The road towards 2010 Elections

The road towards 2010 Elections

Kati ya hawa nani atafaa kutuongoza 2010-2015?

  • Edward Lowassa

    Votes: 0 0.0%
  • Dr. Slaa

    Votes: 7 38.9%
  • Prof. Lipumba

    Votes: 0 0.0%
  • Mizengo Pinda

    Votes: 5 27.8%
  • Samwel Sitta

    Votes: 0 0.0%
  • Jakaya Kikwete

    Votes: 2 11.1%
  • Mark Mwandosya

    Votes: 2 11.1%
  • Harisson Mwakyembe

    Votes: 2 11.1%
  • None of The above

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    18
  • Poll closed .
Walishaanza kumuundia zengwe la kum'goa ubunge. Anaandaliwa Kijana mmoja ambaye ni Katibu mkuu mpya wa CCM ndugu or sorry Mheshimiwa Shigela.
 
Msimu ule wa uchaguzi mkuu unakaribia tena Tanzania. Tutaanza kusikia mambo mengi kutoka kwa wahusika na tumeshaanza kusikia. Swali ni je unaona Kikwete apewe 2010? Na kama jibu ni hapana je muda huu nani unaona anafaa kuliongoza taifa?

Mimi naona tusikimbilie kusema Kikwete asipewe tena kabla hatuja tafakari nani anafaa kumpokea. Na hapa siongelea ndani ya CCM naongelea kwenye uchaguzi mkuu msije mkazani mimi ndiyo wale wanaotaka kumpindua JK asigombee tena hilo shauli yao wahusika. Hapa tuongelee uchaguzi mkuu na tuassume JK ndiyo mgombea wa CCM. Je apewe tena? Na kama siyo yeye basi iwe nani?

Mimi naona Tz tunaluck options za viongozi. Hatuchagui nani aliye BORA kati ya walio BORA bali tunachagua asiye OVYO kupita wote walio OVYO. Mazingira yalivyo sasa ni vigumukumpata kiongozi aliye bora kwa sababu kiongozi aliyebora kwa Tz basi siyo tajiri wa kuji limbikizia lakini bila utajiri huo mtu kushinda inakuwa ngumu. Ukiangalia upande wa upinzani ndiyo sifuri kabisa. Upinzani hauna hoja wala sera zao wenyewe bali wanasubiria CCM ifanye kosa basi ndiyo wao wapate cha kusema. Pia wapinzani ni malimbukeni. Mbowe alikuwa anaponda sana mafisadi ila tokea skendo yake ya NSSF hana ubavu wa kusema chochote na hata akisema anaonekana ni wale wale tu.

JK ana mapungufu yake lakini jamani JK siyo mwizi. Ndiyo maana alihitaji wenye fedha kupata uraisi kwa sababu siasa za bongo NO CASH NO CHEO. Sasa ilibidi awalipe hao waliomfazili, matokeo yake ndiyo hivyo marafiki zake kutuhumiwa kwa ufisadi. Kwangu mimi JK is a descent president lakini ukiji zunguusha na mataoeli utaonekana tapeli. Jk anaangushwa na washikaji zake aliyo wapa vyeo mbali mbali. Tungekuwa katika mazingira tofauti nadhani JK angeonekana kiongozi mzuri tu tatizo ukiwa rais hakuna excuses. IF THE GOVENMENT FAILS THE PRESIDENT HAS FAILED WHETHER ITS BY HIS OWN FAULT OR THE FAULT OF HIS SUBORDINATES.

Lakini nasema bora zimwi ulijualo kuliko usilijualo. Katika choices za viongozi ambao tunao kwa sasa Tz na wana chance ya kuwa maraisi JK is our best options. Unaweza ukatae au ukubali lakini hauwezi kumtaja mtu yoyote who would do any better than JK has done. Jk aliridhi uozo wote huu unao onekana sasa. All this things are not the fault of JK but uraisi kautaka mwenyewe kwa hiyo lazima akubali kuwajibika. Ahadi ni deni na katika uchaguzi uliopita alitoa ahadi mbali mbali, watu wenyewe mtamhukumu kama katimiza au la.

INA SIKITISHA MAFISADI KUENDESHA NCHI lakini habari ndiyo hiyo. Who do we choose? What options do we as Tanzanians have when it comes to choosing the head of our country?

Uchaguzi wa mwakani ndiyo utakuwa wakwanza tangu nitimiza umri wa kupiga kura. Tanzania tuna viongozi wanaowea kuwa maraisi wazuri/viongozi wazuri lakini wapo wapi na wana nafasi gani ya kkushinda? Ninacho taka kujua ni kama nilivyo uliza mwanzo. DO YOU THINK JK SHOULD BE GIVEN A SECOND TERM BY TANZANIANS? IF YES WHY? IF NO, WHO WOULDE BE A BETTER PRESIDENT AND WHY?
 
Msimu ule wa uchaguzi mkuu unakaribia tena Tanzania. Tutaanza kusikia mambo mengi kutoka kwa wahusika na tumeshaanza kusikia. Swali ni je unaona Kikwete apewe 2010? Na kama jibu ni hapana je muda huu nani unaona anafaa kuliongoza taifa?

Mimi naona tusikimbilie kusema Kikwete asipewe tena kabla hatuja tafakari nani anafaa kumpokea. Na hapa siongelea ndani ya CCM naongelea kwenye uchaguzi mkuu msije mkazani mimi ndiyo wale wanaotaka kumpindua JK asigombee tena hilo shauli yao wahusika. Hapa tuongelee uchaguzi mkuu na tuassume JK ndiyo mgombea wa CCM. Je apewe tena? Na kama siyo yeye basi iwe nani?

Mimi naona Tz tunaluck options za viongozi. Hatuchagui nani aliye BORA kati ya walio BORA bali tunachagua asiye OVYO kupita wote walio OVYO. Mazingira yalivyo sasa ni vigumukumpata kiongozi aliye bora kwa sababu kiongozi aliyebora kwa Tz basi siyo tajiri wa kuji limbikizia lakini bila utajiri huo mtu kushinda inakuwa ngumu. Ukiangalia upande wa upinzani ndiyo sifuri kabisa. Upinzani hauna hoja wala sera zao wenyewe bali wanasubiria CCM ifanye kosa basi ndiyo wao wapate cha kusema. Pia wapinzani ni malimbukeni. Mbowe alikuwa anaponda sana mafisadi ila tokea skendo yake ya NSSF hana ubavu wa kusema chochote na hata akisema anaonekana ni wale wale tu.

JK ana mapungufu yake lakini jamani JK siyo mwizi. Ndiyo maana alihitaji wenye fedha kupata uraisi kwa sababu siasa za bongo NO CASH NO CHEO. Sasa ilibidi awalipe hao waliomfazili, matokeo yake ndiyo hivyo marafiki zake kutuhumiwa kwa ufisadi. Kwangu mimi JK is a descent president lakini ukiji zunguusha na mataoeli utaonekana tapeli. Jk anaangushwa na washikaji zake aliyo wapa vyeo mbali mbali. Tungekuwa katika mazingira tofauti nadhani JK angeonekana kiongozi mzuri tu tatizo ukiwa rais hakuna excuses. IF THE GOVENMENT FAILS THE PRESIDENT HAS FAILED WHETHER ITS BY HIS OWN FAULT OR THE FAULT OF HIS SUBORDINATES.

Lakini nasema bora zimwi ulijualo kuliko usilijualo. Katika choices za viongozi ambao tunao kwa sasa Tz na wana chance ya kuwa maraisi JK is our best options. Unaweza ukatae au ukubali lakini hauwezi kumtaja mtu yoyote who would do any better than JK has done. Jk aliridhi uozo wote huu unao onekana sasa. All this things are not the fault of JK but uraisi kautaka mwenyewe kwa hiyo lazima akubali kuwajibika. Ahadi ni deni na katika uchaguzi uliopita alitoa ahadi mbali mbali, watu wenyewe mtamhukumu kama katimiza au la.

INA SIKITISHA MAFISADI KUENDESHA NCHI lakini habari ndiyo hiyo. Who do we choose? What options do we as Tanzanians have when it comes to choosing the head of our country?

Uchaguzi wa mwakani ndiyo utakuwa wakwanza tangu nitimiza umri wa kupiga kura. Tanzania tuna viongozi wanaowea kuwa maraisi wazuri/viongozi wazuri lakini wapo wapi na wana nafasi gani ya kkushinda? Ninacho taka kujua ni kama nilivyo uliza mwanzo. DO YOU THINK JK SHOULD BE GIVEN A SECOND TERM BY TANZANIANS? IF YES WHY? IF NO, WHO WOULDE BE A BETTER PRESIDENT AND WHY?

Mwanafalsafa1,karibu ukumbini.
Nimeipenda makala yako,maybe kwasababu wewe ni mgeni na kwa jinsi ulivyoingia na gia,nimeonelea nikupe pongezi,lakini tarajia mjadala mkali kuhusiana na mapendekezo yako,la kushangaza ni kwamba umeshasema hakuna anayefaa na hapo hapo unataka tumtaje anayefaa?!
Shida tuliyonayo ni kwamba options za kiongozi haziwezi kwenda nje ya tabaka lile lile kutokana na system na katiba....Panga pangua,Rais atatoka kwenye tabaka lile lile unless kuna mabadiliko ya kimsingi,la sivyo tunataendeleza gap between matabaka, Na kwa mantiki hiyo,sintoshangaa kuona thread hii ikiunganishwa na zile nyingine zinazohusu option ya either JK apewe tena ama la.
Kuhusiana na upinzani,bado tunaendelea kusikiliza hoja zao,watakapozitoa tutazijadili,lakini ni wazi kabisa kuwa wanastahili nafasi kwenye jamii kutokana na kazi zao..Tusubiri tuone,cha msingi ni kwamba kinachohitajika ni mabadiliko constructive....Otherwise ni politics as usuall,sana sana ni humo ndani ya chama.
 
Mwanafalsafa1,karibu ukumbini.
Nimeipenda makala yako,maybe kwasababu wewe ni mgeni na kwa jinsi ulivyoingia na gia,nimeonelea nikupe pongezi,lakini tarajia mjadala mkali kuhusiana na mapendekezo yako,la kushangaza ni kwamba umeshasema hakuna anayefaa na hapo hapo unataka tumtaje anayefaa?!
Shida tuliyonayo ni kwamba options za kiongozi haziwezi kwenda nje ya tabaka lile lile kutokana na system na katiba....Panga pangua,Rais atatoka kwenye tabaka lile lile unless kuna mabadiliko ya kimsingi,la sivyo tunataendeleza gap between matabaka, Na kwa mantiki hiyo,sintoshangaa kuona thread hii ikiunganishwa na zile nyingine zinazohusu option ya either JK apewe tena ama la.
Kuhusiana na upinzani,bado tunaendelea kusikiliza hoja zao,watakapozitoa tutazijadili,lakini ni wazi kabisa kuwa wanastahili nafasi kwenye jamii kutokana na kazi zao..Tusubiri tuone,cha msingi ni kwamba kinachohitajika ni mabadiliko constructive....Otherwise ni politics as usuall,sana sana ni humo ndani ya chama.

Its true my friend that i said sioni mwingine anayefaa but nimeomba watu wacomment because that is just my opinion. There might be others who disagree with me. I said i go for JK for the time being but there might be someone else out there who differs from me. i hope now you see the purpose of the thread. Thanks for your opinion though, you make a good point.
 
Apewe Dr. Slaa... mzalendo halisi! au hata Lipumba mchumi atuinue! kikubwa hapa ni mtu nje ya 'sanduku' la mafisadi

Kusema wapinzani hawana sera halina maana, kinacho takiwa ni uwazi na uwajibikaji wa viongozi badala ya ubabe uoga na kulindana! Kwani kama swala la sera nzuri, mbona ukiziona za CCM utadhani zimeshushwa kutoka mbinguni but alas! wametufikisha wapi na hizo sera zao tamu tamu masikioni na vitabu??
 
Uwezo wake kuongoza ni mdogo, amekuwa mzigo kwa uchumi wa taifa
 
what ever tha case huyu jamaa anastahiki kuendelea hadi kipindi cha pili kimalizike .tatizo majambazi waliokuwemo serekalini na chamani wanampiga vita kwa nguvu zao zote wakisaidiwa na makundi yanayowaunga mkono nje ya chama na serekali.
 
Mimi naona Tz tunaluck options za viongozi. Hatuchagui nani aliye BORA kati ya walio BORA bali tunachagua asiye OVYO kupita wote walio OVYO.

Hapo tupo pamoja.

Upinzani hauna hoja wala sera zao wenyewe bali wanasubiria CCM ifanye kosa basi ndiyo wao wapate cha kusema. Pia wapinzani ni malimbukeni. Mbowe alikuwa anaponda sana mafisadi ila tokea skendo yake ya NSSF hana ubavu wa kusema chochote na hata akisema anaonekana ni wale wale tu.

Hapo umechemsha BIG TIME, umeweza kuharibu tulipokuwa pamoja.

JK ana mapungufu yake lakini jamani JK siyo mwizi.

Umejuaje sio mwizi?

Na hapa chini unataka sema nini hasa ukizingatia hapo juu?
Kwangu mimi JK is a descent president lakini ukiji zunguusha na mataoeli utaonekana tapeli.

Lakini nasema bora zimwi ulijualo kuliko usilijualo.
Mimi sikubaliani na hili...... lets try new things. We need change.

wana chance ya kuwa maraisi JK is our best options ......

Kama ndo msimamo wako basi karibu sana JF utajifunza mengi na hatimae utaKUA.


Uchaguzi wa mwakani ndiyo utakuwa wakwanza tangu nitimiza umri wa kupiga kura.
Ningejua hili kabla then labda ninge badili mwelekeo wangu juu ya kujibu hoja zako.

DO YOU THINK JK SHOULD BE GIVEN A SECOND TERM BY TANZANIANS?

NO BIG NO.
 
Kuhusu hilo wacha aendelehe na urais maana aliyo fanya mengi juu ya nchi yetu na fahamu mengine amekosea kama vipi tuaangaliye mabaya yake mangapi? na mazuri maangapi?.

Ukiangalia it look simple but the Guy he show how is capable to run the country because what i see we can give to other person he will tell you i have to rebuild the country that mean five years.

Let him finish his duty
 
JK is the worst President ever!!!! Kwa hivi sasa anatuchimbia kaburi bila sisi kujua lakini 2016 linakapoanza kifunikwa ndiyo kilio cha kusaga meno kitakapoanza. No wonder kuna mtu ame-doubt degree yake ya Uchumi kama kweli imetoka UDSM. Ukiwalinganisha na wenzake yeye kuwa na degree ya uchumi ilitakiwa ndiyo awe na more ideas na mahala anapotupeleka ukilinganisha na Mwalimu (Political Science ndiyo maana aka-concerate kwenye international politics akasahau nyumbani kwake); Mwinyi (Diploma Education sijui: Yeye akasema kila kitu ruksa); Mkapa (Journalist: Yeye mbabe wa kuzungumza lakini alikusanya pesa na wakazifisadi vilevile). Sasa huyu wa sasa hata anakolekea sikuoni saidi ya kuhangaikia misaaada kila kukicha. Sasa na hii ecomomic crisis sijui anategemea pesa zitatoka wapi?? No wonder wanataka tujiuenge na OIC ili tupate pesa za waarabu za bure!!!!
 
Hapo tupo pamoja.



Hapo umechemsha BIG TIME, umeweza kuharibu tulipokuwa pamoja.



Umejuaje sio mwizi?

Na hapa chini unataka sema nini hasa ukizingatia hapo juu?



Mimi sikubaliani na hili...... lets try new things. We need change.



Kama ndo msimamo wako basi karibu sana JF utajifunza mengi na hatimae utaKUA.



Ningejua hili kabla then labda ninge badili mwelekeo wangu juu ya kujibu hoja zako.



NO BIG NO.

Ok shapu after this & big NO wewe unampropose nani?
 
Kuhusu hilo wacha aendelehe na urais maana aliyo fanya mengi juu ya nchi yetu na fahamu mengine amekosea kama vipi tuaangaliye mabaya yake mangapi? na mazuri maangapi?.

Ukiangalia it look simple but the Guy he show how is capable to run the country because what i see we can give to other person he will tell you i have to rebuild the country that mean five years.

Let him finish his duty

Mjombaayasi,
Hivi hii post umeiandika saa ngapi huko ulipo? nina wasi wasi ilikuwa ni usiku wa manane na pengine ulikuwa unaota eti he is capable ebo!

Yaani kuendeshwa na mafisadi kama roboti ndo ucapable wenyewe? Mtu ana dola amiri jeshi mkuu, anashindwa kusimamia maamuzi ya kulitetea taifa lake badala yake anabaki kuogopa na kulinda kakundi kadogo ka mafisadi kanako haribu na kutetemesha nchi?
 
Ni kweli tunatatizo la uongozi, Tukitaka kutadhimini uongozi wa Kikwete na waliopita tunashindwa kuona ubora wake pale alipoachilia umma ujue uozo unaoendelea,Kumbuka enzi za Mkapa hizi kashfa zote zisingejulikana.Kama waliopita angeweza kuzuia kwa gharama yoyote mambo tunayoyajua yasijulikane kama viongozi wenzie waliopita.
Kikwete angeweza kuwa kiongozi mzuri sana kama angeachana na kubeba marafiki ambao ndo wamemwingiza katika hali aliyomo sasa.
Kama angekuwa na timu ya watu mahili wakamshauri na akafyata ushauri wao,lakini sasa washauri alionao wote wanaonekana kuwa ni mabomu.Leo wanasema hivi kesho wamegeuka k.m Bwana Membe anazungumzia OIC hivi leo kesho ana statement nyingine sasa kina Membe wapo wengi katika serikali yake.
Mbona hawamtafuti Warioba akawasaidia? wapo wapi kina makweta ambao waliinua kila wizara iliyokuwa imezama punde tu walipopelekwa hapo?. Viongozi wazuri wapo lakini hawako kwenye mtandao hivyo hawawezi kupenya ngome ya wana mtandao.
Chama kingeweza kumsaidia lakini sasa nacho kimejaa mamuluki waliokuwa wamejificha ndani ya chama hicho kwa muda mrefu,Mzee kama Ngombale nani alijua kuwa ni mchumia tumbo kwa kujinemesha na miradi kama vile ubungo n.k.Nina imani tunaweza kupata viongozi bora tukiachana na utaratibu wa sasa ambao kundi la watu wachache wanatuchagulia viongozi na kazi yetu ina bakia kupiga muhuri(Kura)
 
Mimi naona kuna umuhimu wa Rais Kikwete kupata mpinzani kutoka ndani ya chama ili kumpa changamoto na kuimarisha demokrasia. Upinzani pia utamwongezea yeye ari ya kufanya kazi na ili kuwaonyesha Watanzania kama anaweza kupewa dhamana ya kuwaongoza tena.
 
Acheni mungu aitwe mungu, time will tell. Tumuombee kwa mungu ampe afya njema, hekima na atende kadri ya uwezo wake. Sisitumsaidie kwa kuwajibika
 
Been visiting JF religiously since 2007, it definately changed my outlook on life and my love for Tanzania. Scandal after Scandal leading me to question what can a person like me who is not a politician nor in any position of influence in government or affliated with any political party do to change the situation instead of coming here everyday and posting my anger towards UFISADI.

I took the following steps...called my family in Tanzania... 3 brothers 2 sisters plus my father/mother and luckily i had 3 cousins over making 10 individuals. Explained my stance to them with emotional blackmail of coz and they agreed not to vote ccm for mbunge wa eneo tunaloishi and raisi!! The purpose of this is to change the dynamics kwenye bunge letu ili upinzani uwe na sauti ambayo sio tu inasikika bali kuheshimika!

NOW I TURN TO YOU MY FELLOW BROTHERS AND SISTERS IN JF!! AS YOU ARE NOT POLITICIANS OR IN POSITIONS OF INFLUENCE!! What steps are you willing to take ??? I believe kama members zaidi ya 3000 wa JF wakiconvince watu kumi tu...impact yake ni kubwa sana!!!
 
sio swali mkuu!! mbona inaeleweka kabisa..tatizo wanaiba sana kura!!
 
kama kila JF memba atafanya hivyo kwa alau watu kumi, tunaweza kupata alau wabunge wa upinzani 150 uchaguzi wa 2010
 
sio swali mkuu!! mbona inaeleweka kabisa..tatizo wanaiba sana kura!!

Its a simple task! A phone call away kwa tulio nje saizi na wakati wa kusajili kupiga kura lazma niwakumbushe tena na mlio bongo nadhani ni kazi rahisi zaidi..issue ya kuiba kura ikitokea haitafichika kama majority voted otherwise nadhani tumeona kenya.
 
Back
Top Bottom