youtube huzifuta na kupoteza ushahidi huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilijua tu
Flat earther lazima awe alien believer Freemason beleiver na other conspiracies
Yani Ukipenda boga Basi penda na ua lake

Ukionesha kwanini kivuli cha dunia kwenye mwezi kina shape ya duara hivyo mwezi unakuwa kama sickle wakati muda huo dunia ni flat nitaamini kuanzia leo...anyway according to your model kwenye mchoro wa kwanza kama mwezi na jua vyote vipo kwa juu ya dunia iliyo flat then kivuli cha dunia hakiwezi kuuzinga mwezi hivyo siku zote duniani ingekuwa ni full moon
 
Dah! Ila watu tunatofautiana Sana akili!
Kadri Hawa wanaosema dunia kuwa Ni flat mi ndo nazidi kuelewa dunia ni duara kupitia majibu yao!!😂
Kinachowachanganya Sana hawa viumbe ni kwenye how space work with objects.. ni kakauli kafupi ila kapana Sana!
Mi naomba hata hizi mada za earth flat msilete maana ndo zinazidi kunijibu maswali ya kwanini earth is sphere and not flat!.

Kwa mnaokomaa na Hawa jamaa anzieni kuwafundisha space ni nini, gravity ni nini how space react with gravity and objects.. wakiwaelewa hapo maswali mengine watajijibu wao tu very easy,bila kusahau ukubwa wa space.. n.k

Sitaki kueleza kwasababu haikupi kula au kulala ama ukijua haikufanyi usife.. Kila mtu abaki na libichwa lake na apambane na Hali yake.
 
Huu ndio uhuru wa kujieleza! The earth is flat.....duh. "Sayanzi" mpya hii. Yaani kuna mambo mengine huwezi kudhania watu wanaweza kubishana.
Hoja hii ilimpofua macho Galileo Galilei alikuwa akipingana na msimamo wa kanisa katoliki ambalo kwa kipindi hiko waliamini dunia iko flat,kwa kupinga hilo walimfunga kwenye chumba chenye giza kwa miaka kadhaa mpaka akapoteza uwezo wake wa kuona na akapofuka macho.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Sasa kama unatumia azimuthal globe map ya NASA utanielewa vipi shida hao wanaowalisha matango pori muwe vijakazi wao wao wanatumia azimuthal flat standard mapView attachment 1336019

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo nembo ya UN wamehirahisha ili kila Bara kuonekana kirahisi wasinge weza weka upande mmoja wa Dunia ndo uonekane wakati UN ni chombo cha Dunia nzima! Hata namna mabara yanavyo onekana kwenye hiyo nembo nitofauti na yale tulozoea.
 
Hata ingekuwa jua ndo linazunguka dunis bado tungepata usiku na mchana kwa sababu mwanga wa jua utakuwa unapiga pande zote za dunia pale linapozunguka dunia.

Hvyo hoja hii inafanya kszi ois upsnde wa pili.

Itafutwe hoja ambayo upsnde ungine haifanyi kazi
Huna haja ya kwenda mbali, swali la kuhoji ni kwamba:-

Kama Dunia inaizunguka jua na jua ni static object (Earth's Revolution) je nini kinatokea hapo? Acha habari ya majira ya mwaka

Wakati Dunia kujizungusha kwenye muhimili wake kutoka Magharibi kuelekea kusini ndio tunapata usiku na mchana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo nembo ya UN wamehirahisha ili kila Bara kuonekana kirahisi wasinge weza weka upande mmoja wa Dunia ndo uonekane wakati UN ni chombo cha Dunia nzima! Hata namna mabara yanavyo onekana kwenye hiyo nembo nitofauti na yale tulozoea.
Simple logic kama iko flat kwanini kuna utofauti wa masaa kati ya sehemu na sehemu? Kama kitu kipo flat tutatarajia jua kuchomoza na kuzama katika flat area hiyo kwa muda sawa kwaiyo hata muda ungekuwa sawa.

Mtoa mada anajichanganya ingawa ametufanya tufikiri zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom