Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,804
- 9,406
Mbona kitu kidogo sana...satellite zinakua launched live kabisa kila mtu anaona
Ukiweza kunielezea kupatwa kwa mwezi nitakuwa muumini wako mzuri
Mbona kitu kidogo sana...satellite zinakua launched live kabisa kila mtu anaona
Mbona kitu kidogo sana...satellite zinakua launched live kabisa kila mtu anaona
Ukiweza kunielezea kupatwa kwa mwezi nitakuwa muumini wako mzuri
Hii haijaelezea jinsi lunar eclipse inatokea...huwezi kutype?Ok
Usipoelewa..... View attachment 1337152View attachment 1337153
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii haijaelezea jinsi lunar eclipse inatokea...huwezi kutype?
Duh! Mkuu mbona unaandika vitu vya kubuni yaani jua unasema ni dogo kama tochi?
Kipenyo (diameter) cha Jua ni 1,391,000 km na kipenyo cha dunia ni 12,742 km hivyo kipenyo cha Jua ni mara 109 zaidi ya kipenyo cha dunia vipi Jua liwe dogo kuliko dunia?
Kwa ukubwa huo wa jua ina maana Kama dunia ingekuwa sio duara (flat) Kama mnavyodai basi watu wote duniani tungeliona Jua kwa mara moja kusingekuwa na kupishana muda.
Duh! Mbona maelezo yako yamejikita kuelezea solar eclipse mimi naulizia lunar eclipse....Hapo ambacho hujaelewa ni kipi ndo maana nikaweka hii gif ili uweze kuona kuwa kuna kipindi baada ya miaka kadhaa wakati jua na mwezi vinacirculate inatokea vina intersect thats what happening na flat earth ni geocentricmodel not heliocentric ya globalists ambao wanacheza na akili zenu wakati mna akili za kudadavua.View attachment 1337169
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Mbona maelezo yako yamejikita kuelezea solar eclipse mimi naulizia lunar eclipse....
Kwasababu kama jua na mwezi zinazunguka dunia inakuwaje mwezi unapatwa ???nini kinasababisha??
Hello 'Flat Earthers'.
Mmefikia wapi? Yaani mmeamuaje?. Au msimamo ni ule ule?
Kwasababu an earth is unmovable it is fixed ,dah hawa jamaa wameharibu kizazi totally.
Embu niambie asili yako?yani asili ya binadamu kwa upande wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma uzi juu upya nimeongezea kituKila scientists theory yake ina data kuntu kutokana na uchunguzi aliofanya we are only theorists, wengine wanasema were fishes before, wengine we aren't even real at all, we can't judge from what they brought because they know how they conducted experiments zao
Sijui mimi ndo nina akili kisoda au wewe...mbn hatuelewan kabisa mkuuAngalia hio gif vizuri kuna muda jua linakuwa mbele na kuna mda mwezi unakuwa mbele kwenye circulation angalia vizuri na narudi mda si mrefu
Sent using Jamii Forums mobile app