Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,900
- 12,185
umepoteza muda unaandika pumba tu
Nilikuwa namjibu Zurri, Au na wewe unaamini ktk round Earth/globe..!?
Sent using Jamii Forums mobile app
NdiyoHello Flat-earthers .
Comments ni nyingi sana, nilikuwa nauliza mmefikia wapi? Msimamo ni ule ule?
Hakuna cha space wala.allien....tupo ndani ya dome. Na no one gets out!
Hizo za imani kuwa kuna mtu alifika Mbinguni kwa Mungu!!....zibaki hivyo hivyo.
But reality check ni kuwa hakuna mwansayansi wa kwenda mars wala jupiter
Sent using Jamii Forums mobile app
Lol. Hiyo ndio ramani yenu kwani?
Lol. Hiyo ndio ramani yenu kwani?
Anaweza kuwa pia. Kwani "lord" ni nani?
ubarikiwe mkuu
duuh kama nimeachwa vileHaya mambo ya Sayansi huwa yana uongo mwingi sana, tatizo watu wengi wanapenda story za Sayansi basi hata muda wa kuhoji hawaupati.
Nilishawahi kuwauliza humu wajinga fulani kwamba, kuna jafribio gani la Kisayansi liliwahi kufanywa likathibitisha ya kuwa Dunia inazunguka ? Auwatuthibitshie tu ya kuwa Dunia inazunguka, majibu yao ni vituko.
Sayansi ya maumbile na hasa ya anga niliachaga kuamini, pale niliposikia habari za mtu kwenda mwezini.
tueleze mkuuNipo, nafuatilia japo ukweli nafahamu kiasi.
Siongei kwa theory. Nazungumza vitu ambavyo vimekwisha kujaribiwa kwa vitendo.Unaongea kwa theory? Jaribu kwa vitendo, ama tazama video hapo juu
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Zipo tafiti nyingi sana zimekwisha fanyika kabla na baada ya uwepo wa hizo camera zinazotumika kurekodi hizo videos hivi sasa.Hiyo video hapo na zipo nyingi mno ambazo watu wamefanya experiment kuondoa hizo fikra zako.
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
kabisa mkuuMods na Wafukua makuburi wa JF! Kama hamtojari naomba muweke Threads zangu za Flat Earth na zote zenye mlengo huo.
Shukrani
Ndiyo maana nilitoa angalizo pale awali kuwa, msikurupuke!Yani anataka kutuambia kuwa kitu kitapotea kwenye upeo wa macho ile paap hukioni kama vile puto kubwa linapopasuka vile.
Ina maana anakataa kuwa kitu kinapopotea kwenye upeo wa macho kinaptea taratibu taratibu yeye anakataa kabisa.
Hawa dunia mpira wana matatizo sana hawazijibu wanabaki kushikilia misimamo yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu kisicho make sense kwako hakimaanishi kuwa na kwa wengine kiko hivyo. Tena hususani kwa watu waliofanya tafiti zao kwa muda mrefu sana.Hakuna kitu kama hicho bro.!, Nimesoma sayansi japo si kwa sana but kuna vitu nilikuwa namezeshwa lakini naona ni ngumu kumeza.
Nikitumia akili yangu ya kuzaliwa kabisa inanituma Flat Ethers wako sahihi asilimia zoote.
Just imagine kuambiwa dunia ni duara kama tufe au yai then watu wanatembea juu na pembeni yake eti tumenata au tumeagama upande upande sometimes upsidedown ni idea za kijinga kuamini. Na haiingii akilini hata kidogo.
Watakuambia eti it's because of gravitatinal force, kitu ambacho ni uongo mtakatifu ulio generated from Babylon.
Ninachojua mimi na kukiamini hadi nakufa ni kwamba ili kitu kiwe pulled to the center of the earth lazima viwe ni magnetic substance, na hata earth. So haiingii akilini binadam na wanyama kuwa pulled at the center of the earth na kuishi pembezoni mwa dunia wakitembea upandeupande na wengine kichwa chini miguu juu.
Flat ether are absolutely right coz wanavijadili vitu kwa uhalisia wake including density as a key formular. Chukua sinia kuubwa na weka vitu juu yake, iwe wanyama, na vitu vingine. Ni rahisi saana kuishi juu ya sinia kubwa coz haihitaji formular yeyote ku exist hapo, no gravitation force is needed there, the more denser you are, the more you prevail. Ukiweka unyoya utapepea coz of its low density.
Hitimisho, Flat Eather wako sahihi sana coz;
1. Binadam, wanyama na vitu vingine haviwezi kuishi pembezoni mwa dunia wakitembea na kufanya shughuli zao huku wameegama upandeupande na wangine kichwa chini miguu juu eti wakiwa wamenatishwa na gravity, wakati wao ni non-magnetal.
2. Ni ngumu kwa maji kukaa kwenye kitu kilicho duara kikining'ina angani yasimwagikie upande mwingine wakati nayo ni non-magnetal.
3. Ni ngumu kwa maji kutengeneza mkunjo ili kuleta dhana ya uduara wa dunia.
4. Ni rahisi kwa PLATE EARTH ku-hold kila kitu juu yake without any assist of gravity.
GLOBE/ROUND EARTH IS ABSOLUTELY A FAKE IDEA GENERATED BY ILLUMINATI UNDERTAKING BABYLONIAN PLANS TO GLORIFY LUCIFER AS A SUPREME BEING..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna rocket imewahi kutoka nje ya dunia,zote zinaenda kwenye projectile motion na wanazielekezea baharini sehemu kama bermuda triangle halafu wanakuzuga na video editing kuwa wapo space jambo ambalo haliwezekani.mkuu emu niulize kidogo kama dunia ni spherical izo roketi wanazoenda nazo uko angani zinatoboa wapi sasa ili zitoke na wanasema ozone layer ndo inatukinga