Been visiting JF religiously since 2007, it definately changed my outlook on life and my love for Tanzania. Scandal after Scandal leading me to question what can a person like me who is not a politician nor in any position of influence in government or affliated with any political party do to change the situation instead of coming here everyday and posting my anger towards UFISADI.
I took the following steps...called my family in Tanzania... 3 brothers 2 sisters plus my father/mother and luckily i had 3 cousins over making 10 individuals. Explained my stance to them with emotional blackmail of coz and they agreed not to vote ccm for mbunge wa eneo tunaloishi and raisi!! The purpose of this is to change the dynamics kwenye bunge letu ili upinzani uwe na sauti ambayo sio tu inasikika bali kuheshimika!
NOW I TURN TO YOU MY FELLOW BROTHERS AND SISTERS IN JF!! AS YOU ARE NOT POLITICIANS OR IN POSITIONS OF INFLUENCE!! What steps are you willing to take ??? I believe kama members zaidi ya 3000 wa JF wakiconvince watu kumi tu...impact yake ni kubwa sana!!!
Mawazo mazuri
Mawazo matakatifu
Mawazo matamu
Lakini pamoja na mpango huu nashauri pia tuanze mapema kabisa kujiandaa kuchangia kifedha kampeni za wagombea ubunge makini wa upinzani. Hasa hasa wa CHADEMA.
Pia tufikirie kuanzisha website maalum kwa ajili ya kuhamasisha na kuchangisha fedha kwa ajili ya kuwasaidia wagombea wa upinzani. Hakika tutaweza kuwamobilize watu wengi wanaochukia bureaucracy na political monopoly ya CCM hapa Tanzania.
Asanteni sana na Mungu awabariki
Mimi na familia yangu tumepigia upinzani tangu 1995 ila hamna CCM walitangazwa washindi!
Afrika kuna tofauti kubwa sana kati ya kupiga kura na matokeo yanayotangazwa!
Mnakumbuka Cheyo siku akilalamika kupata kura 1? Yaani hata Mke wake hakumchagua?
Mimi na familia yangu tumepigia upinzani tangu 1995 ila hamna CCM walitangazwa washindi!
Afrika kuna tofauti kubwa sana kati ya kupiga kura na matokeo yanayotangazwa!
Mnakumbuka Cheyo siku akilalamika kupata kura 1? Yaani hata Mke wake hakumchagua?
mimi nafikiri swala siyo kupigia chama fulani swala lilenge kumchangua mtu anaye faa,Tukiliweza hilo tutaua dhamiraza watu kutukuza vyama, na kutumikia vyama maana wakiteuliwa na vyama kwa upendeleo sisi hatutachagua chama tutachagua mtu anayefaa.
Mimi na familia yangu tumepigia upinzani tangu 1995 ila hamna CCM walitangazwa washindi!
Afrika kuna tofauti kubwa sana kati ya kupiga kura na matokeo yanayotangazwa!
Mnakumbuka Cheyo siku akilalamika kupata kura 1? Yaani hata Mke wake hakumchagua?
mimi naona uelewa wa wapiga kura wengi bado ni mdogo sana. Asilimia zaidi ya 60 ya wapiga kura wako vijijini, na hao ndiyo wanaohitaji sana kupewa elimu ya uraia. Mimi siamini kuwa wanaipigia kura ccm kwavile wanaipenda sana, baadhi ya sehemu viongozi wa vijiji/kata wamewajaza ujinga kuwa anayepigia kura mpinzani hana tofauti na mhaini. Pamoja na kuwa elimu ya uraia inazidi kukua miongoni wa jamii ya Tanzania, bado tunahitaji watu/vyama vya upinzani kuanza kwenda vijijini kuelezea umma faida za kupiga kura, na kuwa kura ni siri,hivyo hata ukipewa kanga, bado piga kura kwa mtu unayefikiri atakusaidia.
chadema wameanza na op sangara, keep it up. Matunda hamtayaona kwenye chaguzi ndogo bali 2010.
I got an idea.. delay the National ID project na tumieni hizo kwenye uchaguzi.. or even a better one.. zile bilioni 60 za kununuliwa Dowans.. tutumie kwenye uchaguzi...!
what do we finance on our own! labda marupurupuGademu.. we can't even finance our own elections!
msiwe na wasiwasi, atafadhili rostam na JK atapita tu,