The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

Hello Flat-earthers .

Comments ni nyingi sana, nilikuwa nauliza mmefikia wapi? Msimamo ni ule ule?
Ndiyo
images%20(83).jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo ya Sayansi huwa yana uongo mwingi sana, tatizo watu wengi wanapenda story za Sayansi basi hata muda wa kuhoji hawaupati.

Nilishawahi kuwauliza humu wajinga fulani kwamba, kuna jafribio gani la Kisayansi liliwahi kufanywa likathibitisha ya kuwa Dunia inazunguka ? Auwatuthibitshie tu ya kuwa Dunia inazunguka, majibu yao ni vituko.

Sayansi ya maumbile na hasa ya anga niliachaga kuamini, pale niliposikia habari za mtu kwenda mwezini.
duuh kama nimeachwa vile
 
Hiyo video hapo na zipo nyingi mno ambazo watu wamefanya experiment kuondoa hizo fikra zako.

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Zipo tafiti nyingi sana zimekwisha fanyika kabla na baada ya uwepo wa hizo camera zinazotumika kurekodi hizo videos hivi sasa.

Kama ni suala la videos tu, ondoa shaka zipo tele zinazohusu tafiti mbalimbali ambazo watu wamekwisha zifanya kuzibadili hizo fikra zako.

Au kama ni suala la kuzituma humu? Na hilo pia ondoa shaka.
 
Yani anataka kutuambia kuwa kitu kitapotea kwenye upeo wa macho ile paap hukioni kama vile puto kubwa linapopasuka vile.

Ina maana anakataa kuwa kitu kinapopotea kwenye upeo wa macho kinaptea taratibu taratibu yeye anakataa kabisa.

Hawa dunia mpira wana matatizo sana hawazijibu wanabaki kushikilia misimamo yao

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo maana nilitoa angalizo pale awali kuwa, msikurupuke!

Someni kwa makini hoja za wengine kisha zitafakarini kwa kina kabla hamjazijibu.
 
mkuu emu niulize kidogo kama dunia ni spherical izo roketi wanazoenda nazo uko angani zinatoboa wapi sasa ili zitoke na wanasema ozone layer ndo inatukinga
 
Hakuna kitu kama hicho bro.!, Nimesoma sayansi japo si kwa sana but kuna vitu nilikuwa namezeshwa lakini naona ni ngumu kumeza.

Nikitumia akili yangu ya kuzaliwa kabisa inanituma Flat Ethers wako sahihi asilimia zoote.

Just imagine kuambiwa dunia ni duara kama tufe au yai then watu wanatembea juu na pembeni yake eti tumenata au tumeagama upande upande sometimes upsidedown ni idea za kijinga kuamini. Na haiingii akilini hata kidogo.

Watakuambia eti it's because of gravitatinal force, kitu ambacho ni uongo mtakatifu ulio generated from Babylon.

Ninachojua mimi na kukiamini hadi nakufa ni kwamba ili kitu kiwe pulled to the center of the earth lazima viwe ni magnetic substance, na hata earth. So haiingii akilini binadam na wanyama kuwa pulled at the center of the earth na kuishi pembezoni mwa dunia wakitembea upandeupande na wengine kichwa chini miguu juu.

Flat ether are absolutely right coz wanavijadili vitu kwa uhalisia wake including density as a key formular. Chukua sinia kuubwa na weka vitu juu yake, iwe wanyama, na vitu vingine. Ni rahisi saana kuishi juu ya sinia kubwa coz haihitaji formular yeyote ku exist hapo, no gravitation force is needed there, the more denser you are, the more you prevail. Ukiweka unyoya utapepea coz of its low density.

Hitimisho, Flat Eather wako sahihi sana coz;
1. Binadam, wanyama na vitu vingine haviwezi kuishi pembezoni mwa dunia wakitembea na kufanya shughuli zao huku wameegama upandeupande na wangine kichwa chini miguu juu eti wakiwa wamenatishwa na gravity, wakati wao ni non-magnetal.
2. Ni ngumu kwa maji kukaa kwenye kitu kilicho duara kikining'ina angani yasimwagikie upande mwingine wakati nayo ni non-magnetal.
3. Ni ngumu kwa maji kutengeneza mkunjo ili kuleta dhana ya uduara wa dunia.
4. Ni rahisi kwa PLATE EARTH ku-hold kila kitu juu yake without any assist of gravity.

GLOBE/ROUND EARTH IS ABSOLUTELY A FAKE IDEA GENERATED BY ILLUMINATI UNDERTAKING BABYLONIAN PLANS TO GLORIFY LUCIFER AS A SUPREME BEING..!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu kisicho make sense kwako hakimaanishi kuwa na kwa wengine kiko hivyo. Tena hususani kwa watu waliofanya tafiti zao kwa muda mrefu sana.

Ni sawa na mtu anayeamini kuwa chombo pekee kinachosafiri baharini ni meli. Siku ukija kumuambia kuhusu uwepo wa submarines atakukatalia kata kata na kukuambia kuwa hakina maana, "chombo hicho chawezaje kusafiri kikiwa kimezama?" Practically nonsense! Bila shaka tegemea majibu au maneno yanayoshabihiana na hayo kutoka kwake.

"Uongo mtakatifu ulio generated from Babylon"??? Nini mantiki ya uwepo wa maneno haya katika hoja yako, unaweza kuthibitisha, kwa sababu gani na ili iweje???

Unasema kuwa "Flat Eathers wako sahihi asilimia zote", ya kwamba wanayaelezea mambo katika uhalisia wake.

Sawa, tuanzie katika maswali machache tu yafuatayo;

Je, unawezaje kuuzungumzia mzunguko wa jua katika hiyo flat earth kwa mujibu wa Flat Earthers? Ni kitu gani hulifanya jua liweze kuzunguka pembeni mwa dunia bila kugongana na uso wa dunia? Nipatie maelezo yaliyo na huo "uhalisia".

Swali jingine, nini hutokea pale ambapo kitu chochote kitakapofika na kujaribu kuvuka pembezoni mwa hiyo dunia ya tambarare?

Nikukumbushe tena kuwa, usisahau kunipatia maelezo yenye huo "uhalisia" kwa mujibu wa Flat Earthers.

Asante!
 
mkuu emu niulize kidogo kama dunia ni spherical izo roketi wanazoenda nazo uko angani zinatoboa wapi sasa ili zitoke na wanasema ozone layer ndo inatukinga
Hakuna rocket imewahi kutoka nje ya dunia,zote zinaenda kwenye projectile motion na wanazielekezea baharini sehemu kama bermuda triangle halafu wanakuzuga na video editing kuwa wapo space jambo ambalo haliwezekani.
IMG_20200128_212621_657.JPG
curve.jpeg
FB_IMG_1580497580480.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom