The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

Kitu kisicho make sense kwako hakimaanishi kuwa na kwa wengine kiko hivyo. Tena hususani kwa watu waliofanya tafiti zao kwa muda mrefu sana.

Ni sawa na mtu anayeamini kuwa chombo pekee kinachosafiri baharini ni meli. Siku ukija kumuambia kuhusu uwepo wa submarines atakukatalia kata kata na kukuambia kuwa hakina maana, "chombo hicho chawezaje kusafiri kikiwa kimezama?" Practically nonsense! Bila shaka tegemea majibu au maneno yanayoshabihiana na hayo kutoka kwake.

"Uongo mtakatifu ulio generated from Babylon"??? Nini mantiki ya uwepo wa maneno haya katika hoja yako, unaweza kuthibitisha, kwa sababu gani na ili iweje???

Unasema kuwa "Flat Eathers wako sahihi asilimia zote", ya kwamba wanayaelezea mambo katika uhalisia wake.

Sawa, tuanzie katika maswali machache tu yafuatayo;

Je, unawezaje kuuzungumzia mzunguko wa jua katika hiyo flat earth kwa mujibu wa Flat Earthers? Ni kitu gani hulifanya jua liweze kuzunguka pembeni mwa dunia bila kugongana na uso wa dunia? Nipatie maelezo yaliyo na huo "uhalisia".

Swali jingine, nini hutokea pale ambapo kitu chochote kitakapofika na kujaribu kuvuka pembezoni mwa hiyo dunia ya tambarare?

Nikukumbushe tena kuwa, usisahau kunipatia maelezo yenye huo "uhalisia" kwa mujibu wa Flat Earthers.

Asante!
Majibu yako yapo mengi sana kwenye thread pitia taratibu utayaona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitu kisicho make sense kwako hakimaanishi kuwa na kwa wengine kiko hivyo. Tena hususani kwa watu waliofanya tafiti zao kwa muda mrefu sana.

Ni sawa na mtu anayeamini kuwa chombo pekee kinachosafiri baharini ni meli. Siku ukija kumuambia kuhusu uwepo wa submarines atakukatalia kata kata na kukuambia kuwa hakina maana, "chombo hicho chawezaje kusafiri kikiwa kimezama?" Practically nonsense! Bila shaka tegemea majibu au maneno yanayoshabihiana na hayo kutoka kwake.

"Uongo mtakatifu ulio generated from Babylon"??? Nini mantiki ya uwepo wa maneno haya katika hoja yako, unaweza kuthibitisha, kwa sababu gani na ili iweje???

Unasema kuwa "Flat Eathers wako sahihi asilimia zote", ya kwamba wanayaelezea mambo katika uhalisia wake.

Sawa, tuanzie katika maswali machache tu yafuatayo;

Je, unawezaje kuuzungumzia mzunguko wa jua katika hiyo flat earth kwa mujibu wa Flat Earthers? Ni kitu gani hulifanya jua liweze kuzunguka pembeni mwa dunia bila kugongana na uso wa dunia? Nipatie maelezo yaliyo na huo "uhalisia".

Swali jingine, nini hutokea pale ambapo kitu chochote kitakapofika na kujaribu kuvuka pembezoni mwa hiyo dunia ya tambarare?

Nikukumbushe tena kuwa, usisahau kunipatia maelezo yenye huo "uhalisia" kwa mujibu wa Flat Earthers.

Asante!
Ok
1499933c3cd5816aa680bd0ee5e0c616.jpeg
IMG_20200128_212422_677.JPG
IMG_20200129_220926_681.JPG
IMG_20200129_220901_650.JPG
IMG_20200128_212939_228.JPG
thesunandmoonabovetheearth%20(1).gif


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiki ndicho nilichopingana nacho tangu mwanzoni. Udhaifu wa hoja zenu bado ni mkubwa sana.

Unatumia maneno ya Nikola Tesla kwamba dunia si "planet" na kwamba "it has no edge". Siku hizi Flat Earthers wenzako wapo katika "Pac-Man effect" wakiamini kuwa vitu vyaweza kupita katika hizo edges na kutokezea upande mwingine wa dunia.

Yaani ukikaribia upande mmoja pembezoni mwa dunia, una uwezo wa kupita na ghafla kutokezea upande mwingine tofauti pembezoni. Does that make sense?

Mnasema hoja za Flat Earthers zina "uhalisia", inaonekana hata nyinyi wenyewe Flat Earthers hamkifahamu vizuri mnachokipigania. Mnapingana wenyewe kwa wenyewe humu jukwaani na kote duniani.

Yaani mnatuletea nadharia kama hizo za "Pac-Man" alafu mnataka tukubaliane na hoja zenu? Are you serious?

Hoja zenu ni dhaifu!
 
Najaribu ku relate na kile kisa cha " A man from TAURED" yule jamaa alisema anatokea kabisa hapa hapa duniani kwenye eneo linaitwa taured na alikuwa na vitambulisho vyote muhimu na document zinazoonesha kuwa ametokea hiyo nchi na ameshasafiri zaidi ya mara moja shida ni kuwa hawakuweza kuiona kwenye ramani ya dunia yetu hii!!! Na walipomuweka kwenye chumba cha mahojiano jamaa aka vanish without a trace yaani immagine wamemfungia kwenye chumba ghorofa ya 10 huko na walinzi juu na pingu mkononi lakini walipokuja kumcheki wakakauta pingu ipo pale pale haijafunguliwa na jamaa hayupo yaani kapotea .
Ninanvyozidi ku link nazidi pata picha

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu tupe link ya kitabu icho
 
Hiki ndicho nilichopingana nacho tangu mwanzoni. Udhaifu wa hoja zenu bado ni mkubwa sana.

Unatumia maneno ya Nikola Tesla kwamba dunia si "planet" na kwamba "it has no edge". Siku hizi Flat Earthers wenzako wapo katika "Pac-Man effect" wakiamini kuwa vitu vyaweza kupita katika hizo edges na kutokezea upande mwingine wa dunia.

Yaani ukikaribia upande mmoja pembezoni mwa dunia, una uwezo wa kupita na ghafla kutokezea upande mwingine tofauti mbembezoni. Does that make sense?

Mnasema hoja za Flat Earthers zina "uhalisia", inaonekana hata nyinyi wenyewe Flat Earthers hamkifahamu vizuri mnachokipigania. Mnapingana wenyewe kwa wenyewe humu jukwaani na kote duniani.

Yaani mnatuletea nadharia kama hizo za "Pac-Man" alafu mnataka tukubaliane na hoja zenu? Are you serious?

Hoja zenu ni dhaifu!
Utavyoona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenzenu wanaongela kuvunja ceiling glass ili waweze kutoka nje ya dunia. Ndo dream yao...the Ceiling glass inawaboa. Unadhani mabomu ya nuclear ni ya nini?? Kuua watu?? No! Ceiling glass inayofunia dunia aka FIRMAMENT. They know jinsi dunia ilivyo and they tell you on ur face but still hamtaki kuelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu tupe somo
 
Hiki ndicho nilichopingana nacho tangu mwanzoni. Udhaifu wa hoja zenu bado ni mkubwa sana.

Unatumia maneno ya Nikola Tesla kwamba dunia si "planet" na kwamba "it has no edge". Siku hizi Flat Earthers wenzako wapo katika "Pac-Man effect" wakiamini kuwa vitu vyaweza kupita katika hizo edges na kutokezea upande mwingine wa dunia.

Yaani ukikaribia upande mmoja pembezoni mwa dunia, una uwezo wa kupita na ghafla kutokezea upande mwingine tofauti mbembezoni. Does that make sense?

Mnasema hoja za Flat Earthers zina "uhalisia", inaonekana hata nyinyi wenyewe Flat Earthers hamkifahamu vizuri mnachokipigania. Mnapingana wenyewe kwa wenyewe humu jukwaani na kote duniani.

Yaani mnatuletea nadharia kama hizo za "Pac-Man" alafu mnataka tukubaliane na hoja zenu? Are you serious?

Hoja zenu ni dhaifu!
Halafu Mkuu huyu Mtoa Mada nilisha wahi kumuuliza kuhusu mwenendo wa nyota ya Orion inayo onekana kuanzia mwezi wa 11 mpaka mwezi wa 4 mwaka unaofuatia kisha inapotea.hajawahi kunijibu kama hizo nyota ndo zinazunguka au ni Dunia yenyewe inazunguka!
 
Zipo tafiti nyingi sana zimekwisha fanyika kabla na baada ya uwepo wa hizo camera zinazotumika kurekodi hizo videos hivi sasa.

Kama ni suala la videos tu, ondoa shaka zipo tele zinazohusu tafiti mbalimbali ambazo watu wamekwisha zifanya kuzibadili hizo fikra zako.

Au kama ni suala la kuzituma humu? Na hilo pia ondoa shaka.
Zitume. Tofauti tu ni kwamba mimi nafanya mwenyewe experiment na kuthibitisha. Lakini naomba nione hizo video unazodai zipo nipate kujifunza pia

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Halafu Mkuu huyu Mtoa Mada nilisha wahi kumuuliza kuhusu mwenendo wa nyota ya Orion inayo onekana kuanzia mwezi wa 11 mpaka mwezi wa 4 mwaka unaofuatia kisha inapotea.hajawahi kunijibu kama hizo nyota ndo zinazunguka au ni Dunia yenyewe inazunguka!
Every star and celestial bodies revolve on top of an earth as the center of the universe ,mfano mzuri ni north pole

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nitaftie ile vidio ya mabaharia au nipe link yake.
Zurri na Kiranga tofauti baina yao ni mmoja wao ana amini uwepo wa Mungu na Mitume yake na kadhalika! Huyu mwengine haamini.

Ukiangalia mtizamo wao wa kwenye hoja ni uleule! Hawaandiki hoja bali wanalazimisha iwe hoja.

Sentensi iliyoandikwa ina maana moja na ya anayejadiliana naye wao wanaipinga halafu wanaandika ya kwao yenye maana ileile moja na ya waliyempinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom