The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

Ndugu,

Msikurupuke bali leteni hoja zenye nguvu za kuthibitisha hicho mnachokiamini.

Hoja ya 'Perspective' mnayoitumia haijitoshelezi na pia haiendani na hicho mnachotaka kutuaminisha.

Kwa kifupi hoja hiyo ni irrelevant!

Next time, ni vyema mkatuletea hoja zenye mashiko, supported na evidentiary facts na si kauli tu za watu.

Mkifanya hivyo huenda mkatushawishi hapo baadaye kuamini hicho mnachokiamini.

Hizi hoja zenu za sasa bado ni dhaifu mno.

Ahsante!
Hoja yako ni dhaifu na ina practical answer. Fanya uchunguzi mdogo tu utajishangaa unachoshikilia kumbe hakipo.



Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Nzi ni nyuki mjinga, Elewa kitu kimoja sisi wote ni wanasayansi ,na kuhusu nyenzo za kugundua nikutokana na mapungufu tunayo yaona,nimekuambia hii agenda haijaanza leo wala jana ni mpango wa miaka mingi ,wanasayansi wametumika kuitekeleza tu,na narudia kwa mara ya mwisho lengo lao ni kupoteza uwelekeo wa binadamu na kufuta uwepo wa muumbaji.

Cha kutegemea kwangu nikurudi katika uhalisia wako ujue umetoka wapi,upo duniani ili iweje na unaelekea wapi sio unapelekwa wapi.PERIOD.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elewa kitu kimoja sisi wote ni wanasayansi ,na kuhusu nyenzo za kugundua nikutokana na mapungufu tunayo yaona,nimekuambia hii agenda haijaanza leo wala jana ni mpango wa miaka mingi ,wanasayansi wametumika kuitekeleza tu,na narudia kwa mara ya mwisho lengo lao ni kupoteza uwelekeo wa binadamu na kufuta uwepo wa muumbaji.

Cha kutegemea kwangu nikurudi katika uhalisia wako ujue umetoka wapi,upo duniani ili iweje na unaelekea wapi sio unapelekwa wapi.PERIOD.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unachanganya sayansi na imani. Na huko nyuma nimekutolea mfano kuwa watu wanaohusisha hili na imani nawaelewa ila nikijadiliana nao Hatutaelewana. Bora tuishie hapa mkuu.
 
Sayansi inahitaji prove, wanasema hakuna MUNGU sababu hawana prove. Wakiwa nayo watasema yupo. Na wakisema yupo kiimani tu bila prove ndipo linakuja suala la kusali tu kunapotokea tatizo badala ya utafiti maana ni imani sio process inayoleta definition ya sayansi. Ukishachanganya sayansi na imani unapoteza maana. Ila mkuu hii si mada, mada ni flat vs round hivyo tuachane nayo

Ni sawa, tuyaache mkuu. Ila fahamu sayansi imekuwako tangu enzi na enzi. Tatizo ni kumwondoa Mungu.

Turejee kwenye mada mkuu

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Mwanasayansi mahiri wa NASA Neil deGrasse Tyson alitangaza msimamo wa NASA kuwa dunia ina umbo la PEAR, ama pear shaped na sio tufe kama tunavyoaminishwa.

Alielekeza shutuma zake kwa wanajiographia kwa kutupatia uwakilishi usio halisia wa umbo la dunia. Sasa wengine tunabaki kujiuliza, VIPI KUHUSU MAMIA YA PICHA ZINAZOPIGWA KILA SIKU NA VYOMBO VYA ANGANI ZIKIONYESHA DUNIA NI TUFE?

Pia amedai kiwa urefu toka kipenyo cha dunia mpaka ncha ya kaskazini ni mfupi ukilinganisha na urefu mpaka ncha ya kusini. Kwamba kwenye equator dunia ni pana kwa sababu imejishindilia kutokana na kuzunguka miaka mingi, na ndivyo ilivyo kwenye kitako chake ncha ya kusini

images%20(43).jpg
images%20(44).jpg


Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Ni sawa, tuyaache mkuu. Ila fahamu sayansi imekuwako tangu enzi na enzi. Tatizo ni kumwondoa Mungu.

Turejee kwenye mada mkuu

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Nimesema tuondoke sababu ukishaingiza imani basi mambo mengi hayataenda kama mleta mada alivyokusudia.
Mm ntakujibu kuwa Adam na Eva wametuletea hizi shida kwa kuasi, ukimpokea YESU kuwa BWANA na mwokozi wako utaokoka na maswala ya sayansi hayatakusumbua maana yeye ndo mkuu wa sayansi.
Sasa tukiingia huku tutavuruga mada yoote na hapa si jukwaa la dini. Ndo maana nakwambia tusiende huko tujikite kwenye mada.
 
Nimesema tuondoke sababu ukishaingiza imani basi mambo mengi hayataenda kama mleta mada alivyokusudia.
Mm ntakujibu kuwa Adam na Eva wametuletea hizi shida kwa kuasi, ukimpokea YESU kuwa BWANA na mwokozi wako utaokoka na maswala ya sayansi hayatakusumbua maana yeye ndo mkuu wa sayansi.
Sasa tukiingia huku tutavuruga mada yoote na hapa si jukwaa la dini. Ndo maana nakwambia tusiende huko tujikite kwenye mada.
Turudi kwenye mada mkuu

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Unachanganya sayansi na imani. Na huko nyuma nimekutolea mfano kuwa watu wanaohusisha hili na imani nawaelewa ila nikijadiliana nao Hatutaelewana. Bora tuishie hapa mkuu.
Sayansi ni pana ni sivyo unafikiria kuna sayansi ya madawa,mawasiliano,mazingira,anga,kemikali,akili,mambo ya kale na mwisho elimu ya Mungu(theology)

Hivi vitu vinalink kwa namna moja ama nyingine na huwezi kuvitenganisha,hivi unajua kuna kitu kinaitwa RFID?Unajua kuna kitu kinaitwa AI?kuna kitu kinaitwa ROBOTICS?Unajua tamati ya teknologia kwamba mwisho wao ni nini?au wanarahisisha nini?unajua hela zina prinitiwa kila siku halafu mwisho zinachomwa baada ya mzunguko zikiwa nyingi?unajua wewe ni mtumwa pasipokujijua?unajua hapo ulipo hujui kwanini upo na ili iweje?

Sasa ni hivi kwa kifupi miaka inayokuja hatutatumia kadi ya benki wala vitambulisho bali RFID.ambayo inatumbukizwa kwa kila binadamu kama sayansi ya mpira ilivyowakaa na kuwapendeza,hio chip ni BIOELECTRICAL ikipandikizwa kwenye mwili wako inakaa kwenye medulla oblangata juu ya uti wa mgongo inafanya kazi kwa njia mbili
Kibaiolojia
Na kwa mfumo wa umeme

Ikiwekwa OFF haupo ni mauti Ikiachwa ON ndo uhai wako ,unaamini ishaanza kufanya kazi sasa hivi?

DUNIA INATOKA KWENYE UHALISIA INAPELEKWA KWENYE MFUMO WA KUTEGENEZWA,FROM REALITY TO VIRTUAL SYSTEM ENVIROMENT.

Hiyo sayansi unayoisifia hapa ipo siku utajuta kwanini unaisifia.








Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwahahahahahhh.. Eti unipe msaada..
Msaada gani nitathubutu kuhitaji kwa kiumbe kama wewe..?
Mtu unaamini upuuzi ndo nihitaji msada wako?
Kwanza wacha nipige kimya tu, maana kubishana na kiumbe anaeamini dunia ni flat ni sawa na kubishana na ng'ombe tu..
ni kujipa mikosi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwahahahahahhh.. Eti unipe msaada..
Msaada gani nitathubutu kuhitaji kwa kiumbe kama wewe..?
Mtu unaamini upuuzi ndo nihitaji msada wako?
Kwanza wacha nipige kimya tu, maana kubishana na kiumbe anaeamini dunia ni flat ni sawa na kubishana na ng'ombe tu..
ni kujipa mikosi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok ila hapa tunajenga hoja na kuelimishana,kama unataka kubishana sio mahali pake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
This purely a good example of an indoctrination ,unaifahamu firmament msikikize hilary hapo ni mfano mzuri.




View attachment 1341014View attachment 1341015View attachment 1341017

Sent using Jamii Forums mobile app

Hapa Wewe binafsi unakubaliana na mawazo ya hao wanaosema Dunia ni Duara! Wazo la Mabara
7 ni la wanadamu waliamua kuyagawa! Mabara mengine yote karibia sehemu kubwa yemetenganishwa na maji.Habari gani kuhusu Ulaya na Asia ambayo kimsingi yameungana kwa kiasi kikubwa?! Na hayo Mabara saba uliyasoma wapi katika Biblia, Mungu akiyazungumzia ?!
 
Hapa Wewe binafsi unakubaliana na mawazo ya hao wanaosema Dunia ni Duara! Wazo la Mabara
7 ni la wanadamu waliamua kuyagawa! Mabara mengine yote karibia sehemu kubwa yemetenganishwa na maji.Habari gani kuhusu Ulaya na Asia ambayo kimsingi yameungana kwa kiasi kikubwa?! Na hayo Mabara saba uliyasoma wapi katika Biblia, Mungu akiyazungumzia ?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeelewa nini hapa
Tunaendelea kujiuliza maswali ya flat earth:-

Jua lipo ndani ya DOOM

Nyota zipo ndani ya DOOM

Mwezi uko ndani ya DOOM

Vimondo na maobject mengine yapo ndani ya DOOM.

Mars ipo ndani ya DOOM.

Kwahiyo huko nje kabisa ya DOOM hakuna sayari hata moja wala object yeyote?

Tafiti zinasemaje kuhusu kupasua DOOM tutafaidikaje? Kama huko nje ya doom hamna kitu labda ni maji na giza.


Sent using Cash Money Wings
IMG_20200129_182417_208.JPG
IMG_20200129_182359_219.JPG
images%20-%202020-01-29T152037.282.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom