The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

FLAT EARTH MOON VIEW
IMG_20200204_184805.jpeg
IMG_20200204_184822.jpeg
Screenshot_2020-02-04-18-48-58.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni sababu chache sana zinazoweza kushawishi kuwa dunia ni flat....wanaosema dunia ni duara wanasababu zinazoshawishi
 
Kitu kisicho make sense kwako hakimaanishi kuwa na kwa wengine kiko hivyo. Tena hususani kwa watu waliofanya tafiti zao kwa muda mrefu sana.

Ni sawa na mtu anayeamini kuwa chombo pekee kinachosafiri baharini ni meli. Siku ukija kumuambia kuhusu uwepo wa submarines atakukatalia kata kata na kukuambia kuwa hakina maana, "chombo hicho chawezaje kusafiri kikiwa kimezama?" Practically nonsense! Bila shaka tegemea majibu au maneno yanayoshabihiana na hayo kutoka kwake.

"Uongo mtakatifu ulio generated from Babylon"??? Nini mantiki ya uwepo wa maneno haya katika hoja yako, unaweza kuthibitisha, kwa sababu gani na ili iweje???

Unasema kuwa "Flat Eathers wako sahihi asilimia zote", ya kwamba wanayaelezea mambo katika uhalisia wake.

Sawa, tuanzie katika maswali machache tu yafuatayo;

Je, unawezaje kuuzungumzia mzunguko wa jua katika hiyo flat earth kwa mujibu wa Flat Earthers? Ni kitu gani hulifanya jua liweze kuzunguka pembeni mwa dunia bila kugongana na uso wa dunia? Nipatie maelezo yaliyo na huo "uhalisia".

Swali jingine, nini hutokea pale ambapo kitu chochote kitakapofika na kujaribu kuvuka pembezoni mwa hiyo dunia ya tambarare?

Nikukumbushe tena kuwa, usisahau kunipatia maelezo yenye huo "uhalisia" kwa mujibu wa Flat Earthers.

Asante!
Fafanua kwanza haya ndo tuendelee:
1. Inawezekanaje watu na wanyama kuishi na kufanya shughuli zao ktk dunia duara kama tufe inayoning'inia angani wakiwa wamenata na kutembea upandeupande, wameegama na wengine miguu juu kichwa chini ili hali wao ni non magenital.?
2. Inakuingia akilini vitu, watu na wanyama kunatishwa pembezoni mwa dunia eti kwa kisingizio cha gravity akati vitu hivyo ni non magnetic substance.
3. Ni ngumu kwa maji ya bahari na maziwa ku-bend ili kuleta dhana ya uduwara wa dunia.
4. Huoni kama ni rahisi kwa a Plate earth ku-hold kila kitu without any assist of gravity. The more denser you are, the more you prevail.

Refer the evidence below so that you can come up with new vision
17524-polar-city-building-2.jpeg
249863_orig.jpeg
17641379-circle-panorama-of-building-of-an-housing-estate-on-globe-earth-collage.jpeg
concept-miniature-globe-building-forest-19732483.jpeg
stock-photo-concept-globe-showing-diversity-transport-and-green-energy-in-a-cartoon-style-148...jpeg
Planet_Aden_Circle_by_microbot23.jpeg
3d-cartoon-planet-summer-3d-model-max.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • Planet_Aden_Circle_by_microbot23.jpeg
    Planet_Aden_Circle_by_microbot23.jpeg
    68.4 KB · Views: 7
Kitu kisicho make sense kwako hakimaanishi kuwa na kwa wengine kiko hivyo. Tena hususani kwa watu waliofanya tafiti zao kwa muda mrefu sana.

Ni sawa na mtu anayeamini kuwa chombo pekee kinachosafiri baharini ni meli. Siku ukija kumuambia kuhusu uwepo wa submarines atakukatalia kata kata na kukuambia kuwa hakina maana, "chombo hicho chawezaje kusafiri kikiwa kimezama?" Practically nonsense! Bila shaka tegemea majibu au maneno yanayoshabihiana na hayo kutoka kwake.

"Uongo mtakatifu ulio generated from Babylon"??? Nini mantiki ya uwepo wa maneno haya katika hoja yako, unaweza kuthibitisha, kwa sababu gani na ili iweje???

Unasema kuwa "Flat Eathers wako sahihi asilimia zote", ya kwamba wanayaelezea mambo katika uhalisia wake.

Sawa, tuanzie katika maswali machache tu yafuatayo;

Je, unawezaje kuuzungumzia mzunguko wa jua katika hiyo flat earth kwa mujibu wa Flat Earthers? Ni kitu gani hulifanya jua liweze kuzunguka pembeni mwa dunia bila kugongana na uso wa dunia? Nipatie maelezo yaliyo na huo "uhalisia".

Swali jingine, nini hutokea pale ambapo kitu chochote kitakapofika na kujaribu kuvuka pembezoni mwa hiyo dunia ya tambarare?

Nikukumbushe tena kuwa, usisahau kunipatia maelezo yenye huo "uhalisia" kwa mujibu wa Flat Earthers.

Asante!
Ukimalizana na hizo badae ntakuonesha how flat earth is simple to comprehend rather than such a complication.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fafanua kwanza haya ndo tuendelee:
1. Inawezekanaje watu na wanyama kuishi na kufanya shughuli zao ktk dunia duara kama tufe inayoning'inia angani wakiwa wamenata na kutembea upandeupande, wameegama na wengine miguu juu kichwa chini ili hali wao ni non magenital.?
2. Inakuingia akilini vitu, watu na wanyama kunatishwa pembezoni mwa dunia eti kwa kisingizio cha gravity akati vitu hivyo ni non magnetic substance.
3. Ni ngumu kwa maji ya bahari na maziwa ku-bend ili kuleta dhana ya uduwara wa dunia.
4. Huoni kama ni rahisi kwa a Plate earth ku-hold kila kitu without any assist of gravity. The more denser you are, the more you prevail.

Refer the evidence below so that you can come up with new visionView attachment 1346771View attachment 1346772View attachment 1346774View attachment 1346779View attachment 1346784View attachment 1346786View attachment 1346792

Sent using Jamii Forums mobile app
Je wewe ni mfuatiliaji na upo updated katika masuala yote yahusuyo 'Flat Earth' na 'flat-earthers' duniani? Maana kuna taarifa nyingi yaonesha bado hunazo.

Je, wewe ni flat-earther?

Je, ni flat-earther wa namna gani?

Usishangae kwa mimi kukuuliza maswali hayo maana kuna baadhi ya maswali hujibiwa kwa maswali kwanza kabla ya muendelezo wa mambo mengine.

Kuhusu swali lako la kwanza;
Watu wanatembea upandeupande kwa namna gani? Wameegama kiaje?

Miguu juu kichwa chini? Juu ni wapi na chini ni wapi?

Kabla sijajibu swali lako la pili, "kisingizio cha gravity"? "Kisingizio" then what? Ili iweje? Kwa faida ya nani?

Kuna wachangiaji wengi wamekwisha kuuliza huko mwanzoni kuwa hayo yote ya "kuficha ukweli" na "kusingizia" yanafanyika ili iweje katika ulimwengu huu wa utandawazi na teknolojia ya hali ya juu?

Kuna ulazima gani wa kufanya miradi mikubwa ya mabilioni ya fedha ili tu "kuwadanganya" wakaao duniani kuwa dunia ni duara (spherical)?

Swali lako la pili na la tatu;
Awali nilitoa mfano kuwa, mtu anayeamini kuwa chombo pekee kinachosafiri baharini ni meli. Siku ukija kumuambia kuhusu uwepo wa submarines zinazopita chini ya bahari anaweza kukukatalia kata kata.

Naomba nikuulize swali jingine;

Je wajua kuwa nguvu ya mvutano si katika sumaku kwa vitu vya chuma pekee?

Je unafahamu kuhusu uwepo wa interaction kati ya electric charges?

Je unakubaliana na kipi na pia kipi hutaki kukubaliana nacho?

Swali lako la nne;
Madai ya flat Earthers kwamba Density ndiyo chanzo cha kuvipeleka vitu kuelekea katika uso wa dunia ni irrelevant.

Density ni amount of matter an object has to its volume au kwa kifupi amount of mass within a volume.

Density si force na automatically has nothing to do with acceleretion ya vitu kuuelekea uso wa dunia.

Swali jingine! Kwanini Density iwe ndiyo chanzo cha kuvifanya vitu viiangukie dunia na si kuiangukia tu bali kuanguka katika muelekeo uleule maalumu (same specific direction towards the earth).

Kwanini Density ivifanye vitu vihame kwa namna hiyo tu na si nyingineyo?

Ni Density ya namna gani hiyo?

Je hilo lina make sense kwako? Kwa misingi gani?

Karibu kwa majibu!
 
Ukimalizana na hizo badae ntakuonesha how flat earth is simple to comprehend rather than such a complication.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu!

Wewe ni flat-earther wa aina gani?

Wenzako wana amini kuwa dunia kama disc ina uwezo wa ku-accelerate kuelekea "juu" kwa meta 9.8 per second squared.

Wengine kama wewe wanasema dunia haisogei kwenda popote.

Ujio wao na nadharia nyinginezo kama "Pac-Man effect" na "Teleportation" baada ya kuwa proved wrong na kuwa questioned kuhusiana na kinachotokea katika edges za hiyo flat earth.

Nilimuuliza flat-earther mwenzako huko juu kwamba "Does that make sense"? Huo "uhalisia" upo wapi hapo?

Contradictions! Mnapingana wenyewe kwa wenyewe.
 
Tuletee rekodi za dunia halisi ikijizungusha kwa spidi pendwa kama inavyodaiwa.


Ndugu!

Wewe ni flat-earther wa aina gani?

Wenzako wana amini kuwa dunia kama disc ina uwezo wa ku-accelerate kuelekea "juu" kwa meta 9.8 per second squared.

Wengine kama wewe wanasema dunia haisogei kwenda popote.

Ujio wao na nadharia nyinginezo kama "Pac-Man effect" na "Teleportation" baada ya kuwa proved wrong na kuwa questioned kuhusiana na kinachotokea katika edges za hiyo flat earth.

Nilimuuliza flat-earther mwenzako huko juu kwamba "Does that make sense"? Huo "uhalisia" upo wapi hapo?

Contradictions! Mnapingana wenyewe kwa wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa huko juu alitoa hoja kwamba ukipanda ndege kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Ndege ikiwa juu ikatembea kwa constant speed flani abiria watahisi kama ndege imesimama, na utaweza kutembea kwenda sehemu 1 kwenda nyingine, kufanya shughuli zako.

Binadamu tunazunguka na speed ya dunia, hatuhisi kama dunia inazunguka mpaka pale itakaposimama ghafla au kupunguza speed.

Bahati mbaya au nzuri tangu binadamu aanze kuishi duniani tayari alishakuta dunia inazunguka kwa speed hiyo.

Sent using Cash Money Wings
Tumia Mwili Zaidi Kuliko akili katika hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia ipo fixed no acceleration
Ndugu!

Wewe ni flat-earther wa aina gani?

Wenzako wana amini kuwa dunia kama disc ina uwezo wa ku-accelerate kuelekea "juu" kwa meta 9.8 per second squared.

Wengine kama wewe wanasema dunia haisogei kwenda popote.

Ujio wao na nadharia nyinginezo kama "Pac-Man effect" na "Teleportation" baada ya kuwa proved wrong na kuwa questioned kuhusiana na kinachotokea katika edges za hiyo flat earth.

Nilimuuliza flat-earther mwenzako huko juu kwamba "Does that make sense"? Huo "uhalisia" upo wapi hapo?

Contradictions! Mnapingana wenyewe kwa wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani unajicontradict mpaka basi
Je wewe ni mfuatiliaji na upo updated katika masuala yote yahusuyo 'Flat Earth' na 'flat-earthers' duniani? Maana kuna taarifa nyingi yaonesha bado hunazo.

Je, wewe ni flat-earther?

Je, ni flat-earther wa namna gani?

Usishangae kwa mimi kukuuliza maswali hayo maana kuna baadhi ya maswali hujibiwa kwa maswali kwanza kabla ya muendelezo wa mambo mengine.

Kuhusu swali lako la kwanza;
Watu wanatembea upandeupande kwa namna gani? Wameegama kiaje?

Miguu juu kichwa chini? Juu ni wapi na chini ni wapi?

Kabla sijajibu swali lako la pili, "kisingizio cha gravity"? "Kisingizio" then what? Ili iweje? Kwa faida ya nani?

Kuna wachangiaji wengi wamekwisha kuuliza huko mwanzoni kuwa hayo yote ya "kuficha ukweli" na "kusingizia" yanafanyika ili iweje katika ulimwengu huu wa utandawazi na teknolojia ya hali ya juu?

Kuna ulazima gani wa kufanya miradi mikubwa ya mabilioni ya fedha ili tu "kuwadanganya" wakaao duniani kuwa dunia ni duara (spherical)?

Swali lako la pili na la tatu;
Awali nilitoa mfano kuwa, mtu anayeamini kuwa chombo pekee kinachosafiri baharini ni meli. Siku ukija kumuambia kuhusu uwepo wa submarines zinazopita chini ya bahari anaweza kukukatalia kata kata.

Naomba nikuulize swali jingine;

Je wajua kuwa nguvu ya mvutano si katika sumaku kwa vitu vya chuma pekee?

Je unafahamu kuhusu uwepo wa interaction kati ya electric charges?

Je unakubaliana na kipi na pia kipi hutaki kukubaliana nacho?

Swali lako la nne;
Madai ya flat Earthers kwamba Density ndiyo chanzo cha kuvipeleka vitu kuelekea katika uso wa dunia ni irrelevant.

Density ni amount of matter an object has to its volume au kwa kifupi amount of mass within a volume.

Density si force na automatically has nothing to do with acceleretion ya vitu kuuelekea uso wa dunia.

Swali jingine! Kwanini Density iwe ndiyo chanzo cha kuvifanya vitu viiangukie dunia na si kuiangukia tu bali kuanguka katika muelekeo uleule maalumu (same specific direction towards the earth).

Kwanini Density ivifanye vitu vihame kwa namna hiyo tu na si nyingineyo?

Ni Density ya namna gani hiyo?

Je hilo lina make sense kwako? Kwa misingi gani?

Karibu kwa majibu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom